DC IKUNGI AONGOZA MAZISHI YA DIWANI WA KATA YA KITUNTU SINGIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-3o-LvSy0618/Xoq_M9xgiyI/AAAAAAALmJY/rOA7vtsrRBA_ESfUS2KfVvE7CaCbBL_5QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa diwani mwenzao wa Kata ya Kituntu, Saidi Tumbwi wakati wa mazishi yake yaliyofanyika leo hii.
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Edward Mpogolo, akitoa salamu za rambirambi wakati wa mazishi hayo.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya hiyo, Ally Mwanga akizungumza kwenye...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Y-FHn0qNYXs/VdObqueZ3KI/AAAAAAAHyDU/-LYR5OpHWFY/s72-c/unnamed%2B%252840%2529.jpg)
RAIS KIKWETE NA WAZIRI MAGUFULI KATIKA MAZISHI YA DIWANI WA KATA YA YOMBO, BAGAMOYO
![](http://4.bp.blogspot.com/-Y-FHn0qNYXs/VdObqueZ3KI/AAAAAAAHyDU/-LYR5OpHWFY/s640/unnamed%2B%252840%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EBVPKVUb2Sg/VdObsxZyaSI/AAAAAAAHyDc/fuVFDSvt35Q/s640/unnamed%2B%252839%2529.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-yAYpHm7aiMo/VdO5ApYzWOI/AAAAAAAD3is/D--C63biwDc/s72-c/bg1.jpg)
RAIS KIKWETE NA WAZIRI MAGUFULI KATIKA MAZISHI YA DIWANI WA KATA YA YOMBO, BAGAMOYO, LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-yAYpHm7aiMo/VdO5ApYzWOI/AAAAAAAD3is/D--C63biwDc/s640/bg1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-BmUJm5YLqGQ/VdO5BEEUw_I/AAAAAAAD3iw/wpoWJLnJKyY/s640/bg2.jpg)
11 years ago
Dewji Blog01 Aug
Wasira aongoza mazishi ya kada wa CCM Singida
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Philip Mangula (kushoto) akiwasikiliza Wazee waasisi wa CCM kutoka mkoani Singida, Kutoka kulia ni Sumbu Galawa, Alhaji Mahami Rajabu Kundya (ambaye ni marehemu) na Mujengi Gwao Makamu, walipomfikishia ujumbe wao maalum, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, Januari 15, 2013.(Picha na Maktaba)
Na Nathaniel Limu
Waziri Ofisi ya Rais Mahusiano na Uratibu, Stephen Wasira juzi ameongoza mamia ya wakazi wa mkoa wa Singida katika...
10 years ago
Dewji Blog13 Dec
Diwani Mathius wa kata ya Malangarini afunga kampeni za uchaguzi kwenye kata yake
Diwani wa kata ya Mlangarini, Mathius Manga akizungumza na wananchi wa kata hiyo katika mkutano wa hadhara wa kuhitimisha kampeni za uchaguzi wa CCM kwa ajili yakuwachagua viongozi wa serikali za mitaa utakaofanyika jumapili Desemba 14 mwaka huu.
Diwani Manga amewaasa wananchi wote kujitokeza kwa wingi kuwapigia kura wagombea wa CCM kwani wanasifa stahiki za kuwaongoza.
Aidha amesisitiza kulimnda amani kipindi chote cha uchaguzi na hata matokeo yatakapo tangazwa na kuepuka vitendo vya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-WQ-yr0Yl_Bs/VZo8qBI9vWI/AAAAAAAHnOM/nsR-bJtOyRA/s72-c/unnamed%2B%252839%2529.jpg)
Airtel yazindua Mnara wa Mawasiliano wilaya ya Ikungi, Singida
Meneja wa kanda ya kati wa Airtel, Bwana Stephen Akyoo, alisema Mnara huo mpya wa mawasilino ni moja kati ya mikakati ya kampuni yake kujitanua zaidi na kuboresha mtandao wa mawasiliano, huku wakiendelea kuangalia namna ya kuendelea kufanya huduma zao kuwa za...
11 years ago
Michuzi22 May
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jU0CDu2LvY8/Xvdc91RsEeI/AAAAAAAAG0c/BcfwnmL2vj4yDZ5TIP69YDsdjWMl8QMpQCLcBGAsYHQ/s72-c/vlcsnap-2020-06-27-15h10m05s721.png)
DC IKUNGI MKOANI SINGIDA AZINDUA MNADA MKUBWA WA MIFUGO NA MAZAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-jU0CDu2LvY8/Xvdc91RsEeI/AAAAAAAAG0c/BcfwnmL2vj4yDZ5TIP69YDsdjWMl8QMpQCLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-06-27-15h10m05s721.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-9vf_WhMXcO8/XvddDiY6qmI/AAAAAAAAG0k/GHZanWJLwx4CHTJ5A9lm0Ax2KaTdZdKJwCLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-06-27-15h11m08s450.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-NBj5UTihODU/XvdclIVz_dI/AAAAAAAAGzg/WxrSXj-MqLMil1ZkFue3ie9FnKYfgWsmwCLcBGAsYHQ/s640/3.png)
Mwonekano wa mnada huo.
![](https://1.bp.blogspot.com/-D3qgS5cSA1U/XvddC8SnEGI/AAAAAAAAG0g/LWhHz4_Adlo3Kblkt-1NbfFIFSbm9NQFgCLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-06-27-15h11m54s760.png)
Mchoma nyama...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wElhaJF9fXJycfOz9oajWFhKr5BkD9mCsgVu5--AT-hl92hJ2V2waUudzIvFJvlaSS6ZfRaCR1JVqrU92hg0QAwyobCmWbDx/picture2JPG.jpg?width=650)
AIRTEL YAZINDUA MNARA WA MAWASILIANO WILAYA YA IKUNGI SINGIDA
9 years ago
Dewji Blog15 Dec
CCM Singida yazoa viti vyote vya Halmashauri ya Ikungi na Mkalama
Katibu wa CCM mkoa wa Singida, Mary Maziku, akitoa tamko la kukanusha mbele ya waandishi wa habari (hawapo kwenye picha) taarifa zinazoenezwa kwamba CCM mkoa ilikata jina la mgombea nafasi ya Mwenyekiti halmashauri ya wilaya ya Mkalama, kutokana na ulemavu wake wa miguu. Kulia ni Katibu msaidizi CCM mkoa wa Singida, Adamu.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Singida, kimekanusha vikali uzushi unaoenezwa kwamba kilikata jina la mgombea nafasi...