UKAWA yatoa tathmini ya ziara zake
WANANCHI wengi nchini wamejitokeza kutaka Bunge la Katiba lijadili rasimu ya pili iliyowasilishwa na Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba na siyo nyingine. Msimamo huo wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania22 Oct
Ukawa yatoa tathmini ya ushindi wao
NA MAULI MUYENJWA, DAR ES SALAAM
IKIWA zimebaki siku mbili kabla ya Uchaguzi Mkuu kufanyika, Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umetoa tathmini yake ya ushindi kwa asilimia 61 kwa wagombea wake wanaogombania nafasi ya urais, ubunge na udiwani.
Tathmini hiyo imetolewa jana na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Ukawa, Regnald Munisi, wakati akitoa taarifa kwa waandishi wa habari kuhusu uchaguzi huo.
Alisema tathmini hiyo waliifanya mikoa yote kwa sampuli ya watu 30,000.
“Tuna uhakika kwa ushindi wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vD-hYj2mu0RY9*J6dC0UBgGzM1TGTuCSM*lZqA8ZP1MmP-1G2CgucxmVSe95mROTod3JP4xSEjEXKZhstqR2JBLCDjmdk3VY/1.jpg?width=650)
TUME YA UTUMISHI YATOA TATHMINI YA SHERIA, KANUNI NA AJIRA
9 years ago
GPL03 Nov
11 years ago
GPLMAMLAKA YA HALI YA HEWA YATOA TATHMINI YA MWELEKEO WA MVUA KWA KIPINDI CHA JANUARI HADI MACHI, 2014
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iCZv3PdpOmE/Xu3goWxVPSI/AAAAAAALuuA/5qQJeMQOpuEAQuMevvtlAMsVUovWs5MXQCLcBGAsYHQ/s72-c/kalage.jpg)
Haki Elimu Yatoa Tathmini ya Mfumo wa Elimu Baada ya Covid 19
![](https://1.bp.blogspot.com/-iCZv3PdpOmE/Xu3goWxVPSI/AAAAAAALuuA/5qQJeMQOpuEAQuMevvtlAMsVUovWs5MXQCLcBGAsYHQ/s640/kalage.jpg)
Tasisi isiyo ya Kiserikali ya Haki
Elimu Tanzania imesema katika kipindi hiki cha shule kufungwa nje ya utaratibu
rasmi wa likizo kimetufanya tugundue namna mfumo wetu wa utoaji elimu ulivyo na
mapungufu mengi.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Shirika
Hilo Dk.John Kalaghe alipokuwa akizungumza na wadau wa elimu kupitia mkutano
uliandaliwa na tasisi hiyo uliofanyika kwa njia ya mtandao wakati wa
mahadhimishoi ya siku ya mtoto wa Afrika.
Dk Kalaghe alisema kuwa...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/makamba.jpg?width=650)
CCM YATOA MWENENDO WA KAMPENI ZAKE
10 years ago
BBCSwahili07 Nov
Rais aistisha ziara zake
10 years ago
Uhuru Newspaper16 Apr
Manispaa ya Ilala yatoa tuzo katika shule zake
NA EMMANUEL MOHAMED
HALMASHAURI ya Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam, imetoa tuzo kwa shule za msingi na sekondari zilizofanya vizuri kitaaluma na uboreshaji wa mazingira kwa mwaka 2014, zilizoko kwenye wilaya hiyo.
Katika hafla hiyo, Shule ya Sekonsdari ya Zanaki, iliongoza na kupewa tuzo.
Aidha, Shule ya Sekondari Minazi Mirefu, iliipata tuzo ya uboreshaji wa mazingira.
Tuzo hizo zilitolewa kwa shule za serikali na zisizo za serikali zilizofanya vizuri katika mitihani ya darasa la nne, darasa...
10 years ago
Mtanzania03 Jun
Ukawa: Takukuru ikunjue kucha zake
NA CHRISTINA GAULUHANGA, DAR ES SALAAM
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (Takukuru), imetakiwa kukunjua kucha zake kwa wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Profesa Ibrahim Lipumba, alisema sasa umefika wakati kwa Takukuru kuhakikisha wanadhibiti matumizi ya fedha kwa wagombea wanaotangaza nia...