Waomba sheria kurekebishwa kuwabana wadhalilishaji
WANAHARAKATI na wananchi wa kijiji cha Makunduchi Mkoa wa Kusini Unguja wameitaka Serikali kuifanyia marekebisho sheria ya ushahidi ili kwenda na wakati na kuwatia hatiani watu wanaobainika kujishughulisha na vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia ikiwemo ubakaji.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo26 Aug
Sheria ya Ndoa kurekebishwa
SHERIA ya ndoa inayoruhusu mtoto mwenye umri wa miaka 14 kuolewa kwa ridhaa ya wazazi, inatarajiwa kufanyiwa marekebisho kutokana na kile kilichoelezwa na serikali kwamba ni kikwazo katika kupambana na ndoa za utotoni.
11 years ago
Habarileo20 Dec
Sheria ya vileo kurekebishwa
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema Tume ya Marekebisho ya Sheria serikalini ipo katika mchakato wa kuzipitia sheria ambazo zinaonekana zimepitwa na wakati ambazo ni chanzo cha migogoro katika jamii ikiwemo kuwepo kwa vilabu vya pombe karibu na makazi ya wananchi.
11 years ago
Mwananchi10 Jul
Sheria ya faini bidhaa feki kurekebishwa
10 years ago
Mwananchi01 Oct
Wizara ya ardhi yaandaa sheria kuwabana madalali
11 years ago
Tanzania Daima29 May
Mbunge ataka sheria kuwabana wanaowapa mimba wanafunzi
MBUNGE wa Viti Maalumu, Christowaja Mtinda (CHADEMA), ameitaka serikali kuja na sheria nyingine itakayowabana wanaume wanaowapa mimba wanafunzi. Akiuliza swali bungeni jana, alisema sheria ya sasa haina meno na kwamba...
11 years ago
Habarileo13 Mar
Waomba kanuni Sheria ya Ukimwi 2008 kutekelezeka
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imeombwa kuharakisha kutunga kanuni za Sheria ya Kuzuia na Kudhibiti Ukimwi ya mwaka 2008 ili iweze kutekelezwa kupambana na unyanyapaa na kupunguza maambukizi mapya nchini.
10 years ago
Habarileo13 Mar
Waomba sheria ndogo kudhibiti wanaojifungulia majumbani
BAADHI ya wananchi wameshauri zitengenezwe sheria ndogo za kubana wanaokwepa kujifungulia hospitalini kwa kuamua kubaki nyumbani na kutumia wakunga wa jadi.
11 years ago
Habarileo10 Sep
Katiba iliyopo kurekebishwa
MCHAKATO wa kuandika Katiba mpya kabla ya Uchaguzi Mkuu ujao umekwama, baada ya viongozi wa vyama vya siasa vyenye wabunge na Rais Jakaya Kikwete, kukubaliana kusitisha mchakato huo. Badala yake viongozi hao wa vyama vya siasa wamekubaliana kwamba Katiba ya sasa ya mwaka 1977, ipelekwe bungeni kufanyiwa marekebisho, ili kutoa fursa Uchaguzi Mkuu ujao ufanyike mwakani kisha mchakato wa Katiba mpya, uendelee baada ya uchaguzi huo.
10 years ago
BBCSwahili23 Jan
Mswada uliozua zogo DRC kurekebishwa