Atumia kamba za viatu kujiua
NA JESSICA KILEO
WATU wawili wamefariki dunia mjini Dar es Salaam katika matukio mawili tofauti, likiwemo la Godfrey Mtenga kukutwa akiwa amejinyonga hadi kufa.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kinondoni, Camilius Wambura, alisema tukio hilo lilitokea juzi saa 4.00 asubuhi katika eneo la Kibangu Makoka, ambapo Mtenga alikutwa akiwa ananing’inia baada ya kujinyonga kwa kutumia kamba za viatu alizozitundika juu ya tawi la mti.
Wambura alisema, walikuta mwili wa mtu huyo ukiwa unaning’inia huku chini...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima13 Jul
Ajinyonga kwa kamba za viatu
WATU wawili wamefariki dunia jijini Dar es Salaam katika matukio tofauti likiwemo la mmoja kujinyonga kwa kutumia kamba za viatu alizokuwa amezifunga kwenye tawi la mti. Kamanda wa Polisi Mkoa...
10 years ago
BBCSwahili16 Jan
Viatu vinavyojifunga kamba vyenyewe
10 years ago
Dewji Blog06 Aug
Mwanafunzi atumia bastola ya mama kutaka kujiua
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP Thobias Sedoyeka, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) ofisini kwake.
Na Nathaniel Limu, Singida
MWANAFUNZI wa darasa la sita katika shule ya msingi Abelt, Singida mjini Stanley Markdonard (13), amenusurika kufa katika jaribio lake la kutaka kujiuawa kwa kujipiga risasi mbili tumboni kwa kutumia bunduki aina ya bastola, mali ya mama yake mkubwa, Joyce Mark Minde.
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP Thobias Sedoyeka,...
10 years ago
Dewji Blog15 Jan
Mmiliki wa kiwanda cha viatu (WOISO) aelezea mafanikio yake kupitia shuguli ya ushonaji viatu
Mmiliki wa Kiwanda cha Viatu WOISO kilichopo Tegeta jijini Dar es Salaam ,Bw Kenneth Herman (kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati akielezea mafanikio yake alioyapata kupitia shuguli za kushona viatu na kuweza kumiliki Kiwanda cha Viatu na kuwaajili watu zaidi ya 2,50. Kwenye kiwanda hicho (kushoto), Msimazi wa Kiwanda hicho Bi.Teya Herman.(PICHA NA PHILEMON SOLOMON).
Wafanyakazi wa kiwanda cha WOISO wakiwa kazini.
Eliza Hamad, akiwa na mfanyakazi mwezie Bw.Hilari Kimario...
10 years ago
BBCSwahili01 Jul
Ugiriki yalegeza kamba kupata fedha
11 years ago
Tanzania Daima22 Apr
Mtoto afungwa kamba kuzuia asitoroke
MTOTO Samir anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka minne hadi mitano, mkazi wa Mtaa wa Langoni katika Manispaa ya Moshi, amekuwa akifungwa kamba mguuni na bibi yake kwa lengo la...
11 years ago
Mwananchi17 May
Muziki wa dansi umejinyonga na kamba yake?
10 years ago
BBCSwahili04 Mar
Netanyahu adai Iran inalegezewa kamba
10 years ago
BBCSwahili07 Feb
Kamba iliotumiwa kumnyonga Saddam kuuzwa