Bunge lapitisha muswada, sasa waandishi kufungwa jela ikiwa...
>Mvutano mkali uliibuka jana bungeni wakati Bunge lilipokaa kama kamati kupitisha Muswada wa Takwimu wa mwaka 2013, baada ya wabunge kuupinga. Muswada huo una kipengele kinachotoa adhabu ya kifungo cha miaka mitatu jela na faini isiyopungua Sh10 milioni kwa mtu au chombo cha habari kitakachofanya makosa ya kutoa takwimu zisizokuwa sahihi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo29 Mar
Bunge lapitisha muswada wa sheria ya bajeti
KWA mara ya kwanza Tanzania itakuwa na sheria ya bajeti baada ya Bunge jana kupitisha muswada wa sheria ya bajeti ambayo inataka mchakato wa kuandaa bajeti kuwahusisha Wabunge.
10 years ago
Habarileo01 Apr
Bunge lapitisha Muswada wa Baraza la Vijana
BUNGE limepitisha Muswada wa Sheria ya Baraza la Vijana wa mwaka 2015, uliowasilishwa na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara.
10 years ago
MichuziBunge lapitisha Muswada wa Sheria ya Kuratibu Ajira za Wageni nchini
WAZIRI wa Kazi na Ajira Mhe. Gaudensia Kabaka amesoma Muswada wa Sheria ya Kuratibu Ajira za Wageni nchini wa mwaka 2014 kwa mara ya pili ikiwa muswada huu umelenga masuala mbalimbali ikiwemo mabadiliko ya kiuchumi pamoja na mahitaji ya kiteknolojia ambayo ni kichocheo kikubwa cha uhamiaji wa nguvu kazi kutoka nchi moja kwenda nyingine.
Mhe.Kabaka alisema kwa sasa zipo mamlaka nyingi zinzotoa vibali vya ajira kwa wageni kwa kuzingatia...
10 years ago
VijimamboBunge lapitisha Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TwbgnXl4eNV3o*LlFmAB64HIQvvNJxRNI0fcnbhFcEau1W7FJavKJFkOS62xUlVIsRehbuKimfz27-8ulqBu2RMilWAw4I8o/diamond.jpg)
DIAMOND KUFUNGWA JELA MIAKA MITATU!
11 years ago
BBCSwahili19 Jun
Taylor hataki kufungwa jela Uingereza
11 years ago
BBCSwahili13 Dec
Rwanda - Ingabire kufungwa miaka 15 jela