Manispaa ya Ilala yatoa tuzo katika shule zake
NA EMMANUEL MOHAMED
HALMASHAURI ya Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam, imetoa tuzo kwa shule za msingi na sekondari zilizofanya vizuri kitaaluma na uboreshaji wa mazingira kwa mwaka 2014, zilizoko kwenye wilaya hiyo.
Katika hafla hiyo, Shule ya Sekonsdari ya Zanaki, iliongoza na kupewa tuzo.
Aidha, Shule ya Sekondari Minazi Mirefu, iliipata tuzo ya uboreshaji wa mazingira.
Tuzo hizo zilitolewa kwa shule za serikali na zisizo za serikali zilizofanya vizuri katika mitihani ya darasa la nne, darasa...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YzDPecsRo30/XuBeHPOt5HI/AAAAAAALtRw/5DUrd9-nIWEczzf_gmUdiyq5ykhTAH3eQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B7.04.51%2BAM.jpeg)
MSTAHIKI MEYA MANISPAA YA ILALA APIGA JEKI SHULE YA SEKONDARI YA VINGUNGUTI
![](https://1.bp.blogspot.com/-YzDPecsRo30/XuBeHPOt5HI/AAAAAAALtRw/5DUrd9-nIWEczzf_gmUdiyq5ykhTAH3eQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B7.04.51%2BAM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Eq33nenT5_U/XuBeGwyUPkI/AAAAAAALtRs/OgiCvpm4l9IhbySEQHe8pyJ4txCfHFXvACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B7.04.52%2BAM.jpeg)
Lengo la ziara hiyo ni kukagua Ujenzi wa Madarasa Manne yanajengwa katika shule hiyo. Mstahiki aliwapongeza Walimu wa Shule hiyo ya Sekondari Vingunguti kwa usimamizi wa Ujenzi wa Madarasa hayo manne.
Uongozi wa Shule hiyo ulimpongeza Mstahiki...
11 years ago
Michuzi03 Apr
JERRY SILAA AGAWA DAWATI 300 KWA SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA ILALA
![DSC_0638](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/DSC_0638.jpg)
![DSC_0645](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/DSC_0645.jpg)
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/DSC_0428.jpg?width=640)
JERRY SILAA AGAWA DAWATI 300 KWA SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA ILALA
11 years ago
Tanzania Daima26 Mar
RITA yatoa vyeti kwa shule 105 Ilala
WAKALA wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) wamefanya zoezi maalumu la usajili na kutoa vyeti katika shule za msingi 105 za Manispaa ya Ilala. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana...
11 years ago
GPLTBL YATOA MSAADA WA VIFAA VYA USAFI WA MAZINGIRA VYA SH MIL 15 MANISPAA YA ILALA
10 years ago
VijimamboWASAIDIZI WA KISHERIA KATIKA MASOKO MANISPAA YA ILALA, WAMALIZA MAFUNZO YA SIKU 25
9 years ago
VijimamboBENKI YA CRDB YATOA MSAADA WA MADAWATI 200 KWA SHULE YA MSINGI BUYUNI ILALA
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akizungumza katika hafla ya kukabidhi madawati 200 kwa Shule ya Msingi Buyuni iliyopo ya Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam. Madawati hayo yametolewa na Benki ya CRDB ili kukabiliana na upungufu wa madawati shuleni hapo.
9 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YATOA MSAADA WA MADAWATI 200 KWA SHULE YA MSINGI BUYUNI ILALA, DAR ES SALAAM
10 years ago
MichuziMAMA SALMA KIKWETE AKABIDHI SAMPULI ZA MADAWATI KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA MADARASA YA AWALI KATIKA MANISPAA YA LINDI MJINI