Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Akiri vitendanishi feki kupokelewa MSD

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeelezwa kuwa  vitendanishi vinavyotumika katika upimaji wa VVU na magonjwa ya zinaa vinavyodaiwa kuwa feki, vilipokelewa Bohari Kuu ya Dawa (MSD) kutoka kwa Kampuni ya SD Afrika licha ya kuwapo kwa barua ya katazo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

kada CCM akiri kuhusika na Chadema ‘feki’

masaburiNA ASIFIWE GEORGE, DAR ES SALAAM

KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Didas Masaburi, amekiri kukutana na vijana wanaodaiwa kujifanya wafuasi wa Chadema walioandamana jijini Dar es Salaam kupongeza hatua ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk. Willibrod Slaa, kuacha siasa na kushambulia chama chake.

Juzi vijana hao waliandamana wakiwa na lengo la kwenda makao makuu ya Chadema kabla ya kutawanywa na wananchi.

Tangu asubuhi ya jana, sauti ya Masaburi ilikuwa ikisambazwa kwenye mitandao ya...

 

11 years ago

Michuzi

KESI YA VIPIMO VYA HIV FEKI DHIDI YA VIGOGO MSD

Na Sultani Kipingo
UPANDE wa Jamhuri katika kesi ya inayowakabili watu wanne watano wakiwemo maofisa wa Bohari Kuu ya Dawa (MSD) ya matumizi mabaya ya madaraka na kuingiza nchini vipimo feki vya kupimia virusi vya ukimwi na kuisababishia serikali hasara ya Sh.bilioni 3, umeomba mahakama kuhamia nyumbani kwa mshtakiwa wa kwanza Sylvester Matandiko kwa ajili ya kumsomea mashtaka yake.

Maombi hayo yaliwasilishwa jana na Mwendesha Mashitaka wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa...

 

10 years ago

Michuzi

TFDA YAJIUNGA RASMI KAMA MWANACHAMA WA UMOJA YA WADHIBITI WA VIFAA TIBA NA VITENDANISHI WA NCHI ZA ASIA (ASIAN HARMONIZATION WORKING PARTY- AHWP)

Mkurugenzi Mkuu  wa TFDA , Bw. Hiiti B. Sillo akitoa hotuba ya TFDA kukubali kujiunga na Umoja wa Nchi za Asia katika Udhibiti wa Vifaa Tiba na Vitendanishi (Asian Harmonization Working Party on medical devices and diagnostics - AHWP) wakati wa mkutano wa mwaka wa AHWP uliofanyika Seoul, Korea Kusini kuanzia tarehe 17 - 21 Novemba 2014. Tanzania imekubaliwa rasmi kuwa mwanachama 24 wa AHWP  ikiwa  ni  nchi  ya pili Barani Afrika kujiunga  na  umoja huo baada  ya Afrika Kusini. Mkurugenzi...

 

10 years ago

Mtanzania

Mshindi wa TMT kupokelewa Arusha leo

DENNIS-294x300YULE msanii wa maigizo chipukizi aliyeshinda milioni 50 katika shindano la Tanzania Movie Talent (TMT), Denis Lwasai, anatarajiwa kuwasili jijini Arusha leo akitokea jijini Dar es Salaam ambako shindano hilo lilifanyika.

Kwa mujibu wa taarifa zilizolifikia gazeti hili, mshindi huyo anatarajiwa kuanzia msafara wake kutokea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa KIA asubuhi ambapo watu mbalimbali wameombwa kufika kwa ajili ya kumpongeza mshindi huyo pamoja na kupiga naye picha za kumbukumbu.

Mshindi...

 

11 years ago

Michuzi

E FM 93.7 yaingia Bagamoyo kwa kishindo na kupokelewa na mabango ya wasilikilizaji wao.

Kituo cha radio kinachokuja kwa kasi jijini Dar es Salaam leo usiku huu kimefanya uzinduzi mkubwa wa radio hiyo mjini Bagamoyo. Pichani Mtangazaji wa michezo wa radio hiyo Maulid Kitenge akiwa na baadhi ya wasikilizaji mara baada ya kuwasili mjini Bagamoyo tayari kwa uzinduzi usiku wa kuamkia leo. Mkude Simba ndani....

 

11 years ago

Michuzi

UP DATES:Ratiba ya kamili na kupokelewa kwa mwili wa Marehemu Omar Ndege Mgori

Marehemu Omar Ndege Mgori
Mwili unaondoka leo hii huko nchini India na utapokelewa siku ya jumapili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa J.K. Nyerere Dar es salaam Saa Saba mchana siku hiyo.
Mazishi yatafayika siku ya jumatatu Oktoba 13,2014 kwenye makaburi ya kisutu jijini Dar es salaam.
Msiba kwa sasa upo Mbezi beach nyumbani kwa marehemu.
Taarifa zaidi zitaendelea kutolewa pindi zitakapo kuwa zikitufikia.

 

5 years ago

Michuzi

KITABU CHA MDAU DEREK MURUSURI 'MAKING AFRICA WORLD'S LARGEST ECONOMY' KINAVYOZIDI KUPOKELEWA NA WADAU MBALIMBALI

HAZINA: MKURUGENZI Mtendaji Mstaafu wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Dkt. Nyamajeje Caleb Weggoro, akipokea Kitabu cha MAKING AFRICA WORLD'S LARGEST ECONOMY kutoka kwa mwandishi wake, Derek Murusuri, jijini Arusha mwishoni mwa wiki hii.

Dkt. Nyamajeje alikuwa anawakilisha mataifa nane (8) ya Afrika katika Bodi ya Wakurugenzi ya AfDB.

Nchi hizo ni Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Ethiopia, Eritrea, Seychelles na Sudan ya Kusini.

Dkt. Nyamajeje ambaye amefurahishwa na ujio wa kitabu cha...

 

10 years ago

Michuzi

MH. MAKINDA AWASILI NA KUPOKELEWA KWA SHANGWE NA VIONGOZI WA UWT KWA KUCHAGULIWA KUWA RAIS WA BUNGE LA SADC

Rais wa Jukwaa la Wabunge wa SADC (SADC PF) ambaye pia ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mh. Anne Makinda akilakiwa kwa shangwe na Viongozi wa UWT mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere jana Usiku ikiwa ni furaha za kuchaguliwa kwake kuwa Rais wa Jukwaa la Bunge la SADC mjini Victoria Falls, Zimabwbe. Rais wa Jukwaa la Wabunge wa SADC (SADC PF) ambaye pia ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mh. Anne Makinda akipokea shada...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani