Ukawa yatoa tathmini ya ushindi wao
NA MAULI MUYENJWA, DAR ES SALAAM
IKIWA zimebaki siku mbili kabla ya Uchaguzi Mkuu kufanyika, Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umetoa tathmini yake ya ushindi kwa asilimia 61 kwa wagombea wake wanaogombania nafasi ya urais, ubunge na udiwani.
Tathmini hiyo imetolewa jana na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Ukawa, Regnald Munisi, wakati akitoa taarifa kwa waandishi wa habari kuhusu uchaguzi huo.
Alisema tathmini hiyo waliifanya mikoa yote kwa sampuli ya watu 30,000.
“Tuna uhakika kwa ushindi wa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima19 Jun
UKAWA yatoa tathmini ya ziara zake
WANANCHI wengi nchini wamejitokeza kutaka Bunge la Katiba lijadili rasimu ya pili iliyowasilishwa na Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba na siyo nyingine. Msimamo huo wa...
10 years ago
Dewji Blog30 Sep
CCM ZANZIBAR: Yafanya tathmini na kujipima ushindi wa asilimia 60 kwa Dk. Shein!
Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai ambaye ametoa tathmini hiyo mapema jana kwa waandishi wa Habari visiwani humo.
Na Faki Mjaka
[MAELEZO-ZANZIBAR]. Chama cha Mapinduzi CCM kimetoa tathmini yake ya mwelekeo wa Kampeni za Uchaguzi mkuu zinazoelendelea nchini na kudai kuwa Mgombea wake wa Urais Dkt Ali Mohamed Shein anakubalika kwa zaidi ya Asilimia 60 dhidi ya Wagombea wengine.
Akitoa tathmini hiyo mbele ya Wanahabari Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai amesema hatua hiyo...
11 years ago
GPL
TUME YA UTUMISHI YATOA TATHMINI YA SHERIA, KANUNI NA AJIRA
10 years ago
GPL03 Nov
11 years ago
GPLMAMLAKA YA HALI YA HEWA YATOA TATHMINI YA MWELEKEO WA MVUA KWA KIPINDI CHA JANUARI HADI MACHI, 2014
5 years ago
Michuzi
Haki Elimu Yatoa Tathmini ya Mfumo wa Elimu Baada ya Covid 19

Tasisi isiyo ya Kiserikali ya Haki
Elimu Tanzania imesema katika kipindi hiki cha shule kufungwa nje ya utaratibu
rasmi wa likizo kimetufanya tugundue namna mfumo wetu wa utoaji elimu ulivyo na
mapungufu mengi.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Shirika
Hilo Dk.John Kalaghe alipokuwa akizungumza na wadau wa elimu kupitia mkutano
uliandaliwa na tasisi hiyo uliofanyika kwa njia ya mtandao wakati wa
mahadhimishoi ya siku ya mtoto wa Afrika.
Dk Kalaghe alisema kuwa...
10 years ago
MichuziUVCCM ZANZIBAR WAOMBA KUPATIWA MRITHI WA MZEE KINGUNGE KUNOGESHA USHINDI WAO
9 years ago
Mwananchi18 Nov
Ukawa wapinga ushindi wa CCM majimbo sita
11 years ago
Mwananchi19 Jul
Ukawa washikilia msimamo wao