DRC: Watu wawili wafa kwa Ebola
Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo imesema watu wawili wamekufa kutokana na ugonjwa wa Ebola,
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili18 Apr
Watu 40 wafa maji katika mafuriko DRC
9 years ago
Mwananchi07 Sep
Watu wawili wafa kwenye mkanyagano mkutano wa Magufuli Moro
10 years ago
Dewji Blog04 Dec
Watu wawili wafa papo hapo katika ajali mkoani Singida baada ya bajaj kugongwa na Fuso
Kamanda wa Jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP, Thobias Sedoyeka akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani).
Na Nathaniel Limu, Singida
Watu wawili wamefariki dunia katika ajali mkoani Singida,baada ya bajaj waliokuwa wakisafiria kugongwa na gari aina mitsubishi fuso lenye namba za usajili T.641 AVA lililokuwa likiendeshwa na Modest Kisaka (27) mkazi wa Mughanga manispaa ya Singida.
Watu hao ni pamoja na derive wa bajaj hiyo yenye namba za usajili MC 866 ABW aina ya YVS, Thadei...
10 years ago
Habarileo10 Apr
Wawili wafa kwa risasi
WATU wawili kati ya sita wanaoshikiliwa na polisi kwa tuhuma za mauaji ya watu mbalimbali wamekufa kutokana na majeraha ya risasi wakati wakijaribu kutoroka.
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
Wawili wafa kwa kupigwa risasi
WATU wawili wamefariki dunia kwa kupigwa risasi na watu wanaosadikiwa kuwa majambazi baada ya kuvamia Tarafa ya Ingwe, Wilaya ya Tarime, Mkoa wa Mara. Kamanda wa Polisi Tarime na Rorya,...
10 years ago
Habarileo27 Jan
Wawili wafa kwa kula uyoga
WATU wawili wa familia moja wamefariki dunia katika Kijiji cha Masyalele, Wilaya ya Nanyumbu Mkoa wa Mtwara baada ya kula uyoga unaosadikiwa kuwa sumu. Pia wengine wanne walazwa akiwamo mtoto wa miaka mitatu katika kituo cha afya cha Mangaka.
11 years ago
Mwananchi11 Aug
Wawili wafa kwa kuchomwa moto
5 years ago
CCM Blog10 Apr
WANAUME WAWILI WAFA KWA CORONA TANZANIA
![HABARI ZA HIVI PUNDE](https://ichef.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/D626/production/_97722845_b464b65c-eaac-418d-acd3-6b97bf8ce4d3.jpg)
11 years ago
BBCSwahili05 May
Wanajeshi wawili wa DRC jela kwa ubakaji