Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanajeshi wawili wa DRC jela kwa ubakaji

Wanajeshi 2 wa DRC wamepatikana na hatia ya ubakaji kati wanajeshi 39 walioshitakiwa kwa makosa ya uhalifu wa kivita mashariki mwa nchi hiyo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wanajeshi wawili JWTZ wauawa DRC

Askari wawili wa Tanzania waliokuwa kwenye kikosi cha kulinda amani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), wameuawa na wengine 13 kujeruhiwa usiku wa kuamkia jana baada ya msafara wao kushambuliwa kwa roketi na waasi.

 

10 years ago

GPL

DRC: MONUSCO YAWAPOTEZA WANAJESHI WAKE WAWILI

Wanajeshi wa kulinda amini wa Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Wanajeshi wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa wasiopungua wawili wameuawa na wengine 13 kujeruhiwa baada ya msafara wao kushambuliwa na waasi Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). ...wakifanya doria. Kikosi cha wanajeshi wa Tanzania kilishambuliwa jana huku wanajeshi wanne wakiwa hawajulikani walipo. Hayo yameelezwa na...

 

11 years ago

Habarileo

Jela miaka 30 kwa ubakaji

MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala imemhukumu Hashimu Ahamada (48) kifungo cha miaka 30 jela baada ya kushitakiwa kwa kesi ya ubakaji na ushahidi kukamilika.

 

11 years ago

Habarileo

Miaka 30 jela kwa ubakaji

MKAZI wa kijiji cha Kigonsera kata ya Kigonsera wilayani Mbinga mkoani Ruvuma, Anton Ndimbo (33) amehukumiwa kwenda jela miaka 30 kutokana na kupatikana na kosa la ubakaji.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mwanafunzi jela miaka 30 kwa ubakaji

MWANAFUNZI mmoja wa sekondari ya Hunyari, Wilaya hapa, Mkoa wa Mara, amehukumiwa kwenda jela miaka 30 na kuchapwa viboko 12 na Mahakama ya Wilaya hiyo kwa kosa la kumbaka mwanafunzi...

 

11 years ago

GPL

WANAFUNZI WAWILI WA CHUO CHA MWENGE MOSHI WATUHUMIWA KWA UBAKAJI

Ofisa wa Polisi anayeshughulikia Dawati la Jinsia na Watoto, Afande Kasusura akiwa na bwana Majaliwa ambaye ni mmoja wa watuhumiwa wa ubakaji. Mtuhumiwa Majaliwa akioneshwa watoto alioshiriki kuwabaka kabla ya kwenda kuonesha mwenzake alipo.…

 

10 years ago

BBCSwahili

DRC: Watu wawili wafa kwa Ebola

Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo imesema watu wawili wamekufa kutokana na ugonjwa wa Ebola,

 

10 years ago

Mtanzania

Vigogo wawili jela kwa ubadhirifu

Na Mwandishi Wetu, Nachingwea
MAHAKAMA ya Wilaya ya Nachingwea mbele ya Hakimu Mfawidhi Joseph Hemela, imewatia hatiani washtakiwa wote wawili katika kesi ya ufujaji na ubadhirifu wa Sh 13,395,800 za wanachama wa Chama cha Ushirika cha Naipanga katika kesi namba CC 66/2013 iliyofunguliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mwaka 2013.

Hukumu hiyo inahusisha ununuzi hewa wa korosho katika msimu wa mwaka 2010/2011 dhidi ya washtakiwa hao waliokuwa watia saini benki katika...

 

10 years ago

Vijimambo

Vigogo wawili jela kwa ubadhirifu wa Sh 13,395,800.

MAHAKAMA ya Wilaya ya Nachingwea mbele ya Hakimu Mfawidhi Joseph Hemela, imewatia hatiani washtakiwa wote wawili katika kesi ya ufujaji na ubadhirifu wa Sh 13,395,800 za wanachama wa Chama cha Ushirika cha Naipanga katika kesi namba CC 66/2013 iliyofunguliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mwaka 2013.
Hukumu hiyo inahusisha ununuzi hewa wa korosho katika msimu wa mwaka 2010/2011 dhidi ya washtakiwa hao waliokuwa watia saini benki katika akaunti ya biashara ya Naipanga...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani