Dr Manyaunyau akanusha kufungwa miaka 3, alia na waandishi wazushi
![](http://img.youtube.com/vi/aqmhJZLv6Zc/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania27 Nov
Dk. Manyaunyau miaka 3 jela kwa kushindwa kufufua maiti
NA FARAJA MASINDE, DAR ES SALAAM
MKAZI wa Dar es Salaam, Dunia Salumu maarufu kwa jina la Dk. Manyaunyau, amehukumiwa kutumikia kifungo cha miaka mitatu jela pamoja na kulipa fidia ya Sh milioni 10 baada ya kupatikana na hatia ya kujipatia fedha Sh milioni 29.6 kwa njia ya udanganyifu.
Manyaunyau anadaiwa kujipatia kiasi hicho cha fedha kutoka kwa mlalamikaji, Tekra Modesta kama malipo ya kazi ya kumfufua marehemu kaka yake aliyefahamika kwa jina moja la Modest ambaye alifariki dunia miaka...
9 years ago
Bongo528 Nov
Manyaunyau jela miaka 3 kwa utapeli, alidai angemfufua marehemu
![scan0006](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/scan0006-300x194.jpg)
Mkazi wa Dar es Salaam, Dunia Salumu maarufu kwa jina la Dk. Manyaunyau, amehukumiwa kutumikia kifungo cha miaka mitatu jela pamoja na kulipa fidia ya Sh milioni 10 baada ya kupatikana na hatia ya kujipatia fedha Sh milioni 29.6 kwa njia ya udanganyifu.
Manyaunyau anadaiwa kujipatia kiasi hicho cha fedha kutoka kwa mlalamikaji, Tekra Modesta kama malipo ya kazi ya kumfufua marehemu kaka yake aliyefahamika kwa jina moja la Modest ambaye alifariki dunia miaka kadhaa iliyopita.
Akitoa hukumu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nII-N*HRVI3y8fLoU0Xx5jDoEEreCENf*OHnEevZQH5XWCPPGYvR8*e1fsW9nu8KWXRH28vexCfDQfFT3wDIdPAT5wV9WMFm/as.gif?width=650)
BIBI MIAKA 54 ALIA KUTOROKWA NA MCHUMBA MIAKA 25
10 years ago
Mwananchi27 Mar
Bunge lapitisha muswada, sasa waandishi kufungwa jela ikiwa...
11 years ago
Habarileo11 May
Buzwagi kufungwa miaka 2 ijayo?
MGODI wa dhahabu wa Buzwagi uliopo Kahama mkoani Shinyanga, huenda ukafungwa ndani ya miaka miwili ijayo ili kuiepushia hasara kampuni inayochimba dhababu katika eneo hilo, African Barrick Gold.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TwbgnXl4eNV3o*LlFmAB64HIQvvNJxRNI0fcnbhFcEau1W7FJavKJFkOS62xUlVIsRehbuKimfz27-8ulqBu2RMilWAw4I8o/diamond.jpg)
DIAMOND KUFUNGWA JELA MIAKA MITATU!
11 years ago
BBCSwahili13 Dec
Rwanda - Ingabire kufungwa miaka 15 jela
9 years ago
BBCSwahili01 Oct
Mfalme kufungwa jela miaka 12 Afrika Kusini
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8skvVGKascA/XpC9RaDGw5I/AAAAAAALmv8/1K1oSXkB95IFHM5K5D3MH10gPkxIJo9wwCLcBGAsYHQ/s72-c/NYONGA.png)
Mzeewa miaka 75 auawa na kufungwa kamba kuonesha alijinyonga
Na Amiri kilagalila,Njombe Mzee Arusha Nziku (75) mkazi wa wilaya ya Wanging’ombe mkaoni Njombe,amekutwa amefariki nyumbani kwake huku akiwa amefungwa kamba ndani ya nyumba yake kuonyesha emejinyonga. Kamanda wa polisi mkoa wa Njombe Hamisi Issa amesema waliotekeleza mauaji hayo walitumia kamba kumfunga na kuonyesha kama amejinyonga. “Ni mzee ambaye amekufa akiwa nyumbani kwake na hawa wauaji walichokifanya ni kwamba baada ya kumuua wakamfanya kama amejinyonga,ile kamba...