Vituo vya watoto ‘feki’ kufungwa
Dodoma. Serikali imesema haitasita kuwachukulia hatua kali za kisheria wote wanaotumia watoto wa mitaani kujinufaisha. Kauli hiyo ilitolewa jana na Kamishna Msaidizi kutoka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, kitengo cha haki za mtoto na marekebisho ya tabia, Stephen Gumbo kwenye mkutano mkuu wa shirika lisilo la kiserikali la kulea watoto la Kisedet mjini hap
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi13 Dec
Vituo‘feki’vya mfumo wa QT kufungiwa 2014
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RXJLnSacOPM/XnOJNOQjd4I/AAAAAAALkd8/hn2RuXQ_L-c5rOvLIj_UQCQliMLD8OOjwCLcBGAsYHQ/s72-c/03bd2b5a-f8a5-4d42-ae95-6c8b7e0b5ff7.jpg)
MAMA MAGUFULI AKABIDHI MISAADA KWA VITUO VYA KULELEA WATOTO VYA CHESHIRE NA NYUMBA YA MATUMAINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-RXJLnSacOPM/XnOJNOQjd4I/AAAAAAALkd8/hn2RuXQ_L-c5rOvLIj_UQCQliMLD8OOjwCLcBGAsYHQ/s640/03bd2b5a-f8a5-4d42-ae95-6c8b7e0b5ff7.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/46421959-0ba2-4904-8c9b-bbe22a47b451.jpg)
Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akikabidhi vitu mbalimbali kwa wawakilishi wa walezi na watoto wanaolelewa katika Kituo cha Cheshire Home wakati wa hafla fupi ya kukabidhi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zMkq7jTEcqE/XnPN9-T8b1I/AAAAAAALke0/XekIKhc-xr8Lm-R_krPzmL9cLR5Sykc2ACLcBGAsYHQ/s72-c/m8.jpg)
MAMA MAGUFULI AKABIDHI MISAADA KWA VITUO VYA KULELEA WATOTO VYA CHESHIRE HOME NA NYUMBA YA MATUMAINI JIJINI DODOMA
Mama magufuli ameyasema hayo wakati akitoa misaada mbalimbali kwa vituo vya kulelea watoto wenye mahitaji maalumu vya Cheshire Home na Nyumba ya Matumaini katika hafla...
10 years ago
Mtanzania28 Mar
Serikali yafunga vituo vya watoto yatima
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
SERIKALI imevifunga baadhi ya vituo vya kulelea watoto yatima katika maeneo mbalimbali nchini kwa kukiuka sheria ya uanzishwaji wake na wamiliki kujinufaisha binafsi.
Sambamba na hilo, pia imefuta kutoka kwenye orodha ya kutoa huduma ya kulea watoto yatima baadhi ya vituo vya aina hiyo vilivyo kwenye mikoa ya Dar es Salaam, Arusha, Kilimanjaro, huku vile vya mkoani Iringa vikiendelea kufanyiwa uchunguzi.
Tangazo la kufungwa na kufutwa kwa vituo hivyo...
10 years ago
Habarileo19 Apr
Wakerwa na vituo vya watoto kufunza kareti
WANANCHI mkoani Dodoma wamekuwa na maoni tofauti kuhusu hatua ya Jeshi la Polisi nchini, kuweka chini ya ulinzi vituo vitatu vya kulelea watoto vilivyokuwa vikifundisha dini ya Kiislamu na kareti.
9 years ago
StarTV21 Nov
Wamiliki Vituo Vya Watoto Yatima watahadharishwa kuepuka ulaghai Â
Wamiliki wa Vituo vya kulelea watoto yatima na wale wanaoishi katika mazingira magumu wametahadharishwa juu ya baadhi ya vituo hivyo kutumika kwa maslahi binafsi badala ya kutumika kuwasaidia watoto wenye uhitaji.
Tahadhari hiyo imekukuja huku serikali ikieleza kutowafumbia macho wamiliki wote wa vituo hivyo na wakibainika watachukuliwa hatua za kisheria.
Hayo yameelezwa na Afisa Ustawi wa jamii Mkoa wa Arusha Blandina Nkini wakati wa utoaji wa tuzo za vituo bora vya malezi ya watoto...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-oLjFbI3cRxw/XnCVbhUna6I/AAAAAAAAQfU/rH46C2qEQ3oO4k_0CpKiTECvB21fApc7QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.png)
Waziri Kairuki Atoa Misaada Vituo vya Watoto Yatima na Walemavu Same
![](https://1.bp.blogspot.com/-oLjFbI3cRxw/XnCVbhUna6I/AAAAAAAAQfU/rH46C2qEQ3oO4k_0CpKiTECvB21fApc7QCLcBGAsYHQ/s640/1.png)
Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Uwekezaji ,Angela Kairuki akiwa katika picha ya pamoja na watoto wenye ulemavu akikabidhi baadhi ya misaada katika kituo cha kulelea watoto yatima kama picha inavyoonekana
![](https://1.bp.blogspot.com/-SBK2L1g3j5Y/XnCVa0l1HYI/AAAAAAAAQfM/RvGMbuNAr_8D44Ce6W8uTgoLm7zvBB9PQCLcBGAsYHQ/s640/2.png)
Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Uwekezaji ,Angela Kairuki akiwa katika picha ya pamoja na watoto wenye ulemavu
![](https://1.bp.blogspot.com/-W7_G0_9Pnvw/XnCVbgcXxLI/AAAAAAAAQfQ/yx0BiZeLKRkfCFS9qOAKZEQOcg9me8oCACLcBGAsYHQ/s640/3.png)
Waziri Angela Kairuki akikabidhi vifaa mbalimbali kwa watoto pamoja pampers na sabuni pamoja na vyakula katika...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9v6ExvqiI88/VYrdoGofoJI/AAAAAAAHjkk/ObEscIKNcVw/s72-c/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
Airtel yatoa 20m/- kufuturisha Vituo vya watoto yatima nchini
10 years ago
Dewji Blog03 Aug
Balozi wa mkoa wa Kilimanjaro, Yolanda Shayo atembelea vituo vya watoto yatima
Mrembo aliebuka kidedea kwenye shindano la kumsaka barozi wa mkoa wa Kilimanjaro 2015, Yolanda Shayo (pichani) ametembelea vituo vya watoto yatima katika eneo la Mamba Marangu Moshi vijijini.
Shughuli hiyo ilifanyika mapema jana ambapo mrembo huyo alitembelea vituo vinne ambavyo ni Msoroe, Mrieni,Kikoro na Kotela kwa kugawa vifaa vya shule kwa watoto na kula nao chakula cha pamoja kilichoandaa kwaajili ya watoto hao.
Baadhi ya vitu vilivyotolewa na mrembo huyo ni kalamu,madaftari,rula na...