Wanajeshi wawili wa DRC jela kwa ubakaji
Wanajeshi 2 wa DRC wamepatikana na hatia ya ubakaji kati wanajeshi 39 walioshitakiwa kwa makosa ya uhalifu wa kivita mashariki mwa nchi hiyo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi07 May
Wanajeshi wawili JWTZ wauawa DRC
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LDRZ*VdxUTHJL9H8*wz4F*-5Y39as3bqQeRw8e2poOyWWLuuqxTQq8Hy0QWehyYydoW2N4G14ehRqrAFTZ3RdFVo-GyASz1d/ob_a84576_monuscotz.png.jpg?width=650)
DRC: MONUSCO YAWAPOTEZA WANAJESHI WAKE WAWILI
11 years ago
Habarileo01 Mar
Jela miaka 30 kwa ubakaji
MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala imemhukumu Hashimu Ahamada (48) kifungo cha miaka 30 jela baada ya kushitakiwa kwa kesi ya ubakaji na ushahidi kukamilika.
11 years ago
Habarileo26 Feb
Miaka 30 jela kwa ubakaji
MKAZI wa kijiji cha Kigonsera kata ya Kigonsera wilayani Mbinga mkoani Ruvuma, Anton Ndimbo (33) amehukumiwa kwenda jela miaka 30 kutokana na kupatikana na kosa la ubakaji.
10 years ago
Tanzania Daima23 Nov
Mwanafunzi jela miaka 30 kwa ubakaji
MWANAFUNZI mmoja wa sekondari ya Hunyari, Wilaya hapa, Mkoa wa Mara, amehukumiwa kwenda jela miaka 30 na kuchapwa viboko 12 na Mahakama ya Wilaya hiyo kwa kosa la kumbaka mwanafunzi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/omkt7cwbhXKmbZtyTakf6zIDeaM-Tqcl47yRkY7-EtPU7U3t-KUuPHqwuP1bBR47CqzwWzT01S*5EYoS3s41IddeoJAKFLRV/chuo.jpg?width=650)
WANAFUNZI WAWILI WA CHUO CHA MWENGE MOSHI WATUHUMIWA KWA UBAKAJI
10 years ago
BBCSwahili25 Aug
DRC: Watu wawili wafa kwa Ebola
10 years ago
Mtanzania09 May
Vigogo wawili jela kwa ubadhirifu
Na Mwandishi Wetu, Nachingwea
MAHAKAMA ya Wilaya ya Nachingwea mbele ya Hakimu Mfawidhi Joseph Hemela, imewatia hatiani washtakiwa wote wawili katika kesi ya ufujaji na ubadhirifu wa Sh 13,395,800 za wanachama wa Chama cha Ushirika cha Naipanga katika kesi namba CC 66/2013 iliyofunguliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mwaka 2013.
Hukumu hiyo inahusisha ununuzi hewa wa korosho katika msimu wa mwaka 2010/2011 dhidi ya washtakiwa hao waliokuwa watia saini benki katika...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-jZaf52YJlO8/VU4PU8iED8I/AAAAAAAAFy8/cVxyH33-U5Q/s72-c/702013131_univ_lsr_lg.jpg)
Vigogo wawili jela kwa ubadhirifu wa Sh 13,395,800.
![](http://2.bp.blogspot.com/-jZaf52YJlO8/VU4PU8iED8I/AAAAAAAAFy8/cVxyH33-U5Q/s640/702013131_univ_lsr_lg.jpg)
Hukumu hiyo inahusisha ununuzi hewa wa korosho katika msimu wa mwaka 2010/2011 dhidi ya washtakiwa hao waliokuwa watia saini benki katika akaunti ya biashara ya Naipanga...