MISS KILIMANJARO AMBASSADOR 2015 YOLANDA SHAYO AINGIZWA MITINI NA MUANDAJI
![](http://4.bp.blogspot.com/-8Y9EOrIBHa4/VcDk7WHRijI/AAAAAAABtgY/kGHo62r7QkU/s72-c/IMG-20150801-WA0041.jpg)
Muandaji wa shindano la Miss Kilimanjaro Ambassador 2015,Jackline Chuwa adaiwa kuingia mitini na fedha za zawadi za warembo na malipo kwa watu aliofanya nao kazi kufanikisha shindano hilo.Habari za uhakika kutoka ndani ya familia ya mshindi wa shindano hilo zinasema kuwa vikao vya mara kwa mara hufanyika kupanga mkakati wa kuvamia ofisi za BASATA kujua hatma ya binti yao Yolanda shayo.
ILIKUAJE:Wakati wa kutangaza matokeo ya ushindi siku ya fainali za mashindano hayo usiku wa julai...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog03 Aug
Balozi wa mkoa wa Kilimanjaro, Yolanda Shayo atembelea vituo vya watoto yatima
Mrembo aliebuka kidedea kwenye shindano la kumsaka barozi wa mkoa wa Kilimanjaro 2015, Yolanda Shayo (pichani) ametembelea vituo vya watoto yatima katika eneo la Mamba Marangu Moshi vijijini.
Shughuli hiyo ilifanyika mapema jana ambapo mrembo huyo alitembelea vituo vinne ambavyo ni Msoroe, Mrieni,Kikoro na Kotela kwa kugawa vifaa vya shule kwa watoto na kula nao chakula cha pamoja kilichoandaa kwaajili ya watoto hao.
Baadhi ya vitu vilivyotolewa na mrembo huyo ni kalamu,madaftari,rula na...
10 years ago
MichuziYOLANDA SHAYO BALOZI WA MKOA WA KILIMANJARO ATEMBELEA VITUO VYA WATOTOTO YATIMA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-onLCYNUgrQg/VaPH7Io5R8I/AAAAAAAANwM/Y1tFwFZbMbw/s72-c/DSC_0032.jpg)
KUMEKUCHA MISS KILIMANJARO AMBASSADOR 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-onLCYNUgrQg/VaPH7Io5R8I/AAAAAAAANwM/Y1tFwFZbMbw/s640/DSC_0032.jpg)
Warembo wanaowania taji hilo wako kambini kwa sasa wakinolewa vilivyo ikiwa ni maandalizi ya fainali za shindano hilo litakalofanyika julai 24 katika ukumbi Kili Home mjini Moshi.
Habari za kuamianika toka kamati ya maandalizi imesema kuwa kamati imejipanga kisawasawa kuhakikisha wanakidhi kiu ya wapenzi wa tasnia ya urembo katika mikoa ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-hN-oS4o7jaM/Vap2Vv3VqFI/AAAAAAAHqXM/wKRDnNsasZ8/s72-c/new.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3iN3VXh2FqQ/VZRZAh_-GzI/AAAAAAAHmSI/AN0vh9k5DjA/s72-c/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog21 Jul
Miss Kilimanjaro Ambassador yatoa msaada kwa familia za vijiji vya Rau na Ulu
![](https://1.bp.blogspot.com/-gxKfr--I_fE/Va0YbawA4cI/AAAAAAAANz4/lFYCl1gLTDM/s640/DSC_0046.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-p1ACA3pDI5s/Va0YlMlmC-I/AAAAAAAAN0A/ZADVZhiTUAE/s640/DSC_0040.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-pla2lHXufxo/Va0YwOO_o_I/AAAAAAAAN0I/x7usUtgB1I4/s640/DSC_0048.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-NSd0BGuQuSI/Va0Y_d3hu4I/AAAAAAAAN0Q/CfeMZzC0G8g/s640/DSC_0138.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Ocv51M3sOKY/Va0ZemaT06I/AAAAAAAAN0Y/bkt1QgXVbCg/s640/DSC_0212.jpg)
Warembo wanaowania taji...
9 years ago
Bongo Movies31 Dec
Theresa Shayo: Miss Tanzania Mwafrika wa Kwanza 1967 Katika Historia ya Tanzania
1960 ndipo Mashindano ya urembo nchini yalipoanza na hayatakuwa na
muonekano wa kimataifa kwa sababu yalifanyika kwenye maeneo machache.Kwani kumbukumbu zilizopo zinaonyesha kwamba mrembo wa kwanza kunyakua
taji hilo la Miss Tanzania, si mwingine bali alikuwa Theresa Shayo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-IHwNqr8Y6ko/VoPDvyXmpvI/AAAAAAAAPF0/p72Mg51KTEA/s1600/shayo67.jpg)
Kutokana na maadali na utamaduni ya mtanzania serikali ililazimika
kuyapiga marufuku mashindano hayo ilipofika tu mwaka 1967, kabla ya Rais
wa awamu ya pili Alhaj Ali...
10 years ago
MichuziMASHINDANO YA KILIMANJARO AMBASSADOR KUFANYIKA JULAI 24 MWAKA HUU
9 years ago
Bongo521 Dec
Miss Universe 2015: Mc amtangaza Miss Colombia kimakosa kuwa mshindi, na baadaye kumvua taji na kumvisha mshindi halali Miss Philippines (Video/Picha)
![miss universe1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/miss-universe1-300x194.jpg)
Shindano la kumtafuta Miss Universe 2015 limefanyika Jumapili Dec.19 huko Hollywood, Marekani, ambapo Pia Alonzo Wurtzbach wa Philippines alitangazwa mshindi.
Miss Universe 2015 Pia Alonzo
Kabla ya Pia kutangazwa mshindi ilijitokeza hali ya sintofahamu, pale ambapo Mc wa tukio hilo Steve Harvey alipomtangaza kimakosa Miss Colombia kuwa ndio mshindi na kuvishwa kabisa taji.
Kwa dakika kadhaa Miss Colombia alikaa na taji hilo huku akipunga bendera ya nchi yake akionekana mwenye furaha.
Miss...