Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KESI YA VIPIMO VYA HIV FEKI DHIDI YA VIGOGO MSD

Na Sultani Kipingo
UPANDE wa Jamhuri katika kesi ya inayowakabili watu wanne watano wakiwemo maofisa wa Bohari Kuu ya Dawa (MSD) ya matumizi mabaya ya madaraka na kuingiza nchini vipimo feki vya kupimia virusi vya ukimwi na kuisababishia serikali hasara ya Sh.bilioni 3, umeomba mahakama kuhamia nyumbani kwa mshtakiwa wa kwanza Sylvester Matandiko kwa ajili ya kumsomea mashtaka yake.

Maombi hayo yaliwasilishwa jana na Mwendesha Mashitaka wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Kesi ya vipimo bandia vya HIV

KESI ya kuingiza nchini vipimo bandia vya kupima virusi vya Ukimwi (HIV) na kuisababishia serikali hasara ya Sh bilioni tatu, inayowakabili vigogo wawili wa Bohari ya Dawa (MSD) na wenzao imeahirishwa hadi Septemba 4 mwaka huu.

 

10 years ago

Habarileo

Takukuru mashahidi 15 kesi ya vigogo MSD

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) inatarajia kuwa na mashahidi 15 na vielelezo 12 katika kesi ya kuingiza vipimo bandia vya Virusi vya Ukimwi (HIV) inayowakabili vigogo wa Bohari ya Dawa (MSD) na wenzao.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kesi dhidi ya Vigogo wa Sudan:K yaendelea

Kesi dhidi ya viongozi 4 wa kisiasa nchini Sudan Kusini ambao wanakabiliwa na mashitaka ya uhaini imeingia siku yake ya pili hii.

 

10 years ago

TheCitizen

Ex-MSD boss in court over HIV kits

>Former Medical Stores Department (MSD) acting director general Sylvester Matandiko has finally appeared before the Kisutu Resident Magistrates’ Court to answer charges related to the importation of fake HIV test kits.

 

9 years ago

Mwananchi

Akiri vitendanishi feki kupokelewa MSD

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeelezwa kuwa  vitendanishi vinavyotumika katika upimaji wa VVU na magonjwa ya zinaa vinavyodaiwa kuwa feki, vilipokelewa Bohari Kuu ya Dawa (MSD) kutoka kwa Kampuni ya SD Afrika licha ya kuwapo kwa barua ya katazo.

 

11 years ago

Mwananchi

Vigogo wawili MSD mahakamani Dar

Wakurugenzi wawili wa Bohari Kuu ya Dawa (MSD), Meneja Ubora wa Bodi Binafsi ya Maabara ya Afya na Msajili Msaidizi wake wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka saba ya matumizi mabaya ya madaraka, uhujumu uchumi na kuisababishia Serikali hasara ya Sh3.450 bilioni kwa kuingiza nchini vitendanishi feki vinavyotumika katika upimaji wa VVU.

 

11 years ago

Daily News

MSD boss on court call note over fake HIV kits


MSD boss on court call note over fake HIV kits
Daily News
THE Kisutu Resident Magistrate's Court in Dar es Salaam on Thursday ordered the prosecution bring the Acting Director General of Medical Stores Department (MSD), Sylvester Alex Matandiko, so that he could be joined in the case in which three others are ...

 

5 years ago

Michuzi

WAKALA WA VIPIMO TUPO SEHEMU ZOTE, KUHAKIKISHA VIPIMO VINATUMIKA KWA USAHIHI-STELLA

 Na Bakari Madjeshi, Michuzi TVKATIKA kuadhimisha Siku ya Vipimo Duniani, Mkurugenzi wa Wakala wa Vipimo nchini (WMA), Stella Kahwa amesema kuwa Wakala huo upo sehemu zote hapa nchini kuhakikisha Vipimo katika Malighafi na bidhaa mbalimbali vinatumika na kuzingatiwa kwa usahihi.
Stella ameyasema hayo leo, May 20, 2020 jijini Dar es Salaam katika Maadhimisho hayo yenye Kaulimbiu ya Vipimo katika Biashara ya Kimataifa. “Tanzania ni nchi ambayo inafanya Biashara kubwa nchi mbalimbali, vipimo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani