Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sheria ya faini bidhaa feki kurekebishwa

Mamlaka ya Chakula na Dawa nchini (TFDA) inakusudia kuanza mchakato wa kuifanyia marekebisho sheria yake Septemba mwaka huu, ili kuiwezesha kutoza faini watu watakaopatikana na bidhaa bandia ama zisizokidhi viwango.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Sheria ya Ndoa kurekebishwa

SHERIA ya ndoa inayoruhusu mtoto mwenye umri wa miaka 14 kuolewa kwa ridhaa ya wazazi, inatarajiwa kufanyiwa marekebisho kutokana na kile kilichoelezwa na serikali kwamba ni kikwazo katika kupambana na ndoa za utotoni.

 

11 years ago

Habarileo

Sheria ya vileo kurekebishwa

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema Tume ya Marekebisho ya Sheria serikalini ipo katika mchakato wa kuzipitia sheria ambazo zinaonekana zimepitwa na wakati ambazo ni chanzo cha migogoro katika jamii ikiwemo kuwepo kwa vilabu vya pombe karibu na makazi ya wananchi.

 

11 years ago

Habarileo

Waomba sheria kurekebishwa kuwabana wadhalilishaji

WANAHARAKATI na wananchi wa kijiji cha Makunduchi Mkoa wa Kusini Unguja wameitaka Serikali kuifanyia marekebisho sheria ya ushahidi ili kwenda na wakati na kuwatia hatiani watu wanaobainika kujishughulisha na vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia ikiwemo ubakaji.

 

10 years ago

Mwananchi

Bidhaa feki kudhibitiwa

Serikali ipo katika mkakati wa kuandaa sheria ya kuwabana wafanyabiashara wanao agiza na kuingiza bidhaa nchini zisizo na ubora.

 

10 years ago

Habarileo

Wanaouza silaha feki kufungwa miaka 5, kupigwa faini mil.10/-

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue.MTU yeyote atakayepatikana akiingiza au kuuza silaha za bandia, atahukumiwa kifungo cha miaka mitano jela au kulipa faini isiyozidi Sh milioni 10. Adhabu hiyo imetajwa na Muswada wa Usimamizi na Udhibiti wa Silaha na Risasi wa mwaka 2014.

 

11 years ago

Mwananchi

Bidhaa feki zamiminika Zanzibar

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, imekiri kuingizwa vifaa vya umeme na ujenzi vilivyo chini ya viwango vya ubora katika soko la ndani na kuathiri baadhi ya wananchi wanaotumia bidhaa hizo imefahamika.

 

9 years ago

Mwananchi

Tanzania, China kudhibiti bidhaa feki

Shirika la Viwango Tanzania (TBS), limeingia mkataba na Serikali ya China kufanya ukaguzi na kudhibiti uingizwaji wa bidhaa feki nchini.

 

10 years ago

Habarileo

Mbunge ahimiza udhibiti bidhaa feki

WAZIRI kivuli wa Viwanda na Biashara, David Kafulila (NCCR-Mageuzi), amesema kuongezeka kwa bidhaa feki nchini, kutokana na kutokuwepo mamlaka za udhibiti bandarini, huku Mamlaka ya Mapato (TRA) ikitumia mfumo wa Tancs kwa ajili ya ukaguzi wake.

 

9 years ago

Mwananchi

TFDA kudhibiti bidhaa feki nchini

Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) imeongeza vituo vya ukaguzi katika kanda sita ili kudhibiti uingizaji bidhaa feki nchi na kulinda afya za watumiaji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani