Balozi wa mkoa wa Kilimanjaro, Yolanda Shayo atembelea vituo vya watoto yatima
Mrembo aliebuka kidedea kwenye shindano la kumsaka barozi wa mkoa wa Kilimanjaro 2015, Yolanda Shayo (pichani) ametembelea vituo vya watoto yatima katika eneo la Mamba Marangu Moshi vijijini.
Shughuli hiyo ilifanyika mapema jana ambapo mrembo huyo alitembelea vituo vinne ambavyo ni Msoroe, Mrieni,Kikoro na Kotela kwa kugawa vifaa vya shule kwa watoto na kula nao chakula cha pamoja kilichoandaa kwaajili ya watoto hao.
Baadhi ya vitu vilivyotolewa na mrembo huyo ni kalamu,madaftari,rula na...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziYOLANDA SHAYO BALOZI WA MKOA WA KILIMANJARO ATEMBELEA VITUO VYA WATOTOTO YATIMA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-8Y9EOrIBHa4/VcDk7WHRijI/AAAAAAABtgY/kGHo62r7QkU/s72-c/IMG-20150801-WA0041.jpg)
MISS KILIMANJARO AMBASSADOR 2015 YOLANDA SHAYO AINGIZWA MITINI NA MUANDAJI
![](http://4.bp.blogspot.com/-8Y9EOrIBHa4/VcDk7WHRijI/AAAAAAABtgY/kGHo62r7QkU/s640/IMG-20150801-WA0041.jpg)
ILIKUAJE:Wakati wa kutangaza matokeo ya ushindi siku ya fainali za mashindano hayo usiku wa julai...
10 years ago
Mtanzania28 Mar
Serikali yafunga vituo vya watoto yatima
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
SERIKALI imevifunga baadhi ya vituo vya kulelea watoto yatima katika maeneo mbalimbali nchini kwa kukiuka sheria ya uanzishwaji wake na wamiliki kujinufaisha binafsi.
Sambamba na hilo, pia imefuta kutoka kwenye orodha ya kutoa huduma ya kulea watoto yatima baadhi ya vituo vya aina hiyo vilivyo kwenye mikoa ya Dar es Salaam, Arusha, Kilimanjaro, huku vile vya mkoani Iringa vikiendelea kufanyiwa uchunguzi.
Tangazo la kufungwa na kufutwa kwa vituo hivyo...
9 years ago
StarTV21 Nov
Wamiliki Vituo Vya Watoto Yatima watahadharishwa kuepuka ulaghai Â
Wamiliki wa Vituo vya kulelea watoto yatima na wale wanaoishi katika mazingira magumu wametahadharishwa juu ya baadhi ya vituo hivyo kutumika kwa maslahi binafsi badala ya kutumika kuwasaidia watoto wenye uhitaji.
Tahadhari hiyo imekukuja huku serikali ikieleza kutowafumbia macho wamiliki wote wa vituo hivyo na wakibainika watachukuliwa hatua za kisheria.
Hayo yameelezwa na Afisa Ustawi wa jamii Mkoa wa Arusha Blandina Nkini wakati wa utoaji wa tuzo za vituo bora vya malezi ya watoto...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-oLjFbI3cRxw/XnCVbhUna6I/AAAAAAAAQfU/rH46C2qEQ3oO4k_0CpKiTECvB21fApc7QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.png)
Waziri Kairuki Atoa Misaada Vituo vya Watoto Yatima na Walemavu Same
![](https://1.bp.blogspot.com/-oLjFbI3cRxw/XnCVbhUna6I/AAAAAAAAQfU/rH46C2qEQ3oO4k_0CpKiTECvB21fApc7QCLcBGAsYHQ/s640/1.png)
Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Uwekezaji ,Angela Kairuki akiwa katika picha ya pamoja na watoto wenye ulemavu akikabidhi baadhi ya misaada katika kituo cha kulelea watoto yatima kama picha inavyoonekana
![](https://1.bp.blogspot.com/-SBK2L1g3j5Y/XnCVa0l1HYI/AAAAAAAAQfM/RvGMbuNAr_8D44Ce6W8uTgoLm7zvBB9PQCLcBGAsYHQ/s640/2.png)
Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Uwekezaji ,Angela Kairuki akiwa katika picha ya pamoja na watoto wenye ulemavu
![](https://1.bp.blogspot.com/-W7_G0_9Pnvw/XnCVbgcXxLI/AAAAAAAAQfQ/yx0BiZeLKRkfCFS9qOAKZEQOcg9me8oCACLcBGAsYHQ/s640/3.png)
Waziri Angela Kairuki akikabidhi vifaa mbalimbali kwa watoto pamoja pampers na sabuni pamoja na vyakula katika...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9v6ExvqiI88/VYrdoGofoJI/AAAAAAAHjkk/ObEscIKNcVw/s72-c/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
Airtel yatoa 20m/- kufuturisha Vituo vya watoto yatima nchini
10 years ago
MichuziJWTZ lasherehekea Miaka 50 kwa kuvisaidia vituo vya kulea watoto yatima
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2inSDNpbgZ0/U9JcmslRlaI/AAAAAAACmOA/HmEmYqimzxk/s72-c/Chakuwama_Said+Hassan%2528Chakuwama%2529.jpg)
PSPF YATOA MSAADA WA VYAKULA VITUO VYA KULELEA WATOTO YATIMA JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-2inSDNpbgZ0/U9JcmslRlaI/AAAAAAACmOA/HmEmYqimzxk/s1600/Chakuwama_Said+Hassan%2528Chakuwama%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog24 Dec
Alex Msama amwaga zawadi za Krismas kwa vituo vya watoto yatima jijini Dar
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama akikabidhi vyakula mbalimbali kwa Bi. Honorata wa kituo cha kulelea watoto yatima cha Honorata kilichopo Temeke jijini Dar es salaam leo wakati alipokabidhi msaada wa vyakula kwa vituo mbalimbali vya jijini Dar es salaam ikiwa ni zawadi yake ya sikukuu ya Krismas kwa vituo hivyo, Bw. Alex Msama amesema pia katika Tamasha la Pasaka litakalofanyika kesho wakati wa sikukuu ya Krismas mkoani Mbeya, kiasi cha fedha zitakazopatikana...