Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vigogo wawili MSD mahakamani Dar

Wakurugenzi wawili wa Bohari Kuu ya Dawa (MSD), Meneja Ubora wa Bodi Binafsi ya Maabara ya Afya na Msajili Msaidizi wake wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka saba ya matumizi mabaya ya madaraka, uhujumu uchumi na kuisababishia Serikali hasara ya Sh3.450 bilioni kwa kuingiza nchini vitendanishi feki vinavyotumika katika upimaji wa VVU.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Takukuru mashahidi 15 kesi ya vigogo MSD

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) inatarajia kuwa na mashahidi 15 na vielelezo 12 katika kesi ya kuingiza vipimo bandia vya Virusi vya Ukimwi (HIV) inayowakabili vigogo wa Bohari ya Dawa (MSD) na wenzao.

 

11 years ago

Michuzi

KESI YA VIPIMO VYA HIV FEKI DHIDI YA VIGOGO MSD

Na Sultani Kipingo
UPANDE wa Jamhuri katika kesi ya inayowakabili watu wanne watano wakiwemo maofisa wa Bohari Kuu ya Dawa (MSD) ya matumizi mabaya ya madaraka na kuingiza nchini vipimo feki vya kupimia virusi vya ukimwi na kuisababishia serikali hasara ya Sh.bilioni 3, umeomba mahakama kuhamia nyumbani kwa mshtakiwa wa kwanza Sylvester Matandiko kwa ajili ya kumsomea mashtaka yake.

Maombi hayo yaliwasilishwa jana na Mwendesha Mashitaka wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Vigogo wa kisiasa mahakamani Sudan:K

Kesi imeanza nchini Sudan Kusini ya vigogo wanne wa kisiasa wanaotuhumiwa kwa uhaini na njama ya kumwondoa mamlakani Rais Salva Kiir

 

10 years ago

Mtanzania

Vigogo wawili jela kwa ubadhirifu

Na Mwandishi Wetu, Nachingwea
MAHAKAMA ya Wilaya ya Nachingwea mbele ya Hakimu Mfawidhi Joseph Hemela, imewatia hatiani washtakiwa wote wawili katika kesi ya ufujaji na ubadhirifu wa Sh 13,395,800 za wanachama wa Chama cha Ushirika cha Naipanga katika kesi namba CC 66/2013 iliyofunguliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mwaka 2013.

Hukumu hiyo inahusisha ununuzi hewa wa korosho katika msimu wa mwaka 2010/2011 dhidi ya washtakiwa hao waliokuwa watia saini benki katika...

 

10 years ago

Mwananchi

Kashfa ya Tegeta Escrow: Vigogo wawili Serikalini kizimbani

Miezi michache baada ya kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow kutikisa nchi, watumishi wawili waandamizi wa Serikali wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakituhumiwa kupokea rushwa ya mamilioni ya fedha zilizotoka kwenye akaunti hiyo.

 

10 years ago

Vijimambo

Vigogo wawili jela kwa ubadhirifu wa Sh 13,395,800.

MAHAKAMA ya Wilaya ya Nachingwea mbele ya Hakimu Mfawidhi Joseph Hemela, imewatia hatiani washtakiwa wote wawili katika kesi ya ufujaji na ubadhirifu wa Sh 13,395,800 za wanachama wa Chama cha Ushirika cha Naipanga katika kesi namba CC 66/2013 iliyofunguliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mwaka 2013.
Hukumu hiyo inahusisha ununuzi hewa wa korosho katika msimu wa mwaka 2010/2011 dhidi ya washtakiwa hao waliokuwa watia saini benki katika akaunti ya biashara ya Naipanga...

 

10 years ago

StarTV

TAKUKURU yawafikisha mahakamani watuhumiwa wawili wa ESCROW.

Na Lilian Mtono.

Dar es Salaam.

 

Tume ya kupambana na kuzuia rushwa, TAKUKURU kwa mara ya kwanza imewapandisha kizimbani watuhumiwa wawili wanaohusishwa na kashfa ya wizi wa zaidi ya shilingi Bilioni 300 kwenye akaunti ya Tegeta Escrow.

 

Watuhumiwa hao walifikishwa kwenye mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu Jijini Dar es Salaam, ambapo kila mmoja anakabiliwa na shitaka moja la kula rushwa.

 

Mshitakiwa wa kwanza kupandishwa kizimbani alikuwa ni Bwana Theophilo John Bwakea, ambaye inadaiwa kuwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

IPTL, wengine wawili wamburuza Zitto mahakamani

iptl_1

.Wadai fidia ya shilingi bilioni 500

Na Mwandishi Wetu

Kampuni ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na wadai wengine wawili wamefungua kesi ya madai katika Mahakama Kuu dhidi ya Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, Bw. Zitto Kabwe na wengine wawili wakitaka kulipwa fidia ya Shilingi bilioni 500 kwa kashfa alizotoa kimaandishi dhidi yao.

Mbali na IPTL,  wengine waliofungua kesi hiyo mnamo tarehe 4, Septemba kupitia wakili Melchisedeck Lutema wa Asyla Attorneys na  Kay...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani