TUME YA UTUMISHI YATOA TATHMINI YA SHERIA, KANUNI NA AJIRA
![](http://api.ning.com:80/files/vD-hYj2mu0RY9*J6dC0UBgGzM1TGTuCSM*lZqA8ZP1MmP-1G2CgucxmVSe95mROTod3JP4xSEjEXKZhstqR2JBLCDjmdk3VY/1.jpg?width=650)
Naibu Katibu wa Tume ya Utumishi wa Umma akisisitiza jambo kwa wanahabari (hawapo pichani). Wanahabari wakisikiliza taarifa ya tume hiyo.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog01 Sep
Tume ya Utumishi wa Umma yaendelea kuimarisha uzingatiaji wa sheria, kanuni na taratibu za masuala ya ajira
Naibu Katibu wa Ofisi ya Rais, Tume ya Utumishi wa Umma Bi. Neema Tawale akieleza kwa waandishi wa Habari (Hawapo pichani) kuhusu tathmini ya Tume juu ya uzingatiaji wa sheria,kanuni na taratibu za masuala ya ajira katika utumishi wa uuma, wakati wa mkutano uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Kaimu Katibu Msaidizi wa Tume hiyo Bw. John Mbisso.
Kaimu Katibu Msaidizi wa Ofisi ya Rais, Tume ya Utumishi wa Umma Bw. John Mbisso akiongea na waandishi wa (Hawapo pichani) kuhusu...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RNAeHv9DUsA/U8bi-1P6_rI/AAAAAAAF27I/cO_-a36jhtQ/s72-c/unnamed+(5).jpg)
UJUMBE WA TUME YA UTUMISHI WA MAHAKAMA YA UGANDA WATEMBELEA TUME YA UTUMISHI YA MAHAKAMA YA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-RNAeHv9DUsA/U8bi-1P6_rI/AAAAAAAF27I/cO_-a36jhtQ/s1600/unnamed+(5).jpg)
10 years ago
Michuzi27 Feb
UTEUZI KATIKA TUME YA UTUMISHI WA UMMA NA TUME YA USULUHISHI NA UAMUZI (CMA)
Katika uteuzi huo, Rais amemteua Mhe. DKT. STEPHEN JAMES BWANA, Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufani, kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma na BWANA EDRISSA R. MAVURA, kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA), Bw. Mavura ni Naibu Katibu Mkuu Mstaafu.
Sambamba na uteuzi huu, Rais amewateua Makamishna katika...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--3awY8ZqKUc/VO6-Uz1IWoI/AAAAAAAHF80/x_HRY7IttsM/s72-c/unnamed%2B(61).jpg)
Tume ya Kurekebisha Sheria nchini Uganda Yaitembelea Tume ya Tanzania
![](http://3.bp.blogspot.com/--3awY8ZqKUc/VO6-Uz1IWoI/AAAAAAAHF80/x_HRY7IttsM/s1600/unnamed%2B(61).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-vBtIoorCLxE/VO6-VJhwocI/AAAAAAAHF9A/xjtcrCdZLHo/s1600/unnamed%2B(62).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-o2NNFZiMoVM/VO6-VFnRcMI/AAAAAAAHF84/BSNvLOJSp_I/s1600/unnamed%2B(63).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7xza7kFviR0/VO6-W85VazI/AAAAAAAHF9M/xxa8O265ywo/s1600/unnamed%2B(64).jpg)
9 years ago
Michuzi04 Oct
TATHMINI YA SHERIA MTANDAO - RADIO ONE
"Nichukue nafasi hii kutambua na kuhamasisha tukio la kipekee katika anga ya usalama katika mitandao jambo ambalo limekuwa likiadhimishwa kila mwaka katika...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jun
UKAWA yatoa tathmini ya ziara zake
WANANCHI wengi nchini wamejitokeza kutaka Bunge la Katiba lijadili rasimu ya pili iliyowasilishwa na Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba na siyo nyingine. Msimamo huo wa...
9 years ago
Mtanzania22 Oct
Ukawa yatoa tathmini ya ushindi wao
NA MAULI MUYENJWA, DAR ES SALAAM
IKIWA zimebaki siku mbili kabla ya Uchaguzi Mkuu kufanyika, Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umetoa tathmini yake ya ushindi kwa asilimia 61 kwa wagombea wake wanaogombania nafasi ya urais, ubunge na udiwani.
Tathmini hiyo imetolewa jana na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Ukawa, Regnald Munisi, wakati akitoa taarifa kwa waandishi wa habari kuhusu uchaguzi huo.
Alisema tathmini hiyo waliifanya mikoa yote kwa sampuli ya watu 30,000.
“Tuna uhakika kwa ushindi wa...
10 years ago
MichuziAJIRA ZA VIJANA WANAOAJIRIWA KATIKA UTUMISHI WA UMMA ZAONGEZEKA
Na Dotto...
10 years ago
Dewji Blog19 Jan
Vijana waendelea kupata ajira katika Utumishi wa Umma
Katibu Msaidizi Idara ya Ajira kutoka Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Malimi Muya akiwaeleza waandishi wa Habari leo jijini Dar es salaam (hawapo pichani) sababu zinazopelekea Vijana wengi kupenda kufanya kazi katika Utumishi wa Umma ikiwemo uboreshaji wa mishahara,kuboreshwa kwa mazingira ya kazi,usalama wa kazi unaotokana na kuwepo kwa taratibu za kazi zinazotabirika ,kuwepo kwa taratibu maalum zinazomhakikishia mwajiriwa maslahi au malipo bora baada ya...