Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kesi ya vipimo bandia vya HIV

KESI ya kuingiza nchini vipimo bandia vya kupima virusi vya Ukimwi (HIV) na kuisababishia serikali hasara ya Sh bilioni tatu, inayowakabili vigogo wawili wa Bohari ya Dawa (MSD) na wenzao imeahirishwa hadi Septemba 4 mwaka huu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

KESI YA VIPIMO VYA HIV FEKI DHIDI YA VIGOGO MSD

Na Sultani Kipingo
UPANDE wa Jamhuri katika kesi ya inayowakabili watu wanne watano wakiwemo maofisa wa Bohari Kuu ya Dawa (MSD) ya matumizi mabaya ya madaraka na kuingiza nchini vipimo feki vya kupimia virusi vya ukimwi na kuisababishia serikali hasara ya Sh.bilioni 3, umeomba mahakama kuhamia nyumbani kwa mshtakiwa wa kwanza Sylvester Matandiko kwa ajili ya kumsomea mashtaka yake.

Maombi hayo yaliwasilishwa jana na Mwendesha Mashitaka wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa...

 

11 years ago

Habarileo

Wakala wa Vipimo watahadharisha vipimo bandia

WAKALA wa Vipimo Tanzania (WMA) umewataka watumiaji wa vipimo batili kuacha kutumia vipimo hivyo kwani vinadimimiza uchumi wa Watanzania na taifa.

 

11 years ago

Habarileo

Wakazi Chamwino walia kupewa kesi bandia

WAKAZI wa Kijiji cha Msanga Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, wamewalalamikia watendaji wa kijiji hicho na kata kwa kuwakamata wananchi, kuwabambikia kesi na kuwatoza faini bila kuwapatia stakabadhi ya malipo.

 

5 years ago

Michuzi

WAKALA WA VIPIMO TUPO SEHEMU ZOTE, KUHAKIKISHA VIPIMO VINATUMIKA KWA USAHIHI-STELLA

 Na Bakari Madjeshi, Michuzi TVKATIKA kuadhimisha Siku ya Vipimo Duniani, Mkurugenzi wa Wakala wa Vipimo nchini (WMA), Stella Kahwa amesema kuwa Wakala huo upo sehemu zote hapa nchini kuhakikisha Vipimo katika Malighafi na bidhaa mbalimbali vinatumika na kuzingatiwa kwa usahihi.
Stella ameyasema hayo leo, May 20, 2020 jijini Dar es Salaam katika Maadhimisho hayo yenye Kaulimbiu ya Vipimo katika Biashara ya Kimataifa. “Tanzania ni nchi ambayo inafanya Biashara kubwa nchi mbalimbali, vipimo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Vipimo vipya vya Malaria TZ

Tanzania kutumia Kipimo kipya cha kugundua vimelea vya Malaria kwa haraka kijulikanacho kama MRDT

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali kusambaza vipimo vya ebola

Dar es Salaam. Serikali imepanga kununua mashine maalumu za kupima joto (thermo-scanners) ili kubaini watu wenye maambukizi ya virusi vya ebola katika viwanja vyote ndege nchini.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je vipimo vya kugundua virusi vya corona vinafanya kazi vipi?

Vipimo vya kugundua virusi vya corona ni vipi na vinafanyakazi namna gani?

 

9 years ago

MillardAyo

Waziri Charles KITWANGA kwenye hizi sentesi 4>>> dawa za kulevya, ugaidi, kesi bandia…

Leo Waziri wa Mambo ya ndani Charles Kitwanga leo amekutana na waandishi wa habari Dar es salaam. Baada ya kufanya ziara katika maeneo mbalimbali ya ofisi za Jeshi la Polisi kikubwa alichuzungumza ni kuhusu ugaidi, ubambikaji kesi kwa wananchi, matumizi ya TEHAMA pamoja na madawa ya kulevya. Mikakati ya kupambana na dawa za kulevya hapa […]

The post Waziri Charles KITWANGA kwenye hizi sentesi 4>>> dawa za kulevya, ugaidi, kesi bandia… appeared first on TZA_MillardAyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani