Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waomba sheria kurekebishwa kuwabana wadhalilishaji

WANAHARAKATI na wananchi wa kijiji cha Makunduchi Mkoa wa Kusini Unguja wameitaka Serikali kuifanyia marekebisho sheria ya ushahidi ili kwenda na wakati na kuwatia hatiani watu wanaobainika kujishughulisha na vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia ikiwemo ubakaji.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Sheria ya Ndoa kurekebishwa

SHERIA ya ndoa inayoruhusu mtoto mwenye umri wa miaka 14 kuolewa kwa ridhaa ya wazazi, inatarajiwa kufanyiwa marekebisho kutokana na kile kilichoelezwa na serikali kwamba ni kikwazo katika kupambana na ndoa za utotoni.

 

11 years ago

Habarileo

Sheria ya vileo kurekebishwa

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema Tume ya Marekebisho ya Sheria serikalini ipo katika mchakato wa kuzipitia sheria ambazo zinaonekana zimepitwa na wakati ambazo ni chanzo cha migogoro katika jamii ikiwemo kuwepo kwa vilabu vya pombe karibu na makazi ya wananchi.

 

11 years ago

Mwananchi

Sheria ya faini bidhaa feki kurekebishwa

Mamlaka ya Chakula na Dawa nchini (TFDA) inakusudia kuanza mchakato wa kuifanyia marekebisho sheria yake Septemba mwaka huu, ili kuiwezesha kutoza faini watu watakaopatikana na bidhaa bandia ama zisizokidhi viwango.

 

10 years ago

Mwananchi

Wizara ya ardhi yaandaa sheria kuwabana madalali

Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imesema imeanza mchakato wa kutengeneza muswada wa  Sheria ya mawakala wa ardhi  ili kuwabana madalali wa ardhi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge ataka sheria kuwabana wanaowapa mimba wanafunzi

MBUNGE wa Viti Maalumu, Christowaja Mtinda (CHADEMA), ameitaka serikali kuja na sheria nyingine itakayowabana wanaume wanaowapa mimba wanafunzi. Akiuliza swali bungeni jana, alisema sheria ya sasa haina meno na kwamba...

 

11 years ago

Habarileo

Waomba kanuni Sheria ya Ukimwi 2008 kutekelezeka

WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imeombwa kuharakisha kutunga kanuni za Sheria ya Kuzuia na Kudhibiti Ukimwi ya mwaka 2008 ili iweze kutekelezwa kupambana na unyanyapaa na kupunguza maambukizi mapya nchini.

 

10 years ago

Habarileo

Waomba sheria ndogo kudhibiti wanaojifungulia majumbani

BAADHI ya wananchi wameshauri zitengenezwe sheria ndogo za kubana wanaokwepa kujifungulia hospitalini kwa kuamua kubaki nyumbani na kutumia wakunga wa jadi.

 

11 years ago

Habarileo

Katiba iliyopo kurekebishwa

MCHAKATO wa kuandika Katiba mpya kabla ya Uchaguzi Mkuu ujao umekwama, baada ya viongozi wa vyama vya siasa vyenye wabunge na Rais Jakaya Kikwete, kukubaliana kusitisha mchakato huo. Badala yake viongozi hao wa vyama vya siasa wamekubaliana kwamba Katiba ya sasa ya mwaka 1977, ipelekwe bungeni kufanyiwa marekebisho, ili kutoa fursa Uchaguzi Mkuu ujao ufanyike mwakani kisha mchakato wa Katiba mpya, uendelee baada ya uchaguzi huo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mswada uliozua zogo DRC kurekebishwa

Baraza la Senate nchini DRC limepiga kjura kufanyia mswada marekebisho mswada uliopendekeza sheria za uchaguzi kufanyiwa mabadiliko.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani