Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UKAWA yatoa tathmini ya ziara zake

WANANCHI wengi nchini wamejitokeza kutaka Bunge la Katiba lijadili rasimu ya pili iliyowasilishwa na Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba na siyo nyingine. Msimamo huo wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Ukawa yatoa tathmini ya ushindi wao

ReginaldMunisiNA MAULI MUYENJWA, DAR ES SALAAM

IKIWA zimebaki siku mbili kabla ya Uchaguzi Mkuu kufanyika, Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umetoa tathmini yake ya ushindi kwa asilimia 61 kwa wagombea wake wanaogombania nafasi ya urais, ubunge na udiwani.

Tathmini hiyo imetolewa jana na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Ukawa, Regnald Munisi, wakati akitoa taarifa kwa waandishi wa habari kuhusu uchaguzi huo.

Alisema tathmini hiyo waliifanya mikoa yote kwa sampuli ya watu 30,000.

“Tuna uhakika kwa ushindi wa...

 

10 years ago

GPL

TUME YA UTUMISHI YATOA TATHMINI YA SHERIA, KANUNI NA AJIRA

Naibu Katibu wa Tume ya Utumishi wa  Umma akisisitiza jambo kwa wanahabari (hawapo pichani). Wanahabari wakisikiliza taarifa ya tume hiyo.…

 

11 years ago

GPL

MAMLAKA YA HALI YA HEWA YATOA TATHMINI YA MWELEKEO WA MVUA KWA KIPINDI CHA JANUARI HADI MACHI, 2014

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini, Dkt. Agness Kijazi (kulia) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya tathmini ya mvua kwa kipindi cha Januari hadi Machi 2014. Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali wakimsikiliza Mkurugenzi wa Mamlaka ya Hali ya Hewa.…

 

5 years ago

Michuzi

Haki Elimu Yatoa Tathmini ya Mfumo wa Elimu Baada ya Covid 19

 Na Humphrey Shao, Dar es Salaam
Tasisi isiyo ya Kiserikali ya Haki
Elimu Tanzania imesema katika kipindi hiki cha shule kufungwa nje ya utaratibu
rasmi wa likizo kimetufanya tugundue namna mfumo wetu wa utoaji elimu ulivyo na
mapungufu mengi.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Shirika
Hilo Dk.John Kalaghe alipokuwa akizungumza na wadau wa elimu kupitia mkutano
uliandaliwa na tasisi hiyo uliofanyika kwa njia ya mtandao wakati wa
mahadhimishoi ya siku ya mtoto wa Afrika.
Dk Kalaghe alisema kuwa...

 

9 years ago

GPL

CCM YATOA MWENENDO WA KAMPENI ZAKE

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM, January Makamba. Tunapenda kuwataarifu wanachama wetu na umma wa Watanzania kuhusu masuala yafuatayo: Mwenendo wa Kampeni za CCM Mgombea Urais wa CCM, Dkt. John Pombe Magufuli, na Mgombea Mwenza, Ndugu Samia Hassan Suluhu, wameendelea kufanya kampeni katika maeneo mbalimbali nchini. Hadi jana, tarehe 10.10.2015, Dkt. Magufuli alikuwa amekwishatembelea Mikoa 22 na Majimbo 203....

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais aistisha ziara zake

Rais wa Mexico,Enrique Pena Nieto, amesema atasitisha ziara za kimataifa ,ili kushughulikia suala linalotatiza nchini mwake.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Manispaa ya Ilala yatoa tuzo katika shule zake


NA EMMANUEL MOHAMED
HALMASHAURI ya Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam, imetoa tuzo kwa shule za msingi na sekondari zilizofanya vizuri kitaaluma na uboreshaji wa mazingira kwa mwaka 2014, zilizoko kwenye wilaya hiyo.
Katika hafla hiyo, Shule ya Sekonsdari ya Zanaki, iliongoza na kupewa tuzo.
Aidha, Shule ya Sekondari Minazi Mirefu, iliipata tuzo ya uboreshaji wa mazingira.
Tuzo hizo zilitolewa kwa shule za serikali na zisizo za serikali zilizofanya vizuri katika mitihani ya darasa la nne,  darasa...

 

10 years ago

Mtanzania

Ukawa: Takukuru ikunjue kucha zake

???????????????????????????????NA CHRISTINA GAULUHANGA, DAR ES SALAAM
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (Takukuru), imetakiwa kukunjua kucha zake kwa wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Profesa Ibrahim Lipumba, alisema sasa umefika wakati kwa Takukuru kuhakikisha wanadhibiti matumizi ya fedha kwa wagombea wanaotangaza nia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani