Makonda, UVCCM watamba ushindi wa JPM
![](https://1.bp.blogspot.com/-fpmQhPnbVWw/XuZGMS1W4sI/AAAAAAALt0s/ItW668muUc8AHltEcFk-6ibAV8-ALb2ugCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-14%2Bat%2B6.12.50%2BPM.jpeg)
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amewataka Vijana wa Chama cha Mapinduzi (CCM), kukilinda chama hicho na kuyaeleza maendeleo yaliyofanywa na Rais Dk. John Maguguli katika kipindi cha miaka mitano.
Makonda alitoa kauli hiyo wakati wa kikao na Umoja wa Vijana wa chama hicho (UVCCM), Mkoa wa Dar es salaam ambapo amesema yapo maendeleo makubwa yaliyofanywa na Serikali ya awamu ya tano na kama wasipoyazungumzia watatoa mwanya kwa watu wasiolitakia mema taifa kupenyeza uongo.
“Yapo mambo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog08 Jul
UVCCM Mbeya wamjibu Makonda
Katibu wa siasa na uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), mkoa wa Mbeya, Bashiru Madodi.
Na Mwandishi wetu
Katibu wa siasa na uenezi wa Chama Cha Mapinduzi(CCM), mkoa wa Mbeya, Bashiru Madodi, amesema kuwa tatizo kubwa la baadhi ya vijana wa chama hicho(UVCCM), wanatumika vibaya na wagombea na kukisemea chama bila utaratibu.
Madodi alisema hayo katika ukumbi wa CCM mkoa wa Mbeya, wakati wa Baraza kuu la UVCCM Mkoani hapa, ambalo lilifanyika kwa mujibu wa kanuni za umoja huo kwa ajili ya...
11 years ago
Tanzania Daima02 Feb
Makonda awatia ganzi viongozi UVCCM
HATIMA ya Paul Makonda kuhusu kauli aliyoitoa dhidi ya aliyewahi kuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa, itajulikana baada ya kumalizika kwa maadhimisho ya miaka 37 ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi...
11 years ago
GPLPAUL MAKONDA WA UVCCM ATEMBELEA GLOBAL
11 years ago
GPLMAKONDA ASIMIKA MAKAMANDA 16 WA UVCCM MKOA WA SINGIDA
10 years ago
Habarileo07 Aug
UVCCM Zanzibar watabiri ushindi
UMOJA wa Vijana wa CCM (UVCCM) upande wa Zanzibar, umesema unaunga mkono kauli ya Mwenyekiti wa CCM Taifa, Jakaya Kikwete kwamba CCM imejiandaa kushinda na kushika dola kwa sababu inao uzoefu wa kuongoza nchi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-O3_LN64pSXs/XuUCDng2VOI/AAAAAAALtro/O9NuaXww4voyVbqMAElp_gWcf7K1DmVFwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RC MAKONDA AWATAKA UVCCM KUSIMAMA KIDETE KUKIPIGANIA CHAMA CHA MAPINDUZI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-O3_LN64pSXs/XuUCDng2VOI/AAAAAAALtro/O9NuaXww4voyVbqMAElp_gWcf7K1DmVFwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
RC Makonda ametoa kauli hiyo wakati wa Kikao na Vijana wa UVCCM Mkoa wa Dar es salaam ambapo amesema yapo Maendeleo Makubwa yaliyofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano na kama wasipoyazungumzia watatoa mwanya kwa watu wasiolitakia mema Taifa kupenyeza Wongo.
Aidha RC...
9 years ago
Dewji Blog01 Sep
UVCCM washauriwa kushawishi wenzao kukipa ushindi CCM
Katibu wa UVCCM Wilaya ya Mfenesini Haji Machano Juma akisisitiza jambo katika Semina elekezi kwa Vijana kuelekea Uchaguzi Mkuu iliyofanyika Uroa Kusini Unguja. Kulia kwake ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa NEC Khamis Ali, Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya hiyo Mbarouk Mrakib, na Mlezi wa kundi maalum na Mbunge wa Vijana Tauhida Galos. (Picha na Faki Mjaka-Maelezo Zanzibar).
Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Mfenesini Mbarouk Mrakib akitoa mada yake katika Semina elekezi kwa Vijana kuelekea...
9 years ago
MichuziUVCCM ZANZIBAR WAOMBA KUPATIWA MRITHI WA MZEE KINGUNGE KUNOGESHA USHINDI WAO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JQCJar-9Q-Y/Xl-VysRd-lI/AAAAAAALg7M/RR2ILAmxsP4d1u4NBU6VL6Li4hn4R5IlgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B2.04.17%2BPM.jpeg)
RC MAKONDA ATANGAZA DAWA KWA WAKANDARASI WANAOKIUKA TARATIBU ZA MIKATABA * RC Makonda asema hakuna mgonjwa wa Covid 19, awataka wananchi kufuata maelekezo Na Leandra Gabriel, Michuzi TV MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza kamati ya w
![](https://1.bp.blogspot.com/-JQCJar-9Q-Y/Xl-VysRd-lI/AAAAAAALg7M/RR2ILAmxsP4d1u4NBU6VL6Li4hn4R5IlgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B2.04.17%2BPM.jpeg)
* RC Makonda asema hakuna mgonjwa wa Covid 19, awataka wananchi kufuata maelekezo
Na Leandra Gabriel, Michuzi TVMKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza kamati ya watu 13 kutoka Serikali na sekta binafsi ambao...