Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Katiba iliyopo kurekebishwa

MCHAKATO wa kuandika Katiba mpya kabla ya Uchaguzi Mkuu ujao umekwama, baada ya viongozi wa vyama vya siasa vyenye wabunge na Rais Jakaya Kikwete, kukubaliana kusitisha mchakato huo. Badala yake viongozi hao wa vyama vya siasa wamekubaliana kwamba Katiba ya sasa ya mwaka 1977, ipelekwe bungeni kufanyiwa marekebisho, ili kutoa fursa Uchaguzi Mkuu ujao ufanyike mwakani kisha mchakato wa Katiba mpya, uendelee baada ya uchaguzi huo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Askofu asifu Katiba iliyopo

WAKATI mchakato wa mabadiliko ya Katiba ukitarajiwa kuendelea katika ngazi ya Bunge Maalumu la Katiba Agosti mwaka huu, Askofu Mkuu mpya wa Jimbo Kuu Katoliki la Songea, Damian Dallu, amesifu Katiba iliyopo kwa kuunganisha Watanzania kwa miaka 50.

 

11 years ago

GPL

UMUHIMU WA KUPATA KATIBA MPYA ILIYOPO INA MIANYA YA RUSHWA

NIMSHUKURU Mungu kwa kutuweka hai leo, hakika yeye ni mwema.
Baada ya kusema hayo niseme kwamba leo nitazungumzia umuhimu wa kuwa na katiba mpya na kuachana na hii tuliyonayo ya mwaka 1977 ambayo hakika ina upungufu mwingi na hasa kuhusiana na deni la taifa. Hivi sasa deni la taifa limefikia shilingi trilioni 30.6, na ukisoma Katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 utagundua kuwa imechangia kwa kiasi fulani kwa kutolipa Bunge la...

 

11 years ago

Michuzi

SI DHAMBI KUTUMIA KATIBA ILIYOPO SASA KATIKA CHAGUZI ZIJAZO ENDAPO UKAWA WATAGOMA KURUDI BUNGENI - PINDA

Video imepigwa na Dixon Busagaga wa 
Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini .

 

11 years ago

Habarileo

Sheria ya vileo kurekebishwa

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema Tume ya Marekebisho ya Sheria serikalini ipo katika mchakato wa kuzipitia sheria ambazo zinaonekana zimepitwa na wakati ambazo ni chanzo cha migogoro katika jamii ikiwemo kuwepo kwa vilabu vya pombe karibu na makazi ya wananchi.

 

10 years ago

Habarileo

Sheria ya Ndoa kurekebishwa

SHERIA ya ndoa inayoruhusu mtoto mwenye umri wa miaka 14 kuolewa kwa ridhaa ya wazazi, inatarajiwa kufanyiwa marekebisho kutokana na kile kilichoelezwa na serikali kwamba ni kikwazo katika kupambana na ndoa za utotoni.

 

11 years ago

Mwananchi

Sheria ya faini bidhaa feki kurekebishwa

Mamlaka ya Chakula na Dawa nchini (TFDA) inakusudia kuanza mchakato wa kuifanyia marekebisho sheria yake Septemba mwaka huu, ili kuiwezesha kutoza faini watu watakaopatikana na bidhaa bandia ama zisizokidhi viwango.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mswada uliozua zogo DRC kurekebishwa

Baraza la Senate nchini DRC limepiga kjura kufanyia mswada marekebisho mswada uliopendekeza sheria za uchaguzi kufanyiwa mabadiliko.

 

11 years ago

Habarileo

Waomba sheria kurekebishwa kuwabana wadhalilishaji

WANAHARAKATI na wananchi wa kijiji cha Makunduchi Mkoa wa Kusini Unguja wameitaka Serikali kuifanyia marekebisho sheria ya ushahidi ili kwenda na wakati na kuwatia hatiani watu wanaobainika kujishughulisha na vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia ikiwemo ubakaji.

 

11 years ago

Zitto Kabwe, MB

Tuboreshe Rasimu iliyopo-Zitto Kabwe

Tuboreshe Rasimu iliyopo

Na Zitto Kabwe, MB

Wiki ya Machi 18 – 22, 2014 ilianza kwa siku ya Jumanne Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Joseph Sinde Warioba aliwaslisha rasmi Rasimu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Bunge Maalumu la Katiba. Wiki hiyo imeishia kwa siku ya Ijumaa Rais wa Jamhuri ya Muungano ndugu Jakaya Mrisho Kikwete kutoa hotuba kwa Bunge Maalumu. Hotuba zote zimepokelewa kwa hisia tofauti kulingana na msimamo wa kila mtu kuhusu hoja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani