Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANAUME WAWILI WAFA KWA CORONA TANZANIA


HABARI ZA HIVI PUNDEKulingana na taarifa ya Wizara ya afya kuhusu Ugonjwa wa virusi vya corona nchini Tanzania wanaume hao wote wawili waliokufa ni raia wa Tanzania.Wagonjwa hao ni miongoni mwa wagonjwa waliothibitishwa kuwa na maambukizi ya covid-19.Waliothibitishwa kupoteza maisha ni Mwanaume mwenye miaka 51, mtanzania mkazi wa Dar es Salaam na mwanaume wa miaka 57Halikadhalika wizara ya afya imethibitisha kuwepo kwa wagonjwa wapya watano wa virusi vya corona.Wagonjwa hao ni wote ni watanzania wakazi wa...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wanaume wawili wathibitishwa kufa kutokana na Covid-19 Tanzania

Kulingana na taarifa ya Wizara ya afya kuhusu Ugonjwa wa virusi vya corona nchini Tanzania wanaume hao wote wawili waliokufa ni raia wa Tanzania.

 

10 years ago

Habarileo

Wawili wafa kwa risasi

Kamanda wa Polisi Kagera, Henry MwaibambeWATU wawili kati ya sita wanaoshikiliwa na polisi kwa tuhuma za mauaji ya watu mbalimbali wamekufa kutokana na majeraha ya risasi wakati wakijaribu kutoroka.

 

10 years ago

Habarileo

Wawili wafa kwa kula uyoga

WATU wawili wa familia moja wamefariki dunia katika Kijiji cha Masyalele, Wilaya ya Nanyumbu Mkoa wa Mtwara baada ya kula uyoga unaosadikiwa kuwa sumu. Pia wengine wanne walazwa akiwamo mtoto wa miaka mitatu katika kituo cha afya cha Mangaka.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wawili wafa kwa kupigwa risasi

WATU wawili wamefariki dunia kwa kupigwa risasi na watu wanaosadikiwa kuwa majambazi baada ya kuvamia Tarafa ya Ingwe, Wilaya ya Tarime, Mkoa wa Mara. Kamanda wa Polisi Tarime na Rorya,...

 

11 years ago

Mwananchi

Wawili wafa kwa kuchomwa moto

Wakazi wawili wa Kijiji cha Damwelu, Kata ya Ipande, Tarafa ya Itigi wilayani hapa wamefariki dunia baada ya kupigwa na kuchomwa moto na kundi la watu waliojitambulisha kuwa ni sungusungu.

 

10 years ago

BBCSwahili

DRC: Watu wawili wafa kwa Ebola

Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo imesema watu wawili wamekufa kutokana na ugonjwa wa Ebola,

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wawili wafa Dar

WATU wawili wameripotiwa kufariki dunia katika matukio tofauti jijini Dar es Salaam likiwemo la mtoto kutumbukia kwenye karo la maji machafu. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili, Kamanda Msaidizi wa Polisi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wawili wafa mgodini

WATU wawili wamefariki dunia na mwingine kujeruhiwa baada ya kuporomoka na kuanguka ndani ya shimo la kuchimba dhahabu la Gokona la mgodi wa dhahabu wa North Mara uliopo katika Kijiji...

 

11 years ago

Mwananchi

Jimbo la Ubungo wafa wawili

Mbunge wa Ubungo (Chadema) jijini Dar es Salaaam, John Mnyika amesema mvua zinazonyesha jijini humo zimesababisha vifo vya watu wawili na uharibifu wa miundombinu ya barabara.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani