KESI YA VIPIMO VYA HIV FEKI DHIDI YA VIGOGO MSD
Na Sultani Kipingo
UPANDE wa Jamhuri katika kesi ya inayowakabili watu wanne watano wakiwemo maofisa wa Bohari Kuu ya Dawa (MSD) ya matumizi mabaya ya madaraka na kuingiza nchini vipimo feki vya kupimia virusi vya ukimwi na kuisababishia serikali hasara ya Sh.bilioni 3, umeomba mahakama kuhamia nyumbani kwa mshtakiwa wa kwanza Sylvester Matandiko kwa ajili ya kumsomea mashtaka yake.
Maombi hayo yaliwasilishwa jana na Mwendesha Mashitaka wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo20 Aug
Kesi ya vipimo bandia vya HIV
KESI ya kuingiza nchini vipimo bandia vya kupima virusi vya Ukimwi (HIV) na kuisababishia serikali hasara ya Sh bilioni tatu, inayowakabili vigogo wawili wa Bohari ya Dawa (MSD) na wenzao imeahirishwa hadi Septemba 4 mwaka huu.
10 years ago
Habarileo10 Oct
Takukuru mashahidi 15 kesi ya vigogo MSD
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) inatarajia kuwa na mashahidi 15 na vielelezo 12 katika kesi ya kuingiza vipimo bandia vya Virusi vya Ukimwi (HIV) inayowakabili vigogo wa Bohari ya Dawa (MSD) na wenzao.
11 years ago
BBCSwahili12 Mar
Kesi dhidi ya Vigogo wa Sudan:K yaendelea
10 years ago
TheCitizen05 Sep
Ex-MSD boss in court over HIV kits
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Akiri vitendanishi feki kupokelewa MSD
11 years ago
Mwananchi21 Feb
Vigogo wawili MSD mahakamani Dar
11 years ago
Daily News07 Mar
MSD boss on court call note over fake HIV kits
Daily News
THE Kisutu Resident Magistrate's Court in Dar es Salaam on Thursday ordered the prosecution bring the Acting Director General of Medical Stores Department (MSD), Sylvester Alex Matandiko, so that he could be joined in the case in which three others are ...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PZvweTKvVTo/XpcqSLLyM3I/AAAAAAALnGU/RXnEeBkAT9kPYdE-90L7RcEUmA1eyga1ACLcBGAsYHQ/s72-c/Paul-Makonda-Facebook.jpg)
Orodha ya vituo vya kutolea huduma za afya, vilivyoteuliwa kuchukua sampuli ya vipimo vya ugonjwa corona (COVID-19)
![](https://1.bp.blogspot.com/-PZvweTKvVTo/XpcqSLLyM3I/AAAAAAALnGU/RXnEeBkAT9kPYdE-90L7RcEUmA1eyga1ACLcBGAsYHQ/s640/Paul-Makonda-Facebook.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-gzs4Pi9zUmU/XpcohY7t5QI/AAAAAAALnGE/2lOjGaxmHS86Qp4H2Af_BiLgqfjZnlDyACLcBGAsYHQ/s640/45fa435e-c2f8-434b-be65-13e0a30611e6.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-aZOTUmaTfwk/Xpcofg6U3tI/AAAAAAALnF8/3kymBU9z9R4ZGdXsxfpThk4URIjaABB0gCLcBGAsYHQ/s640/244e7318-3ff1-4b75-b983-e974f9470217.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-4Phzby7gzyg/XpcogwtDGCI/AAAAAAALnGA/GoiWu6ai3pohhXruD_A4cEhI7Rv9TRHEQCLcBGAsYHQ/s640/e8c7eaf2-a794-429a-a0d9-3cdd00ffbdc4.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ahJjIDDkNIk/XsUvdMq4WBI/AAAAAAALq-4/kYfpPpZw0OMxBQF3v0fAQ6xadJ_1g4G8QCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-20%2Bat%2B11.55.36%2BAM.jpeg)
WAKALA WA VIPIMO TUPO SEHEMU ZOTE, KUHAKIKISHA VIPIMO VINATUMIKA KWA USAHIHI-STELLA
Stella ameyasema hayo leo, May 20, 2020 jijini Dar es Salaam katika Maadhimisho hayo yenye Kaulimbiu ya Vipimo katika Biashara ya Kimataifa. “Tanzania ni nchi ambayo inafanya Biashara kubwa nchi mbalimbali, vipimo...