Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waziri Kairuki Atoa Misaada Vituo vya Watoto Yatima na Walemavu Same


Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Uwekezaji ,Angela Kairuki akiwa katika picha ya pamoja na watoto wenye ulemavu akikabidhi baadhi ya misaada katika kituo cha kulelea watoto yatima kama picha inavyoonekana
Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Uwekezaji ,Angela Kairuki akiwa katika picha ya pamoja na watoto wenye ulemavu
Waziri Angela Kairuki akikabidhi vifaa mbalimbali kwa watoto pamoja pampers na sabuni pamoja na vyakula katika...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MSAMA PROMOTIONS LTD YAMWAGA MISAADA KWA VITUO VYA WATOTO YATIMA, YALAANI MAUAJI YA ALBINO YANAYOENDELEA NCHINI

 Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion inayoandaa Tamasha la Pasaka Bw. Alex Msama akikabidhi vyakula mbalimbali kwa Halima Ramadhan Mlezi wa kituo cha kulelea watoto yatima cha Mwandaliwa kilichopo Tegeta jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki iliyopita, ikiwa ni moja ya misaada inayotolewa katika vituo mbalimbali vya kulelea watoto yatima wakati wa msimu huu wa maadalizi ya Tamasha la Pasaka linalotimiza miaka 15 tangu lianzishwe.
Msama amekabidhi misaada hiyo kwa vituo vitano...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mkurugenzi Alex Msama amwaga misaada kwa vituo vya watoto yatima, alaani mauaji ya Albino yanayoendelea nchini

1

Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion inayoandaa Tamasha la Pasaka Bw. Alex Msama akikabidhi vyakula mbalimbali kwa Halima Ramadhan Mlezi wa kituo cha kulelea watoto yatima cha Mwadaliwa kilichopo Tegeta jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki iliyopita, ikiwa ni moja ya misaada inayotolewa katika vituo mbalimbali vya kulelea watoto yatima wakati wa msimu huu wa maadalizi ya Tamasha la Pasaka linalotimiza miaka 15 tangu lianzishwe.

Tamasha hilo Litafanyika jijini Dar es salaam Aprili 7...

 

10 years ago

Michuzi

MSAMA PROMOTIONS YAMWAGA MISAADA KWA VITUO SABA VYA WATOTO YATIMA JIJINI DAR KWA AJILI YA PASAKA

 Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion inayoandaa Tamasha la Pasaka Bw. Alex Msama akikabidhi vyakula mbalimbali kwa Bi. Honorata Michael kutoka kituo cha Honorata kilichopo Temeke jijini Dar es salaam ikiwa ni sehemu ya msaada kwa vituo vya watoto yatima jijini Dar es salaam vipatavyo saba, unaotolewa na kampuni hiyo katika wakati huu wa kuelekea sikukuu ya pasaka, vyakula hivyo vina thamani ya shilingi milioni 6
Tamasha la Pasaka  linatimiza miaka 15 toka lianzishwe hapa nchini,ambapo...

 

9 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA MSAMA PROMOTIONS YAMWAGA MISAADA VITUO 10 VYA YATIMA

Halima Ramadhani ambaye ni Mkurugenzi wa Kituo cha Mwandaliwa cha Mbweni Dar es Salaam akipokea msaada wa vyakula pamoja na mahitaji mengine kutoka kwa Alex Msama.Sehemu ya msaada uliotolewa kwa vikundi 10 vya kulelea watoto wanaoishi katika mazingira magumu.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama akiwa amembeba mtoto, Haidin Edwin wakati wa hafla ya kukabidhi misaada mbalimbali ikiwemo vyakula kwa vikundi 10 vya kulelea watoto wanaoishi katika mazingira magumu, ...

 

5 years ago

Michuzi

MAMA MAGUFULI AKABIDHI MISAADA KWA VITUO VYA KULELEA WATOTO VYA CHESHIRE NA NYUMBA YA MATUMAINI DODOMA


Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli aakiongea baada ya kukikabidhi vitu mbalimbali kwa wawakilishi wa walezi na watoto wanaolelewa katika Kituo cha Nyumba ya Matumaini wakati wa hafla fupi ya kukabidhi misaada kwa vituo vya kulelea watoto wenye mahitaji iliyofanyika Ikulu Chamwino jijini Dodoma leo Alhamisi Machi 19, 2020
Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akikabidhi vitu mbalimbali kwa wawakilishi wa walezi na watoto wanaolelewa katika Kituo cha Cheshire Home wakati wa hafla fupi ya kukabidhi...

 

10 years ago

Mtanzania

Serikali yafunga vituo vya watoto yatima

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
SERIKALI imevifunga baadhi ya vituo vya kulelea watoto yatima katika maeneo mbalimbali nchini kwa kukiuka sheria ya uanzishwaji wake na wamiliki kujinufaisha binafsi.
Sambamba na hilo, pia imefuta kutoka kwenye orodha ya kutoa huduma ya kulea watoto yatima baadhi ya vituo vya aina hiyo vilivyo kwenye mikoa ya Dar es Salaam, Arusha, Kilimanjaro, huku vile vya mkoani Iringa vikiendelea kufanyiwa uchunguzi.
Tangazo la kufungwa na kufutwa kwa vituo hivyo...

 

5 years ago

Michuzi

MAMA MAGUFULI AKABIDHI MISAADA KWA VITUO VYA KULELEA WATOTO VYA CHESHIRE HOME NA NYUMBA YA MATUMAINI JIJINI DODOMA

Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Janeth Magufuli ametoa wito kwa taasisi mbalimbali, mashirika, wafanyabiashara na watu wenye mapenzi mema kujitolea kusaidia watu wenye uhitaji maalumu kwani kwa kufanya hivyo ni kutimiza amri kuu ya upendo ya Mwenyezi Mungu isemayo pendaneni kama mimi nilivyowapenda ninyi. 
 Mama magufuli ameyasema hayo wakati akitoa misaada mbalimbali kwa vituo vya kulelea watoto wenye mahitaji maalumu vya Cheshire Home na Nyumba ya Matumaini katika hafla...

 

9 years ago

StarTV

Wamiliki Vituo Vya Watoto Yatima watahadharishwa kuepuka ulaghai  

 

Wamiliki wa Vituo vya kulelea watoto yatima na wale wanaoishi katika mazingira magumu wametahadharishwa juu ya baadhi ya  vituo hivyo kutumika  kwa maslahi binafsi badala ya kutumika kuwasaidia watoto wenye uhitaji.

Tahadhari hiyo imekukuja huku serikali ikieleza kutowafumbia  macho wamiliki wote wa vituo hivyo  na wakibainika watachukuliwa hatua za kisheria.

Hayo yameelezwa na Afisa Ustawi wa  jamii Mkoa wa Arusha  Blandina Nkini wakati wa utoaji wa tuzo za vituo bora vya malezi ya watoto...

 

10 years ago

Michuzi

Airtel yatoa 20m/- kufuturisha Vituo vya watoto yatima nchini

Airtel Tanzania imetoa Tsh Milioni 20 kwa Jumuiya ya Waislamu kupitia Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) kwa lengo la kufuturisha vituo kumi vya kulelea watoto yatima nchini. Akikabidhi hundi kwa Naibu katibu Mkuu wa Bakwata Meneja Huduma za Jamii wa Airtel Hawa Bayumi alisema vituo vitakavyopata msaada huo ni pamoja na Kigogo Fresh orphanage cha Ilala, IHSANI orphanage cha Temeke, Almadina center kinondoni.Pia kwa Arusha ni Kiboa Islamic orphanage, Nusuru yatima orphanage Bukoba,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani