AIRTEL YAZINDUA MNARA WA MAWASILIANO WILAYA YA IKUNGI SINGIDA
![](http://api.ning.com:80/files/wElhaJF9fXJycfOz9oajWFhKr5BkD9mCsgVu5--AT-hl92hJ2V2waUudzIvFJvlaSS6ZfRaCR1JVqrU92hg0QAwyobCmWbDx/picture2JPG.jpg?width=650)
Mgeni Rasmi katika uzinduzi wa mnara wa airtel Omar Hassan Mgisa Diwani wa kata ya Mwaru akikata utepe wakati wa uzinduzi wamnara wa airtel katika kijiji cha mwaru wilayani ikungi mkoani Singida jana wakati wa uzinduzi wa mnara huo. Katikati ni Meneja wa kampuni ya Airtel kanda ya kati bwana Martin Kilasara, akitoa maelezo kwa mgeni rasmi Omary Hassan Mgisa Diwani wa kata ya Mwaru tarafa ya sepuka Wilayani Ikungi Singida Wakati...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-WQ-yr0Yl_Bs/VZo8qBI9vWI/AAAAAAAHnOM/nsR-bJtOyRA/s72-c/unnamed%2B%252839%2529.jpg)
Airtel yazindua Mnara wa Mawasiliano wilaya ya Ikungi, Singida
Meneja wa kanda ya kati wa Airtel, Bwana Stephen Akyoo, alisema Mnara huo mpya wa mawasilino ni moja kati ya mikakati ya kampuni yake kujitanua zaidi na kuboresha mtandao wa mawasiliano, huku wakiendelea kuangalia namna ya kuendelea kufanya huduma zao kuwa za...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TrctbQV3*PtS9Eih*LwumBJ9j60Hfq7eyVtc0QqXglaz85VYFXJ0iEv3M3iB1FzxZMw2ds*J3EcNoV6HIAPApK5Almsj5-Oq/11.jpg?width=650)
AIRTEL YAZINDUA MNARA WA MAWASILIANO MAZINDE WILAYA YA KOROGWE
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jB_FwnqFx2Q/VkBu4vHiOzI/AAAAAAAIE8I/5tBHVxJgkV4/s72-c/unnamedA2.jpg)
Airtel yazindua mnara wa mawasiliano Mazinde wilaya ya Korogwe
![](http://4.bp.blogspot.com/-jB_FwnqFx2Q/VkBu4vHiOzI/AAAAAAAIE8I/5tBHVxJgkV4/s640/unnamedA2.jpg)
Uzinduzi huo wa mnara wa mawasiliano utawahakikishia wakazi wa Mazinde na vijiji vya jirani mawasiliano ya uhakika katika kuendesha shughuli zao za kijamii na kiuchumi kila siku ikiwemo kilimo cha katani.
Akiongea wakati wa uzinduzi, Mkuu wa wilaya ya Korogwe,...
10 years ago
GPLAIRTEL YAZINDUA MNARA WA HUDUMA ZA MAWASILIANO ARUMERU WILAYANI ARUSHA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-w-KH5NPuDvY/VBlMJMHfxxI/AAAAAAAGkBg/oadxwt8GWxU/s72-c/pic%2B1.jpg)
Airtel yazindua Mnara wa Mawasiliano Mbulu Mkoani Manyara
![](http://2.bp.blogspot.com/-w-KH5NPuDvY/VBlMJMHfxxI/AAAAAAAGkBg/oadxwt8GWxU/s1600/pic%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wGTELztxugk/VBlMJrvt4PI/AAAAAAAGkBk/IcDcLBbvrvw/s1600/Pic%2B2.jpg)
10 years ago
MichuziAIRTEL YAZINDUA MNARA WA HUDUMA ZA MAWASILIANO ARUMERU WILAYANI ARUSHA
10 years ago
MichuziTTCL yazindua mnara wa mawasiliano ya simu mkoani Tanga
Akihutubia mamia ya wananchi waliohudhuria tukio hilo, Mkuu wa Wilaya ya Kilindi Selemani Liwowa alisema kwa kupata mawasiliano itasaidia wananchi kuwasiliana pamoja na kutafuta fursa mbalimbali kwa ajili maendeleo. Aidha, Mkuu wa Wilaya alisisitiza wananchi kutumia mawasiliano ya simu kwa ajili ya shughuli za...
10 years ago
MichuziTTCL YAZINDUA MNARA WA MAWASILIANO KATIKA KATA YA KIEGEI WILAYANI NACHINGWEA
Akiongea na wananchi Kiegei, Mkuu wa Biashara (TTCL) kanda ya Zanzibar Bw. Hussein Nguvu amesema; kwa kutambua umuhimu wa mawasiliano, TTCL pekee ndiyo ipo katika kijiji cha KIEGEI na ipo mstari wa mbele katika kuchangia kufanikisha malengo ya Serikali katika Sekta hii mtambuka kwa maendeleo ya haraka kwa Taifa letu.
Amesema Serikali ina imani kubwa na...
10 years ago
VijimamboKAMPUNI YA SIMU YA TTCL YAZINDUA MNARA WA MAWASILIANO, WAISHIO VIJIJINI KUNUFAIKA ZAIDI