Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aliyekuwa kada wa Chadema Ikungi, Singida, Hamisi Mazonge, arejea CCM na kukiomba radhi

DSC01397

Aliyekuwa katibu mwenezi CHADEMA kata ya Ikungi mkoani Singida, Hamisi Yahaya Mazonge, akitangaza uamuzi wake wa kuhama CHADEMA na kurejea CCM,  kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni za uchaguzi nafasi ya ubunge na udiwani jimbo la Singida mashariki.Mazonge amedai kwamba amehama CHADEMA baada ya kubaini chama hicho hakina sera yoyote ya kuwaletea wananchi maendeleo.(Picha naNathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Ikungi

ALIYEKUWA Katibu mwenezi wa CHADEMA Kata ya Ikungi wilaya ya Ikungi mkoani...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Wasira aongoza mazishi ya kada wa CCM Singida

15

Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Philip Mangula (kushoto) akiwasikiliza Wazee waasisi wa CCM kutoka mkoani Singida, Kutoka kulia ni  Sumbu Galawa, Alhaji Mahami Rajabu Kundya (ambaye ni marehemu) na  Mujengi Gwao Makamu, walipomfikishia ujumbe wao maalum, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, Januari 15, 2013.(Picha na Maktaba)

Na Nathaniel Limu

Waziri Ofisi ya Rais Mahusiano na Uratibu, Stephen Wasira juzi ameongoza mamia ya wakazi wa mkoa wa Singida katika...

 

9 years ago

Dewji Blog

CCM Singida yazoa viti vyote vya Halmashauri ya Ikungi na Mkalama

IMG_1029

Katibu wa CCM mkoa wa Singida, Mary Maziku, akitoa tamko la kukanusha mbele ya waandishi wa habari (hawapo kwenye picha) taarifa zinazoenezwa kwamba CCM mkoa ilikata jina la mgombea nafasi ya Mwenyekiti halmashauri ya wilaya ya Mkalama, kutokana na ulemavu wake wa miguu. Kulia ni Katibu msaidizi CCM mkoa wa Singida, Adamu.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Singida

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Singida, kimekanusha vikali uzushi unaoenezwa kwamba kilikata jina la mgombea nafasi...

 

9 years ago

Mtanzania

kada CCM akiri kuhusika na Chadema ‘feki’

masaburiNA ASIFIWE GEORGE, DAR ES SALAAM

KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Didas Masaburi, amekiri kukutana na vijana wanaodaiwa kujifanya wafuasi wa Chadema walioandamana jijini Dar es Salaam kupongeza hatua ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk. Willibrod Slaa, kuacha siasa na kushambulia chama chake.

Juzi vijana hao waliandamana wakiwa na lengo la kwenda makao makuu ya Chadema kabla ya kutawanywa na wananchi.

Tangu asubuhi ya jana, sauti ya Masaburi ilikuwa ikisambazwa kwenye mitandao ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kada CCM ajing’oa, kuwania ubunge kupitia Chadema

IMG_20141212_123949

Mapokezi ya Fransico Kimasa Shejamabu (mwenye gwanda) akielekea katika viwanja vya shule ya msingi Pambalu wilayani Sengerema kuhutubia wananchi. (picha zote na Daniel Makaka wa MOblog, Sengerema).

Na Daniel Makaka, Sengerema.

Aliyekuwa kada wa wa Chama cha Mapinduzi CCM wilaya Sengerema mkoani Mwanza  Bw. Fransico Kimasa Shejamabu  ametangaza nia ya kuwania ubunge wa jimbo hilo kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)ambacho amejiunga nacho.

Kauli hiyo ameitoa mjini hapa...

 

10 years ago

Habarileo

Kagonji ahama Chadema, arejea CCM

Charles Kagonji ALIYEWAHI kugombea ubunge wa Mlalo Wilaya ya Lushoto mkoani Tanga kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mwaka 2005, Charles Kagonji amekihama chama hicho na kurejea katika Chama Cha Mapinduzi (CCM).

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwenyekiti UWT Ikungi atimuliwa CCM, aenda Chadema aangukia pua

DSC00982

Katibu wa CCM wilaya ya Ikungi mkoani Singida, Aluu Segamba,akizungumza na waandishi wa habari (hawapo kwenye picha),juu ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wilayani humo, Christina Hamisi kujivua unachama na kufukuzwa kazi kwa madai ya kuvunja sheria, kanuni na taratibu za chama tawala.(Picha na Nathaniel Limu).

MAZIKU

Kaimu Katibu wa CCM Mkoa wa Singida, Mary Maziku akizungumza na wanahabari juu ya kufukuzwa uongozi aliyekuwa Mwenyekiti wa UWT Wilaya ya Ikungi Christina Samwel...

 

10 years ago

Michuzi

Mbunge wa Viti Maalum Chadema,Leticia Nyerere arejea CCM.

 Mbunge wa Viti Maalum wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),Leticia Nyerere akinyanyua mikono ikiwa ni sehemu ya ishara ya kuondoka katika chama hicho na kurejea Chama cha Mapinduzi (CCM) wakati alipokutana na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya habari Maelezo leo jijini Dar es Salaam.

 Mbunge wa Viti Maalum Chadema,Leticia Nyerere akifafanua jambo kwa waandishi habari juu ya kuondoka katika chama hicho. Waandishi wa habari wakifuatilia kwa umakini maelezo ya Mbunge wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Aliyekuwa Mbunge wa CCM awa mwenyekiti wa Chadema Ruvuma

Mbunge wa zamani wa Mbinga Mashariki kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Erneus Ngwatula aliyehamia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), juzi alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Ruvuma baada ya kumshinda, Joseph Fuime aliyekuwa akishikilia nafasi hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani