Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasira aongoza mazishi ya kada wa CCM Singida

15

Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Philip Mangula (kushoto) akiwasikiliza Wazee waasisi wa CCM kutoka mkoani Singida, Kutoka kulia ni  Sumbu Galawa, Alhaji Mahami Rajabu Kundya (ambaye ni marehemu) na  Mujengi Gwao Makamu, walipomfikishia ujumbe wao maalum, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, Januari 15, 2013.(Picha na Maktaba)

Na Nathaniel Limu

Waziri Ofisi ya Rais Mahusiano na Uratibu, Stephen Wasira juzi ameongoza mamia ya wakazi wa mkoa wa Singida katika...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

LOWASSA ASHIRIKI MAZISHI YA KADA WA CCM MONDULI

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Edward Lowassa akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa Marehemu David Pelo Kivuyo aliyekuwa Diwani wa zamani wa Makuyuni. Marehemu Pelo, ambaye pia aliwahi kuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Monduli, alifariki tarehe 22 Desemba mwaka huu na kuzikwa nyumbani kwake Makuyuni jana Desemba 28. Alifariki kutokana na maradhi ya shinikizo la damu. ...

 

5 years ago

Michuzi

DC IKUNGI AONGOZA MAZISHI YA DIWANI WA KATA YA KITUNTU SINGIDA


 Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa diwani mwenzao wa Kata ya Kituntu, Saidi Tumbwi wakati wa mazishi yake yaliyofanyika leo hii.  Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Edward Mpogolo, akitoa salamu za rambirambi wakati wa mazishi hayo. Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya hiyo, Ally Mwanga akizungumza kwenye...

 

9 years ago

Dewji Blog

Aliyekuwa kada wa Chadema Ikungi, Singida, Hamisi Mazonge, arejea CCM na kukiomba radhi

DSC01397

Aliyekuwa katibu mwenezi CHADEMA kata ya Ikungi mkoani Singida, Hamisi Yahaya Mazonge, akitangaza uamuzi wake wa kuhama CHADEMA na kurejea CCM,  kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni za uchaguzi nafasi ya ubunge na udiwani jimbo la Singida mashariki.Mazonge amedai kwamba amehama CHADEMA baada ya kubaini chama hicho hakina sera yoyote ya kuwaletea wananchi maendeleo.(Picha naNathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Ikungi

ALIYEKUWA Katibu mwenezi wa CHADEMA Kata ya Ikungi wilaya ya Ikungi mkoani...

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AONGOZA MAZISHI YA ALIYEKUA MJUMBE WA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA MJINI ZANZIBAR

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai, wakiwa katika Sala na Dua ya kumuombea aliyekuwa Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Bibi Fatma Othman Ali kabla ya mazishi yake iliyofanyika Januari 08,2015 katika msikiti wa Mohammed Ali Jang’ombe Zanzibar.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai, wakisaidia kutoa...

 

10 years ago

Michuzi

News alert: Stephen Wasira aongoza kura za maoni Kura ya Maoni CCM-Bunda Mjini

 Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Mhe. Stephen Wasira akishangiliwa na wapiga kura wake baada ya kuibuka kidedea kwenye kura za maoni leo huko Bunda mjini. Matokea yalikuwa hivi:

Stephen Wasira 6, 429Robert Maboto  6, 206Christopher Sanya 1, 140Xavier Rugina 846Simon Odunga 547Magesa Mugeta 446Peres Magiri  385Brian Baraka 263

 Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Mhe. Stephen Wasira akiwashukuru wapiga kura wake baada ya kuibuka kidedea kwenye kura za maoni leo huko Bunda...

 

10 years ago

Michuzi

DKT. SHEIN AONGOZA WAOMBOLEZAJI KWENYE MAZISHI YA MUASISI WA CCM MZEE MAKAME MZEE SULEWIMAN,UNGUJA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (wa tatu kulia) akijumuika na Waislamu na Viongozi katika Kumswalia aliyekuwa Mwenyekiti wa Wazee wa CCM Marehemu Mzee Makame Mzee Suleiman katika Msikiti wa Ijumaa Mgenihaji Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja Marehemu alifariki jana Nyumbani kwake Amani Mjini Unguja . Wananchi na Waislamu wakilibeba Jeneeza la Marehemu Mzee Makame Mzee Suleiman aliyekuwa Mwenyekitiwa Wazee wa CCM na kuzikwa lao kijijini...

 

11 years ago

Michuzi

MSIBA WA KADA WA CHADEMA KALOLO, VYAMA VYAWEKA UPINZANI PEMBENI NA KUFANYA MAZISHI YA KIHISTORIA

Diwani wa kata ya Mvinjeni Frank Nyalusi Chadema akiweka udongo Ndugu  wakiweka mashada Ndugu wa kalolo kutoka Kenya  akiweka shada Kamanda wa UVCCM mkoa wa Iringa Salim Asas akiweka  shada la maua  katika kaburi la kada maarufu wa Chadema mkoa wa Iringa Gervas Kalolo  wakati wa mazishi  yaliyofanyika makaburi ya Mtwivila mjini Iringa Mstahiki meya  Amani Mwamwindi  akiweka  shada la maua.
Kwa habari kamili na picha zaidi BOFYA HAPA

 

11 years ago

Mwananchi

JK aongoza mazishi ya Mzee Small

Rais Jakaya Kikwete jana aliongoza mamia ya waombolezaji katika mazishi ya msanii wa kuigiza na vichekesho, Saidi Ngamba ‘Mzee Small’ aliyefariki dunia mwishoni mwa wiki katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), baada ya kuugua kwa muda mrefu.

 

11 years ago

Mwananchi

Ghasia aongoza mazishi ya DC Chang’a

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, (Tamisemi), Hawa Ghasia jana aliongoza mazishi ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kalambo, mkoani Rukwa, Moshi Chang’a yaliyofanyika katika makaburi ya Mtwivila, Kihesa Iringa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani