Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanaouza silaha feki kufungwa miaka 5, kupigwa faini mil.10/-

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue.MTU yeyote atakayepatikana akiingiza au kuuza silaha za bandia, atahukumiwa kifungo cha miaka mitano jela au kulipa faini isiyozidi Sh milioni 10. Adhabu hiyo imetajwa na Muswada wa Usimamizi na Udhibiti wa Silaha na Risasi wa mwaka 2014.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Hakimu aliyekula rushwa ya mil 2/- ahukumiwa faini mil 1.5/-

ALIYEKUWA Hakimu Mkazi Mahakama Wilaya ya Urambo, Oscar Bulugu, amekutwa na hatia ya kuomba na kupokea rushwa ya Sh milioni 2.

 

11 years ago

Habarileo

Hakimu aliyekula rushwa mil 2/- atozwa faini mil 1.5/-

ALIYEKUWA Hakimu Mkazi Mahakama Wilaya ya Urambo, Oscar Bulugu, amekutwa na hatia ya kuomba na kupokea rushwa ya Sh milioni 2.

 

10 years ago

GPL

MJUKUU WA MANDELA KUFUNGWA, AU KULIPA FAINI

Mandla Mandela, mjukuu wa kwanza wa aliyekuwa rais wa Afrika Kusini, Nelson Mandela. Mandla akiwa na babu yake Mzee Nelson Mandela. MANDLA MANDELA, mjukuu wa kwanza wa aliyekuwa rais wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, amehukumiwa kwenda jela au kulipa faini ya kwa kumshambulia na kumtishia kwa bastola mwalimu wa shule moja mwaka 2013. Mandla, ambaye ni mbunge wa… ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Runinga zilizojizima Kenya kupigwa faini

Mamlaka ya mawasiliano nchini Kenya itavipiga faini vituo vya NTV,KTN,Citizen na QTV nchini Kenya kwa kuzima matangazo yao

 

9 years ago

Mwananchi

Mdomo wamponza Mourinho afungiwa, kupigwa faini

Klabu ya Chelsea na kocha wake, Jose Mourinho wamepinga uamuzi wa Chama cha Soka (FA) kumwadhibu kocha huyo kwa kauli alizozitoa karibuni.

 

11 years ago

Mwananchi

Sheria ya faini bidhaa feki kurekebishwa

Mamlaka ya Chakula na Dawa nchini (TFDA) inakusudia kuanza mchakato wa kuifanyia marekebisho sheria yake Septemba mwaka huu, ili kuiwezesha kutoza faini watu watakaopatikana na bidhaa bandia ama zisizokidhi viwango.

 

10 years ago

Mwananchi

Vituo vya watoto ‘feki’ kufungwa

Dodoma. Serikali imesema haitasita kuwachukulia hatua kali za kisheria wote wanaotumia watoto wa mitaani kujinufaisha. Kauli hiyo ilitolewa jana na Kamishna Msaidizi kutoka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, kitengo cha haki za mtoto na marekebisho ya tabia, Stephen Gumbo kwenye mkutano mkuu wa shirika lisilo la kiserikali la kulea watoto la Kisedet mjini hap

 

10 years ago

GPL

AFISA USALAMA FEKI, SILAHA ZAKAMATWA NA POLISI

Baadhi ya silaha zilizokamatwa na jeshi la polisi. Kamanda Suleiman Kova akionyesha  silaha zilizokamatwa kwa wanahabari (hawapo pichani).…

 

10 years ago

GPL

AFUMANIWA AJIPIGA FAINI MIL. 3

Mwandishi Wetu
WE acha tu! Hii ni habari ya kushangaza sana ambayo ilinaswa na paparazi wa Oparesheni Fichua Maovu ‘OFM’ ya Global Publishers juzikati ambapo mwanaume aliyefahamika kwa jina la Ally Mwamwanza ambaye ni afisa katika kitengo cha ‘makontena’ bandarini Dar, kudaiwa kunaswa na mke wa jirani yake, Gibson Mtinge aliyetajwa kwa jina moja la Khadija. Licha ya wote wawili kuishi Mbezi ya Kimara,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani