Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Atumia kamba za viatu kujiua


NA JESSICA KILEO
WATU wawili wamefariki dunia mjini Dar es Salaam katika matukio mawili tofauti, likiwemo la Godfrey Mtenga kukutwa akiwa amejinyonga hadi kufa.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kinondoni, Camilius Wambura, alisema tukio hilo lilitokea juzi saa 4.00 asubuhi katika eneo la Kibangu Makoka, ambapo Mtenga alikutwa akiwa ananing’inia baada ya kujinyonga kwa kutumia kamba za viatu alizozitundika juu ya tawi la mti.
Wambura alisema, walikuta mwili wa mtu huyo ukiwa unaning’inia huku chini...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Ajinyonga kwa kamba za viatu

WATU wawili wamefariki dunia jijini Dar es Salaam katika matukio tofauti likiwemo la mmoja kujinyonga kwa kutumia kamba za viatu alizokuwa amezifunga kwenye tawi la mti. Kamanda wa Polisi Mkoa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Viatu vinavyojifunga kamba vyenyewe

Wakati unataka kuvua viatu utahitajika kubonyeza au kugonga wayo wa kiatu kile mara mbili na vile vile kuna miale inayoamrisha kamba za viatu vile kujifungua kwa kuzilegeza kamba.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwanafunzi atumia bastola ya mama kutaka kujiua

DSC031641

Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP Thobias Sedoyeka, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) ofisini kwake.

Na Nathaniel Limu, Singida

MWANAFUNZI wa darasa la sita katika shule ya msingi Abelt, Singida mjini Stanley Markdonard (13), amenusurika kufa katika jaribio lake la kutaka kujiuawa kwa kujipiga risasi mbili tumboni kwa kutumia bunduki aina ya bastola, mali ya mama yake mkubwa, Joyce Mark Minde.

Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP Thobias Sedoyeka,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mmiliki wa kiwanda cha viatu (WOISO) aelezea mafanikio yake kupitia shuguli ya ushonaji viatu

001

Mmiliki wa Kiwanda cha Viatu WOISO kilichopo Tegeta jijini Dar es Salaam ,Bw Kenneth Herman (kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati akielezea mafanikio yake alioyapata kupitia shuguli za kushona viatu na kuweza kumiliki Kiwanda cha Viatu  na kuwaajili watu zaidi ya 2,50. Kwenye kiwanda hicho (kushoto), Msimazi wa Kiwanda hicho Bi.Teya Herman.(PICHA NA PHILEMON SOLOMON).

002

Wafanyakazi wa kiwanda cha WOISO wakiwa kazini.

003

Eliza  Hamad, akiwa na mfanyakazi mwezie Bw.Hilari Kimario...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ugiriki yalegeza kamba kupata fedha

Taarifa zinasema Ugiriki imekubali mapendekezo ya wakopeshaji wake lakini kwa masharti fulani

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtoto afungwa kamba kuzuia asitoroke

MTOTO Samir anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka minne hadi mitano, mkazi wa Mtaa wa Langoni katika Manispaa ya Moshi, amekuwa akifungwa kamba mguuni na bibi yake kwa lengo la...

 

11 years ago

Mwananchi

Muziki wa dansi umejinyonga na kamba yake?

Ni huzuni. Kumbi za muziki wa dansi ziko tupu. Bendi maarufu karibu zote zilizotamba miaka ya 70 na 90 zimebaki kuwa historia. Chache zilizokuwapo tunashuhudia wanamuziki wake wakipigia viti vitupu katika baa za kawaida kabisa, zilizopo pembezoni mwa jiji la Dar es salaam.

 

10 years ago

BBCSwahili

Netanyahu adai Iran inalegezewa kamba

Waziri Mkuu wa Israel Benjamini Netanyahu ameshutumu mataifa ya Magharibi kuchukua hatua madhubuti dhidi ya Iran

 

10 years ago

BBCSwahili

Kamba iliotumiwa kumnyonga Saddam kuuzwa

Kamba iliotumiwa kumyonga aliyekuwa rais wa Iraq marehemu Saddam Hussein imedaiwa kuuzwa kwa zaidi ya pauni millioni 4.6

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani