Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UVCCM ZANZIBAR WAOMBA KUPATIWA MRITHI WA MZEE KINGUNGE KUNOGESHA USHINDI WAO

 Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Mfenesini-Unguja ndugu Mbarouk Mrakib katikati akizungumza na Waandishi wa habari huko ofisini kwake Bububu kuhusu mambo mbali mbali ikiwa ni pamoja na kuomba kupatikana kwa Kamanda Mpya wa UVCC Taifa baada ya Mzee Kingunge kuvuliwa Ukamanda huo. Kulia kwake ni Kamanda wa UVCCM Wilaya ya Mfenesini Canal Msaafu Masoud Ali Khamis na kushoto ni Mjumbe wa Kamati tendaji UVCCM Wilaya Khadija Ramadhan Abdu. Picha na Faki Mjaka- Maelezo Zanzibar. Mwenyekiti wa UVCCM...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

UVCCM Zanzibar watabiri ushindi

UMOJA wa Vijana wa CCM (UVCCM) upande wa Zanzibar, umesema unaunga mkono kauli ya Mwenyekiti wa CCM Taifa, Jakaya Kikwete kwamba CCM imejiandaa kushinda na kushika dola kwa sababu inao uzoefu wa kuongoza nchi.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

TAWOMA waomba kupatiwa mafunzo

NA MWANDISHI WETU
MWENYEKITI wa Chama cha Wanawake Wachimbaji Madini Tanzania (TAWOMA), Eunice Negele, amesema wanakabiliwa na changamoto  ya elimu ya uchimbaji, biashara na madini.
Hayo aliyasema jana mjini Dar es Salaam, wakati wa mkutano mkuu wa chama hicho, unaofanyika kwa siku mbili kuanzia jana, uliofunguliwa na Kamishna Msaidizi wa Madini, Hamisi Komba, kutoka Wizara ya Nishati na Madini.
“Lengo la chama chetu ni kuwaunganisha wanawake wachimbaji pamoja na kusaidiana kutoka mahali...

 

5 years ago

Michuzi

Wachimbaji Wadogo wa Madini Manyoni Waomba kupatiwa Umeme


Wachimbaji wa Madini wakiendelea na shughuli za uchimbaji wa madini katika machimbo ya dhahabu yaliyopo katika eneo la Londoni wilayani Manyoni mkoani Singida tarehe 18 Aprili, 2020.
Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Singida, Mjiolojia Chone Malembo (kulia)akibadilishana mawazo na mmiliki wa mgodi wa Paulo Msalaba na Washirika, Martin Thomas (kushoto) katika machimbo ya dhahabu yaliyopo katika eneo la Londoni wilayani Manyoni mkoani Singida tarehe 18 Aprili, 2020. Mmiliki wa mgodi wa Paulo...

 

10 years ago

Habarileo

Bosi UVCCM amzungumzia mrithi wa Kikwete

MWENYEKITI wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Juma Sadifa amependekeza Rais ajaye kutoka chama hicho awe ni yule mwenye kuwapenda vijana kama alivyo Rais wa sasa Jakaya Kikwete.

 

9 years ago

GPL

UVCCM: TULITARAJIA UAMUZI WA KINGUNGE

Aliyekuwa Kamanda Mkuu wa UVCCM, Kingunge Ngombale-Mwiru. Jumuiya ya Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), imesema haijashtushwa na uamuzi wa aliyekuwa Kamanda Mkuu wa jumuiya hiyo, Kingunge Ngombale-Mwiru, kuachana na CCM kwa kuwa tangu awali haukuridhishwa na mwenendo wake kisiasa.   UJumuiya hiyo imesema na ndiyo maana Kingunge alivuliwa wadhifa huo tangu Agosti 15, mwaka huu.   Hata hivyo, UVCCM imesema… ...

 

10 years ago

Habarileo

Kingunge kuendelea kuwa Kamanda UVCCM

BARAZA Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), limempitisha mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngombale Mwilu kuendelea kuwa kamanda wa umoja huo.

 

9 years ago

Daily News

Kingunge stripped of top UVCCM post


Kingunge stripped of top UVCCM post
Daily News
VETERAN politician and CCM cadre Kingunge Ngombale-Mwiru has been removed from his post as national commander of the party's youth wing, UVCCM; it was announced in Dar es Salaam. During the youth wing's council meeting held in Dar es Salaam ...

 

9 years ago

Mwananchi

UVCCM wamjibu Kingunge, wasema kakosa uungwana

Jumuiya ya Umoja wa Vijana ya CCM (UVCCM) imesema uamuzi wa aliyekuwa kada wa chama hicho, Mzee Kingunge Ngombale Mwiru kukihama chama hicho ni ukosefu wa uungwana  katika dhana ya siasa pamoja na uimla usiokubalika katika siasa za kileo.

 

9 years ago

Mwananchi

Mzee Kingunge ameniacha na mshangao

Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa alipoamua kuachana na chama hicho yaliibuka maswali mengi kuliko majibu na hata Profesa Ibrahim Lipumba alipoukataa wadhifa wake wa uenyekiti Taifa wa CUF kwa sababu tu Edward Lowassa amepitishwa na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kugombea urais, pia watu walihoji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani