Vigogo wawili jela kwa ubadhirifu
Na Mwandishi Wetu, Nachingwea
MAHAKAMA ya Wilaya ya Nachingwea mbele ya Hakimu Mfawidhi Joseph Hemela, imewatia hatiani washtakiwa wote wawili katika kesi ya ufujaji na ubadhirifu wa Sh 13,395,800 za wanachama wa Chama cha Ushirika cha Naipanga katika kesi namba CC 66/2013 iliyofunguliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mwaka 2013.
Hukumu hiyo inahusisha ununuzi hewa wa korosho katika msimu wa mwaka 2010/2011 dhidi ya washtakiwa hao waliokuwa watia saini benki katika...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboVigogo wawili jela kwa ubadhirifu wa Sh 13,395,800.
Hukumu hiyo inahusisha ununuzi hewa wa korosho katika msimu wa mwaka 2010/2011 dhidi ya washtakiwa hao waliokuwa watia saini benki katika akaunti ya biashara ya Naipanga...
11 years ago
BBCSwahili05 May
Wanajeshi wawili wa DRC jela kwa ubakaji
11 years ago
Michuzinews alert: wawili wahukumiwa faini shilingi milioni 15 ama jela miaka 15 kwa ujenzi wa jengo la ghorofa 18 jijini dar es salaam
Washtakiwa hao ni aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), Makumba Kimweri na aliyekuwa Msanifu Mkuu wake Richard Maliyaga (55) wote wakazi wa jijini Dar es Salaam.
Akisoma hukumu hiyo Hakimu Mkazi Sundi...
11 years ago
Mwananchi21 Feb
Vigogo wawili MSD mahakamani Dar
11 years ago
Habarileo11 Feb
Vigogo TBA jela miaka tisa
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu,leo imewahukumu vigogo wawili wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), kifungo cha miaka tisa jela. Vigogo hao ni aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu, Makumba Kimweri na aliyekuwa Msanifu Mkuu wake, Richard Maliyaga.
11 years ago
GPLVIGOGO TBA WAHUKUMIWA MIAKA 9 JELA
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Kashfa ya Tegeta Escrow: Vigogo wawili Serikalini kizimbani
9 years ago
BBCSwahili04 Sep
Wanenguaji wawili wafungwa jela Misri
10 years ago
Mwananchi17 Nov
Meno ya tembo yawatupa wawili jela miaka 20