Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UVCCM Sengerema yatimua viongozi kwa ubadhirifu

BARAZA la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Sengerema, Mkoa Mwanza, limemvua madaraka Mwenyekiti wa umoja huo wilayani hapa, Robert Madaha. Mbali na Madaha, ambaye pia...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Ubadhirifu wa fedha na rasilimali wapungua vijijini kwa viongozi kuhofia kuchukuliwa hatua na wakazi wa maeneo hayo

warag

Waraghbishi toka vijiji vya Iponya, Nyakasumula, Bukandwe na Shenda wakiwa katika picha ya pamoja na mwenyekiti na mtendaji wa kijiji cha Shenda.

Ni miaka mitatu na miezi nane toka mraghbishi Fedson Yaida na wenzake toka vijiji vya jirani kukutana na Chukua Hatua. Ni rafiki waliyekutana naye mwaka 2011 katika mazungumzo maalumu ambayo walitakiwa kuyafikisha kwa wananchi wenzao wa vijiji vya Shenda, Iponya, Nyakasumula na Bukandwe katika wilaya ya Mbogwe mkoani Geita. 

Ni katika mazungumzo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Jumuiya ya umoja wa vijana (UVCCM) yawaonya viongozi CCM mkoa kuacha kuwagawa vijana kwa maslahi yao

KATIBU

Katibu Mkuu wa UVCCM Wilaya ya Mkalama Florian Panga akizungumza kwenye kikao hicho.

Na Hillary Shoo, MKALAMA.

JUMUIYA ya Umoja wa Vijana (UVCCM) imewataka viongozi mbalimbali wa CCM Mkoa wa Singida kuacha kuwagawa vijana kwa maslahi yao binafsi kwani kufanya hivyo ni kuleta mpasuko na makundi miongoni mwao.

Changamoto hiyo imetolewa Wilayani hapa na Katibu Mkuu wa UVCCM Mkoa wa Singida, Ramadhani Kapeto wakati akifunga kambi ya vijana wa Wilaya ya Mkalama ya siku saba kwenye shule ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Makonda awatia ganzi viongozi UVCCM

HATIMA ya Paul Makonda kuhusu kauli aliyoitoa dhidi ya aliyewahi kuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa, itajulikana baada ya kumalizika kwa maadhimisho ya miaka 37 ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi...

 

9 years ago

Habarileo

15 kushitakiwa kwa ubadhirifu

JUMUIYA ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) inakusudia kuwafikisha wakuu wa shule zake 15 kwenye vyombo vya sheria kutokana na madai ya ubadhirifu wa fedha.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafunga ofisi ya serikali kwa ubadhirifu

TUHUMA za ubadhirifu na uporaji wa ardhi zinazowakabili baadhi ya watendaji wa halmashauri na kijiji, zimewasukuma wananchi wa Kijiji cha Bugulula, Kata ya Bugulula wilayani Geita kufunga ofisi ya serikali...

 

9 years ago

Habarileo

Wakataa uongozi wa kijiji kwa ubadhirifu

WANANCHI wa kijiji cha Igogo, kata ya Nanga, wilaya ya Igunga mkoani Tabora wamemkataa Ofisa Mtendaji pamoja na baadhi ya wajumbe wa serikali ya kijiji kwa tuhuma za ubadhirifu wa fedha.

 

9 years ago

Mtanzania

Watumishi wasimamishwa kwa ubadhirifu wa mamilioni

Antony-MtakaNa Upendo Mosha, Hai

SERIKALI imewasimamisha kazi watumishi wanne wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai  kwa muda usiojulikana kwa tuhuma za ubadhirifu wa zaidi ya Sh milioni 70.

Vilevile imemfukuza kazi mhasibu mmoja wa Hospitali Teule ya Machame kwa tuhuma hizo hizo.

Mkuu wa Wilaya ya Hai, Antony Mtaka, alisema jana kuwa watumishi hao wamesimamishwa kazi   baada ya kuthibitika kufanya ubadhirifu mkubwa wa fedha za umma.

Alisema   wawili kati yao ni maofisa wa halmashauri hiyo ambao  wanadaiwa...

 

10 years ago

Mtanzania

Vigogo wawili jela kwa ubadhirifu

Na Mwandishi Wetu, Nachingwea
MAHAKAMA ya Wilaya ya Nachingwea mbele ya Hakimu Mfawidhi Joseph Hemela, imewatia hatiani washtakiwa wote wawili katika kesi ya ufujaji na ubadhirifu wa Sh 13,395,800 za wanachama wa Chama cha Ushirika cha Naipanga katika kesi namba CC 66/2013 iliyofunguliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mwaka 2013.

Hukumu hiyo inahusisha ununuzi hewa wa korosho katika msimu wa mwaka 2010/2011 dhidi ya washtakiwa hao waliokuwa watia saini benki katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani