Mzeewa miaka 75 auawa na kufungwa kamba kuonesha alijinyonga
![](https://1.bp.blogspot.com/-8skvVGKascA/XpC9RaDGw5I/AAAAAAALmv8/1K1oSXkB95IFHM5K5D3MH10gPkxIJo9wwCLcBGAsYHQ/s72-c/NYONGA.png)
Na Amiri kilagalila,Njombe Mzee Arusha Nziku (75) mkazi wa wilaya ya Wanging’ombe mkaoni Njombe,amekutwa amefariki nyumbani kwake huku akiwa amefungwa kamba ndani ya nyumba yake kuonyesha emejinyonga. Kamanda wa polisi mkoa wa Njombe Hamisi Issa amesema waliotekeleza mauaji hayo walitumia kamba kumfunga na kuonyesha kama amejinyonga. “Ni mzee ambaye amekufa akiwa nyumbani kwake na hawa wauaji walichokifanya ni kwamba baada ya kumuua wakamfanya kama amejinyonga,ile kamba...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo11 May
Buzwagi kufungwa miaka 2 ijayo?
MGODI wa dhahabu wa Buzwagi uliopo Kahama mkoani Shinyanga, huenda ukafungwa ndani ya miaka miwili ijayo ili kuiepushia hasara kampuni inayochimba dhababu katika eneo hilo, African Barrick Gold.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TwbgnXl4eNV3o*LlFmAB64HIQvvNJxRNI0fcnbhFcEau1W7FJavKJFkOS62xUlVIsRehbuKimfz27-8ulqBu2RMilWAw4I8o/diamond.jpg)
DIAMOND KUFUNGWA JELA MIAKA MITATU!
11 years ago
BBCSwahili13 Dec
Rwanda - Ingabire kufungwa miaka 15 jela
9 years ago
BBCSwahili01 Oct
Mfalme kufungwa jela miaka 12 Afrika Kusini
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/aqmhJZLv6Zc/default.jpg)
10 years ago
Mwananchi30 Mar
Wasambaza picha za ngono kufungwa miaka saba jela
10 years ago
Habarileo10 May
Wanaouza silaha feki kufungwa miaka 5, kupigwa faini mil.10/-
MTU yeyote atakayepatikana akiingiza au kuuza silaha za bandia, atahukumiwa kifungo cha miaka mitano jela au kulipa faini isiyozidi Sh milioni 10. Adhabu hiyo imetajwa na Muswada wa Usimamizi na Udhibiti wa Silaha na Risasi wa mwaka 2014.
11 years ago
Uhuru Newspaper01 Jul
Meneja EWURA alijinyonga-Polisi
NA MWANDISHI WETU
JESHI la Polisi limesema hakuna anayetiliwa shaka kuhusiana na kifo cha aliyekuwa Meneja Udhibiti wa Biashara ya Petroli wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA), Julius Gashaza kwani alijinyonga.
Gashaza alikutwa amekufa kwa kile kilichodaiwa kujinyonga kwa kutumia tai katika nyumba ya kulala wageni ya Mwanga, eneo la Yombo Vituka, mjini Dar es Salaam.
Meneja huyo alikuwa amefariki dunia siku moja baada ya kurejea kutoka Dodoma kikazi Mei 18, mwaka huu.
Kamanda wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOC7BqAcxPsFrw4I4RS02CG*MZli2PUcRG*5by1aSF5CI100oG2PWd4o7lmyDkApDttbzQRj2lGd6JHwz18rqOfQvCIcC0-s/auawa.jpg)
BABU MIAKA 82 AUAWA....