Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makonda awatia mbaroni maofisa 20 ardhi

Kasi ya uimarishaji utumishi wa umma imewakumba maofisa ardhi 20 wa Manispaa ya Kinondoni baada ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni mkoani Dar es Salaam, Paul Makonda kuwaweka rumande kwa saa sita kwa kuchelewa kuwasili katika ziara ya kutatua migogoro ya ardhi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Makonda awaweka rumande maofisa ardhi

MAKONDANa Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda, jana aliwaweka ndani maofisa ardhi zaidi ya 10 kwa saa sita.

Imeelezwa kuwa Makonda alifanya hivyo  kwa kile kilichoelezwa kukaidi agizo lake la kuwataka wawahi katika eneo la mkutano   kusikiliza migogoro ya ardhi.

Tukio hilo lilitokea katika eneo la Nakasangawe Kata ya Wazo, Dar es Salaam, baada ya  maofisa hao kuchelewa kufika tofauti na walivyotakiwa.

Makonda alisema   walikubalina kuwahi katika kikao cha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Makonda awatia ganzi viongozi UVCCM

HATIMA ya Paul Makonda kuhusu kauli aliyoitoa dhidi ya aliyewahi kuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa, itajulikana baada ya kumalizika kwa maadhimisho ya miaka 37 ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi...

 

9 years ago

Mwananchi

Maofisa 12 wa TRA mbaroni kwa upotevu wa makontena

Maofisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), wanaotuhumiwa kuitia Serikali hasara ya Sh80 bilioni kutokana na upotevu wa makontena 349, wametiwa mbaroni.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Lukuvi awapa darasa maofisa ardhi


NA DOTTO MADUHU, MWANZA
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Wiliam Lukuvi, amewaagiza maofisa ardhi na wazee wa mabaraza ya ardhi, kuhakikisha wanatenda haki ya kutoa hukumu kwa wakati kuhusu mashauri ya ardhi.

Lukuvi alisema hayo jana katika ziara yake ya siku mbili mkoani hapa, na kuongeza kuwa lengo la ziara hiyo ni kutokana na kuwepo kwa malalamiko mengi kutoka kwa wananchi wa kanda ya ziwa.
Aliwaasa maofisa ardhi kuhudumia wananchi kwa haki na uzalendo bila kujali uwezo wao wa...

 

5 years ago

Michuzi

TAKUKURU MANYARA YAWATIA MBARONI MAOFISA WAWILI WA TRA

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini, (TAKUKURU) Mkoani Manyara, inawashikilia maofisa wawili wa mamlaka ya mapato nchini (TRA) kwa kudaiwa kupokea rushwa ya shilingi milioni 10.
Mkuu wa TAKUKURU Mkoani Manyara, Holle Joseph Makungu (Pichani) akizungumza mjini Babati alisema maofisa hao TRA wanadaiwa kufanya kosa hilo kinyume cha kifungu cha 15 cha sheria ya kuzuia na kupambana na rushwa namba 11/2007. 
Makungu aliwataja majina yao maofisa hao wa TRA wanaodaiwa kupokea rushwa ya...

 

10 years ago

Habarileo

Lukuvi awakabidhi kwa Takukuru maofisa ardhi

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amewakabidhi mikononi mwa Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa(Takukuru) maofisa wawili wa Idara ya Ardhi wa halmashauri ya jiji la Mbeya, na mmoja kutoka ofisi ya wizara yake wanaokabiliwa na tuhuma za kujimilikisha viwanja 25 kinyume cha sheria.

 

9 years ago

Global Publishers

Mbunge wa Ubungo Mbaroni kwa Amri ya DC. Makonda

1Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea (Chadema), akipanda kwenye apelekwe kituoni.2 Wananchi wakitaharuki.3Mbunge Saed Kubenea mwenye (shati jeusi) wakitofautina na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, DC. Paul Makonda (mwenye fulana ya mistari).4 Hali ya sintofahamu.5Kubenea akizungumza jambo.

MBUNGE wa Ubungo, Saed Kubenea (Chadema) jana alikamatwa na polisi eneo la viwanda (EPZA) Mabibo kwa amri ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda.

Tukio hilo lilitokea kukiwa na mgomo wa wafanyakazi zaidi ya 1800...

 

9 years ago

CHADEMA Blog

Mbunge wa Ubungo mbaroni kwa amri ya Makonda

MBUNGE wa Ubungo, Saed Kubenea (Chadema) amekamatwa na polisi eneo la viwanda (EPZA) Mabibo kwa amri ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda. Anaandika Josephat Isango … (endelea).Tukio hilo limetokea kukiwa na mgomo wa wafanyakazi zaidi ya 1800 wa kiwanda cha nguo cha TZ TOOKU ambao walimpigia mbunge wao aende kutatua mgogoro huo.Kubenea alifika katika eneo hilo saa 6 mchana, akakutana na

 

10 years ago

Michuzi

PAUL MAKONDA AUNDA KAMATI YA KUSHUSHUGHULIKIA MIGOGORO YA ARDHI KINONDONI


Mh. Paul Makonda
Mkuu wa Wilaya la KinondoniMkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda amesema kuwa wilaya ya Kinondoni inakabiliwa na changamoto migogoro ya ardhi ambayo inatakiwa kila mtu ambaye amenyimwa haki ya ardhi watapata kutokana na utaratibu uliopo.
Makonda aliyasema hayo hivi karibuni wakati ziara ya kutembelea wilaya hiyo, Makonda alisema asili ya migogoro hii inatokana hasa na mgongano wa uhalali wa umiliki pamoja na uvamizi wa maeneo ya wazi yaliyotengwa maalumu kwa shughuli za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani