Waomba kanuni Sheria ya Ukimwi 2008 kutekelezeka
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imeombwa kuharakisha kutunga kanuni za Sheria ya Kuzuia na Kudhibiti Ukimwi ya mwaka 2008 ili iweze kutekelezwa kupambana na unyanyapaa na kupunguza maambukizi mapya nchini.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo08 Oct
‘Simamieni uchaguzi mkiwa mnazielewa sheria, kanuni’
KAMANDA wa Polisi mkoani hapa, Leonard Paulo (pichani) ametoa mwito kwa vyombo vya ulinzi na usalama vitakavyohusika kusimamia vituo vya uchaguzi Oktoba 25, kuhakikisha vinatekeleza wajibu huo vikiwa na uelewa wa sheria, kanuni na taratibu za uchaguzi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ilVYzbRXczw/XuDeYhEbngI/AAAAAAALtXs/W6ly7nJ9dYkaYLwXec664JAym8Vtz0jAwCLcBGAsYHQ/s72-c/AMMA.png)
MABORESHOYA SHERIA NA KANUNI YANAVYORAHISISHA UTOAJI WA HAKI
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Xa-yJtOOCwQ/Vg53srDXxWI/AAAAAAAH8WI/CjUgItHUsbY/s72-c/4.jpg)
WASIMAMIZI WAASWA KUZINGATIA SHERIA, KANUNI NA TARATIBU
![](http://3.bp.blogspot.com/-Xa-yJtOOCwQ/Vg53srDXxWI/AAAAAAAH8WI/CjUgItHUsbY/s640/4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_f1sCC9bEaU/Vg53r0iKktI/AAAAAAAH8WA/_E3mLl6dXo8/s640/2.jpg)
11 years ago
Habarileo26 Jul
Waomba sheria kurekebishwa kuwabana wadhalilishaji
WANAHARAKATI na wananchi wa kijiji cha Makunduchi Mkoa wa Kusini Unguja wameitaka Serikali kuifanyia marekebisho sheria ya ushahidi ili kwenda na wakati na kuwatia hatiani watu wanaobainika kujishughulisha na vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia ikiwemo ubakaji.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vD-hYj2mu0RY9*J6dC0UBgGzM1TGTuCSM*lZqA8ZP1MmP-1G2CgucxmVSe95mROTod3JP4xSEjEXKZhstqR2JBLCDjmdk3VY/1.jpg?width=650)
TUME YA UTUMISHI YATOA TATHMINI YA SHERIA, KANUNI NA AJIRA
11 years ago
Tanzania Daima13 Mar
‘Sheria ya Ukimwi haitekelezeki’
UTEKELEZAJI wa sheria ya Kuzuia Ukimwi ya mwaka 2008, umekuwa mgumu kutokana na kutokuwapo kwa kanuni. Hayo yalielezwa jijini Dar es Salaam jana na Msimamizi wa Mradi wa Asasi ya...
10 years ago
Habarileo13 Mar
Waomba sheria ndogo kudhibiti wanaojifungulia majumbani
BAADHI ya wananchi wameshauri zitengenezwe sheria ndogo za kubana wanaokwepa kujifungulia hospitalini kwa kuamua kubaki nyumbani na kutumia wakunga wa jadi.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SNKTMDNspZY/U_Tul29i0_I/AAAAAAAGBB0/xZ_wi-ZkQqA/s72-c/unnamed%2B(54).jpg)
Tanzania yapokea mwongozo mpya wa Sheria na Kanuni za Haki za Binadamu
Tanzania imepokea mwongozo mpya juu ya Sheria na Kanuni zinazohusu haki za polisi kumweka mtuhumiwa chini ya ulinzi na kabla ya kesi kusikilizwa ili kuwapa uelewa wa kutosha wananchi juu ya haki zao za msingi.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana Katibu mtendaji wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Bi.Mary Massay amesema mtuhumiwa anatakiwa kumhoji polisi kosa gani amekamatwa nalo kabla ya kufikishwa kituoni.
Bi Massay alisema wananchi wengi wamekuwa...
9 years ago
StarTV15 Nov
Wanahabari washauriwa kuzingatia sheria, na kanuni za uandikaji habari za bunge
Waandishi wa habari nchini wameshauriwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za uendeshwaji wa Bunge wakati wa kutoa habari zinazohusu Bunge kwa kuripoti habari zenye kuwagusa wananchi moja kwa moja kwa manufaa ya Watanzania .
Ushauri huo umetolewa na waandishi habari waandamizi ambao wamewataka waandishi kuacha kuandika habari kwa ushabiki usiokuwa na tija kwa wananchi bali kuzingatia miiko ya taaluma hiyo.
Wakati wabunge wateule wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wakiendelea na Usajili...