Akiri vitendanishi feki kupokelewa MSD
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeelezwa kuwa vitendanishi vinavyotumika katika upimaji wa VVU na magonjwa ya zinaa vinavyodaiwa kuwa feki, vilipokelewa Bohari Kuu ya Dawa (MSD) kutoka kwa Kampuni ya SD Afrika licha ya kuwapo kwa barua ya katazo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania04 Sep
kada CCM akiri kuhusika na Chadema ‘feki’
NA ASIFIWE GEORGE, DAR ES SALAAM
KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Didas Masaburi, amekiri kukutana na vijana wanaodaiwa kujifanya wafuasi wa Chadema walioandamana jijini Dar es Salaam kupongeza hatua ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk. Willibrod Slaa, kuacha siasa na kushambulia chama chake.
Juzi vijana hao waliandamana wakiwa na lengo la kwenda makao makuu ya Chadema kabla ya kutawanywa na wananchi.
Tangu asubuhi ya jana, sauti ya Masaburi ilikuwa ikisambazwa kwenye mitandao ya...
11 years ago
Michuzi30 Apr
KESI YA VIPIMO VYA HIV FEKI DHIDI YA VIGOGO MSD
UPANDE wa Jamhuri katika kesi ya inayowakabili watu wanne watano wakiwemo maofisa wa Bohari Kuu ya Dawa (MSD) ya matumizi mabaya ya madaraka na kuingiza nchini vipimo feki vya kupimia virusi vya ukimwi na kuisababishia serikali hasara ya Sh.bilioni 3, umeomba mahakama kuhamia nyumbani kwa mshtakiwa wa kwanza Sylvester Matandiko kwa ajili ya kumsomea mashtaka yake.
Maombi hayo yaliwasilishwa jana na Mwendesha Mashitaka wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa...
10 years ago
Michuzi
TFDA YAJIUNGA RASMI KAMA MWANACHAMA WA UMOJA YA WADHIBITI WA VIFAA TIBA NA VITENDANISHI WA NCHI ZA ASIA (ASIAN HARMONIZATION WORKING PARTY- AHWP)

.png)
10 years ago
Mtanzania27 Aug
Mshindi wa TMT kupokelewa Arusha leo
YULE msanii wa maigizo chipukizi aliyeshinda milioni 50 katika shindano la Tanzania Movie Talent (TMT), Denis Lwasai, anatarajiwa kuwasili jijini Arusha leo akitokea jijini Dar es Salaam ambako shindano hilo lilifanyika.
Kwa mujibu wa taarifa zilizolifikia gazeti hili, mshindi huyo anatarajiwa kuanzia msafara wake kutokea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa KIA asubuhi ambapo watu mbalimbali wameombwa kufika kwa ajili ya kumpongeza mshindi huyo pamoja na kupiga naye picha za kumbukumbu.
Mshindi...
11 years ago
Michuzi.jpg)
E FM 93.7 yaingia Bagamoyo kwa kishindo na kupokelewa na mabango ya wasilikilizaji wao.
.jpg)
10 years ago
Michuzi
11 years ago
Michuzi.jpg)
UP DATES:Ratiba ya kamili na kupokelewa kwa mwili wa Marehemu Omar Ndege Mgori
.jpg)
Mwili unaondoka leo hii huko nchini India na utapokelewa siku ya jumapili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa J.K. Nyerere Dar es salaam Saa Saba mchana siku hiyo.
Mazishi yatafayika siku ya jumatatu Oktoba 13,2014 kwenye makaburi ya kisutu jijini Dar es salaam.
Msiba kwa sasa upo Mbezi beach nyumbani kwa marehemu.
Taarifa zaidi zitaendelea kutolewa pindi zitakapo kuwa zikitufikia.
5 years ago
Michuzi
KITABU CHA MDAU DEREK MURUSURI 'MAKING AFRICA WORLD'S LARGEST ECONOMY' KINAVYOZIDI KUPOKELEWA NA WADAU MBALIMBALI
Dkt. Nyamajeje alikuwa anawakilisha mataifa nane (8) ya Afrika katika Bodi ya Wakurugenzi ya AfDB.
Nchi hizo ni Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Ethiopia, Eritrea, Seychelles na Sudan ya Kusini.
Dkt. Nyamajeje ambaye amefurahishwa na ujio wa kitabu cha...
10 years ago
Michuzi.jpg)
MH. MAKINDA AWASILI NA KUPOKELEWA KWA SHANGWE NA VIONGOZI WA UWT KWA KUCHAGULIWA KUWA RAIS WA BUNGE LA SADC
.jpg)
.jpg)