Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


kada CCM akiri kuhusika na Chadema ‘feki’

masaburiNA ASIFIWE GEORGE, DAR ES SALAAM

KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Didas Masaburi, amekiri kukutana na vijana wanaodaiwa kujifanya wafuasi wa Chadema walioandamana jijini Dar es Salaam kupongeza hatua ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk. Willibrod Slaa, kuacha siasa na kushambulia chama chake.

Juzi vijana hao waliandamana wakiwa na lengo la kwenda makao makuu ya Chadema kabla ya kutawanywa na wananchi.

Tangu asubuhi ya jana, sauti ya Masaburi ilikuwa ikisambazwa kwenye mitandao ya...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Kada CCM ajing’oa, kuwania ubunge kupitia Chadema

IMG_20141212_123949

Mapokezi ya Fransico Kimasa Shejamabu (mwenye gwanda) akielekea katika viwanja vya shule ya msingi Pambalu wilayani Sengerema kuhutubia wananchi. (picha zote na Daniel Makaka wa MOblog, Sengerema).

Na Daniel Makaka, Sengerema.

Aliyekuwa kada wa wa Chama cha Mapinduzi CCM wilaya Sengerema mkoani Mwanza  Bw. Fransico Kimasa Shejamabu  ametangaza nia ya kuwania ubunge wa jimbo hilo kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)ambacho amejiunga nacho.

Kauli hiyo ameitoa mjini hapa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Aliyekuwa kada wa Chadema Ikungi, Singida, Hamisi Mazonge, arejea CCM na kukiomba radhi

DSC01397

Aliyekuwa katibu mwenezi CHADEMA kata ya Ikungi mkoani Singida, Hamisi Yahaya Mazonge, akitangaza uamuzi wake wa kuhama CHADEMA na kurejea CCM,  kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni za uchaguzi nafasi ya ubunge na udiwani jimbo la Singida mashariki.Mazonge amedai kwamba amehama CHADEMA baada ya kubaini chama hicho hakina sera yoyote ya kuwaletea wananchi maendeleo.(Picha naNathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Ikungi

ALIYEKUWA Katibu mwenezi wa CHADEMA Kata ya Ikungi wilaya ya Ikungi mkoani...

 

9 years ago

Mwananchi

Akiri vitendanishi feki kupokelewa MSD

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeelezwa kuwa  vitendanishi vinavyotumika katika upimaji wa VVU na magonjwa ya zinaa vinavyodaiwa kuwa feki, vilipokelewa Bohari Kuu ya Dawa (MSD) kutoka kwa Kampuni ya SD Afrika licha ya kuwapo kwa barua ya katazo.

 

10 years ago

GPL

CHADEMA YAKANUSHA KUHUSIKA NA KIFO CHA MWANGOSI

Mkurugenzi  wa Habari na Mawasiliano wa Chadema,John Mnyika, akizungumza na waandishi wa habari. Baadhi ya viongozi wa Chadema kutoka kushoto ni Ofisa Habari, Tumaini Makene, Mbunge wa Ubungo Mh. John Mnyika, Ofisa Mwandamizi Mafunzo na Uendeshaji, Mohamed Mtoi, na mwenye gwanda ni Katibu Mtendaji, Ofisi ya Katibu Mkuu, Victor Kimesera.…
...

 

10 years ago

Michuzi

CHADEMA YAKANA KUHUSIKA NA KIFO CHA DAUDI MWANGOSI

Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano wa Chadema, John Mnyika, akizungumza na waandishi wa habariBaadhi ya viongozi wa Chadema kutoka kushoto ni Ofisa Habari, Tumaini Makene, Mbunge wa Ubungo Mh. John Mnyika, Ofisa Mwandamizi Mafunzo na Uendeshaji, Mohamed Mtoi, na mwenye gwanda ni Katibu Mtendaji, Ofisi ya Katibu Mkuu, Victor Kimesera.
Waandishi wa habari wakifuatilia taarifa ya Chadema.Jengo la makao makuu ya Chadema yaliyoko Kinondoni, Dar.
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...

 

9 years ago

StarTV

Jeshi la Polisi lawashikilia watu wanne kuhusika na Kifo cha mwenyekiti wa CHADEMA geita

Jeshi la Polisi linawashikilia watu wanne wanaodaiwa kuhusika na kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA mkoani Geita Alphonce Mawazo.

Kifo cha marehemu Mawazo kimetokea jumamosi hii Novemba 14 majira ya saa sita mchana baada ya kuvamiwa na kundi la watu na kuanza kumshambulia kwa silaha za jadi.

Akizungumza na waandishi wa Habari Kamishna Msaidizi wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita Mponjoli Mwabulambo amesema chanzo cha tukio ni kwamba kulikuwa na mkutano wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Kada Chadema ashinda udiwani akiwa gerezani

Kada mwingine wa Chadema ameukwaa uongozi kwa staili ya aina yake baada ya wananchi kumchagua kuwa diwani wa Kata ya Lusaka akiwa gerezani ambako anatumikia kifungo cha miezi sita kwa kosa la kupigana hadharani.

 

10 years ago

Habarileo

Kada Chadema arejesha fomu kuwania Nkwela

KADA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Daniel Ngogo ametangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Nkwela.

 

11 years ago

Habarileo

Kada maarufu Chadema Iringa afariki dunia

ALIYEKUWA akiandaliwa kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Iringa Mjini, Gervas Kalolo (52) alitarajiwa kuzikwa jana katika makaburi ya Mtwivilla mjini Iringa. Kalolo alifariki dunia usiku wa kuamkia Jumanne jijini Dar es Salaam, alikokuwa ameenda kwa shughuli zake binafsi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani