Makonda awatia ganzi viongozi UVCCM
HATIMA ya Paul Makonda kuhusu kauli aliyoitoa dhidi ya aliyewahi kuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa, itajulikana baada ya kumalizika kwa maadhimisho ya miaka 37 ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi26 Nov
Makonda awatia mbaroni maofisa 20 ardhi
11 years ago
Dewji Blog08 Jul
UVCCM Mbeya wamjibu Makonda
Katibu wa siasa na uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), mkoa wa Mbeya, Bashiru Madodi.
Na Mwandishi wetu
Katibu wa siasa na uenezi wa Chama Cha Mapinduzi(CCM), mkoa wa Mbeya, Bashiru Madodi, amesema kuwa tatizo kubwa la baadhi ya vijana wa chama hicho(UVCCM), wanatumika vibaya na wagombea na kukisemea chama bila utaratibu.
Madodi alisema hayo katika ukumbi wa CCM mkoa wa Mbeya, wakati wa Baraza kuu la UVCCM Mkoani hapa, ambalo lilifanyika kwa mujibu wa kanuni za umoja huo kwa ajili ya...
11 years ago
GPLPAUL MAKONDA WA UVCCM ATEMBELEA GLOBAL
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fpmQhPnbVWw/XuZGMS1W4sI/AAAAAAALt0s/ItW668muUc8AHltEcFk-6ibAV8-ALb2ugCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-14%2Bat%2B6.12.50%2BPM.jpeg)
Makonda, UVCCM watamba ushindi wa JPM
Makonda alitoa kauli hiyo wakati wa kikao na Umoja wa Vijana wa chama hicho (UVCCM), Mkoa wa Dar es salaam ambapo amesema yapo maendeleo makubwa yaliyofanywa na Serikali ya awamu ya tano na kama wasipoyazungumzia watatoa mwanya kwa watu wasiolitakia mema taifa kupenyeza uongo.
“Yapo mambo...
11 years ago
GPLMAKONDA ASIMIKA MAKAMANDA 16 WA UVCCM MKOA WA SINGIDA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-O3_LN64pSXs/XuUCDng2VOI/AAAAAAALtro/O9NuaXww4voyVbqMAElp_gWcf7K1DmVFwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RC MAKONDA AWATAKA UVCCM KUSIMAMA KIDETE KUKIPIGANIA CHAMA CHA MAPINDUZI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-O3_LN64pSXs/XuUCDng2VOI/AAAAAAALtro/O9NuaXww4voyVbqMAElp_gWcf7K1DmVFwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
RC Makonda ametoa kauli hiyo wakati wa Kikao na Vijana wa UVCCM Mkoa wa Dar es salaam ambapo amesema yapo Maendeleo Makubwa yaliyofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano na kama wasipoyazungumzia watatoa mwanya kwa watu wasiolitakia mema Taifa kupenyeza Wongo.
Aidha RC...
11 years ago
Tanzania Daima28 Apr
UVCCM Sengerema yatimua viongozi kwa ubadhirifu
BARAZA la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Sengerema, Mkoa Mwanza, limemvua madaraka Mwenyekiti wa umoja huo wilayani hapa, Robert Madaha. Mbali na Madaha, ambaye pia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JQCJar-9Q-Y/Xl-VysRd-lI/AAAAAAALg7M/RR2ILAmxsP4d1u4NBU6VL6Li4hn4R5IlgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B2.04.17%2BPM.jpeg)
RC MAKONDA ATANGAZA DAWA KWA WAKANDARASI WANAOKIUKA TARATIBU ZA MIKATABA * RC Makonda asema hakuna mgonjwa wa Covid 19, awataka wananchi kufuata maelekezo Na Leandra Gabriel, Michuzi TV MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza kamati ya w
![](https://1.bp.blogspot.com/-JQCJar-9Q-Y/Xl-VysRd-lI/AAAAAAALg7M/RR2ILAmxsP4d1u4NBU6VL6Li4hn4R5IlgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B2.04.17%2BPM.jpeg)
* RC Makonda asema hakuna mgonjwa wa Covid 19, awataka wananchi kufuata maelekezo
Na Leandra Gabriel, Michuzi TVMKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza kamati ya watu 13 kutoka Serikali na sekta binafsi ambao...