UVCCM Zanzibar watabiri ushindi
UMOJA wa Vijana wa CCM (UVCCM) upande wa Zanzibar, umesema unaunga mkono kauli ya Mwenyekiti wa CCM Taifa, Jakaya Kikwete kwamba CCM imejiandaa kushinda na kushika dola kwa sababu inao uzoefu wa kuongoza nchi.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziUVCCM ZANZIBAR WAOMBA KUPATIWA MRITHI WA MZEE KINGUNGE KUNOGESHA USHINDI WAO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fpmQhPnbVWw/XuZGMS1W4sI/AAAAAAALt0s/ItW668muUc8AHltEcFk-6ibAV8-ALb2ugCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-14%2Bat%2B6.12.50%2BPM.jpeg)
Makonda, UVCCM watamba ushindi wa JPM
Makonda alitoa kauli hiyo wakati wa kikao na Umoja wa Vijana wa chama hicho (UVCCM), Mkoa wa Dar es salaam ambapo amesema yapo maendeleo makubwa yaliyofanywa na Serikali ya awamu ya tano na kama wasipoyazungumzia watatoa mwanya kwa watu wasiolitakia mema taifa kupenyeza uongo.
“Yapo mambo...
9 years ago
Dewji Blog01 Sep
UVCCM washauriwa kushawishi wenzao kukipa ushindi CCM
Katibu wa UVCCM Wilaya ya Mfenesini Haji Machano Juma akisisitiza jambo katika Semina elekezi kwa Vijana kuelekea Uchaguzi Mkuu iliyofanyika Uroa Kusini Unguja. Kulia kwake ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa NEC Khamis Ali, Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya hiyo Mbarouk Mrakib, na Mlezi wa kundi maalum na Mbunge wa Vijana Tauhida Galos. (Picha na Faki Mjaka-Maelezo Zanzibar).
Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Mfenesini Mbarouk Mrakib akitoa mada yake katika Semina elekezi kwa Vijana kuelekea...
11 years ago
Tanzania Daima06 Jan
UVCCM Zanzibar wamkaanga Warioba
NAIBU Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar, Shaka Hamdu Shaka, alisema maoni ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba ya Jaji Warioba hayakubaliki na kwamba yamekosa mashiko, uzalendo na nguvu ya kujenga...
11 years ago
Habarileo19 Dec
UVCCM waapa kuyaenzi Mapinduzi ya Zanzibar
JUMUIYA ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) imesema itaendelea kuyalinda na kuyaenzi Mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964 huku wakiwaasa wapinga mapinduzi kuwa wananchi wa Zanzibar, hawatakubaliani na hoja yao hiyo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DGhaQe0o0DR1lWP7aC61yfOB1eszbWQhz7WcrQ2YieEgTsgYI4tgaNBkfPGcktuwmhDsuNBDxgyFA84GnC0yk5MclqaXaqSH/1uv1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE APOKEA MATEMBEZI YA UVCCM ZANZIBAR
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UlqRnAV55VQ/VLIyg6wFndI/AAAAAAAG8rA/9MT_xwUWZsI/s72-c/IMG_0105.jpg)
DKT. SHEIN AYAPOKEA MATEMBEZI YA VIJANA WA UVCCM,ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-UlqRnAV55VQ/VLIyg6wFndI/AAAAAAAG8rA/9MT_xwUWZsI/s1600/IMG_0105.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-s6n4qzxaz1c/VLIygb3YiyI/AAAAAAAG8q8/RptoDvHvwPM/s1600/IMG_0090.jpg)
10 years ago
Habarileo06 Jun
CCM yajihakikishia ushindi Zanzibar
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kina uhakika wa kushinda katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu kwa sababu ya kufanikiwa kutekeleza na kusimamia Ilani ya Uchaguzi katika bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2015/16.