Netanyahu adai Iran inalegezewa kamba
Waziri Mkuu wa Israel Benjamini Netanyahu ameshutumu mataifa ya Magharibi kuchukua hatua madhubuti dhidi ya Iran
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 Jan
Viatu vinavyojifunga kamba vyenyewe
11 years ago
Uhuru Newspaper12 Jul
Atumia kamba za viatu kujiua
NA JESSICA KILEO
WATU wawili wamefariki dunia mjini Dar es Salaam katika matukio mawili tofauti, likiwemo la Godfrey Mtenga kukutwa akiwa amejinyonga hadi kufa.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kinondoni, Camilius Wambura, alisema tukio hilo lilitokea juzi saa 4.00 asubuhi katika eneo la Kibangu Makoka, ambapo Mtenga alikutwa akiwa ananing’inia baada ya kujinyonga kwa kutumia kamba za viatu alizozitundika juu ya tawi la mti.
Wambura alisema, walikuta mwili wa mtu huyo ukiwa unaning’inia huku chini...
11 years ago
Tanzania Daima13 Jul
Ajinyonga kwa kamba za viatu
WATU wawili wamefariki dunia jijini Dar es Salaam katika matukio tofauti likiwemo la mmoja kujinyonga kwa kutumia kamba za viatu alizokuwa amezifunga kwenye tawi la mti. Kamanda wa Polisi Mkoa...
10 years ago
BBCSwahili01 Jul
Ugiriki yalegeza kamba kupata fedha
11 years ago
Tanzania Daima22 Apr
Mtoto afungwa kamba kuzuia asitoroke
MTOTO Samir anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka minne hadi mitano, mkazi wa Mtaa wa Langoni katika Manispaa ya Moshi, amekuwa akifungwa kamba mguuni na bibi yake kwa lengo la...
10 years ago
BBCSwahili07 Feb
Kamba iliotumiwa kumnyonga Saddam kuuzwa
11 years ago
Mwananchi17 May
Muziki wa dansi umejinyonga na kamba yake?
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8skvVGKascA/XpC9RaDGw5I/AAAAAAALmv8/1K1oSXkB95IFHM5K5D3MH10gPkxIJo9wwCLcBGAsYHQ/s72-c/NYONGA.png)
Mzeewa miaka 75 auawa na kufungwa kamba kuonesha alijinyonga
Na Amiri kilagalila,Njombe Mzee Arusha Nziku (75) mkazi wa wilaya ya Wanging’ombe mkaoni Njombe,amekutwa amefariki nyumbani kwake huku akiwa amefungwa kamba ndani ya nyumba yake kuonyesha emejinyonga. Kamanda wa polisi mkoa wa Njombe Hamisi Issa amesema waliotekeleza mauaji hayo walitumia kamba kumfunga na kuonyesha kama amejinyonga. “Ni mzee ambaye amekufa akiwa nyumbani kwake na hawa wauaji walichokifanya ni kwamba baada ya kumuua wakamfanya kama amejinyonga,ile kamba...
10 years ago
Vijimambo11 Dec
MIARIAM KINUNDA NA UPISHI WAKE WA KAMBA KOCHI NA MCHUZI WA NAZI
Modern Swahili Recipes For The West, cookbook is now Available at Amazon World-wide. Check Amazon in your country. Also in USA you can get at Walmart and Barnes and Noble Online or ask your nearest store. Now on sale at Amazon USA http://www.amazon.com/dp/0988735903/ Thank you Miriam Kinunda Author of Taste of Tanzania Cookbook