AIRTEL YAZINDUA MNARA WA HUDUMA ZA MAWASILIANO ARUMERU WILAYANI ARUSHA
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Arusha , Fidelis Lumato akikata utepe kuzindua mnara wa mawasiliano wa kampuni ya simu za mkononi ya Airtel katika kijiji cha Nduruma, wilayani Arumeru Mkoani Arusha , akishuhudia ni Meneja wa Kanda ya Kaskazini wa Airtel, Brighton Majwala. Meneja wa Kanda ya Kaskazini wa Airtel, Brighton Majwala akitoa msaada wa vitabu Mwalimu mkuu msaidizi wa shule ya sekondari Singisi , Hamad Boay , wakati wa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziAIRTEL YAZINDUA MNARA WA HUDUMA ZA MAWASILIANO ARUMERU WILAYANI ARUSHA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TrctbQV3*PtS9Eih*LwumBJ9j60Hfq7eyVtc0QqXglaz85VYFXJ0iEv3M3iB1FzxZMw2ds*J3EcNoV6HIAPApK5Almsj5-Oq/11.jpg?width=650)
AIRTEL YAZINDUA MNARA WA MAWASILIANO MAZINDE WILAYA YA KOROGWE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wElhaJF9fXJycfOz9oajWFhKr5BkD9mCsgVu5--AT-hl92hJ2V2waUudzIvFJvlaSS6ZfRaCR1JVqrU92hg0QAwyobCmWbDx/picture2JPG.jpg?width=650)
AIRTEL YAZINDUA MNARA WA MAWASILIANO WILAYA YA IKUNGI SINGIDA
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jB_FwnqFx2Q/VkBu4vHiOzI/AAAAAAAIE8I/5tBHVxJgkV4/s72-c/unnamedA2.jpg)
Airtel yazindua mnara wa mawasiliano Mazinde wilaya ya Korogwe
![](http://4.bp.blogspot.com/-jB_FwnqFx2Q/VkBu4vHiOzI/AAAAAAAIE8I/5tBHVxJgkV4/s640/unnamedA2.jpg)
Uzinduzi huo wa mnara wa mawasiliano utawahakikishia wakazi wa Mazinde na vijiji vya jirani mawasiliano ya uhakika katika kuendesha shughuli zao za kijamii na kiuchumi kila siku ikiwemo kilimo cha katani.
Akiongea wakati wa uzinduzi, Mkuu wa wilaya ya Korogwe,...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-w-KH5NPuDvY/VBlMJMHfxxI/AAAAAAAGkBg/oadxwt8GWxU/s72-c/pic%2B1.jpg)
Airtel yazindua Mnara wa Mawasiliano Mbulu Mkoani Manyara
![](http://2.bp.blogspot.com/-w-KH5NPuDvY/VBlMJMHfxxI/AAAAAAAGkBg/oadxwt8GWxU/s1600/pic%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wGTELztxugk/VBlMJrvt4PI/AAAAAAAGkBk/IcDcLBbvrvw/s1600/Pic%2B2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-WQ-yr0Yl_Bs/VZo8qBI9vWI/AAAAAAAHnOM/nsR-bJtOyRA/s72-c/unnamed%2B%252839%2529.jpg)
Airtel yazindua Mnara wa Mawasiliano wilaya ya Ikungi, Singida
Meneja wa kanda ya kati wa Airtel, Bwana Stephen Akyoo, alisema Mnara huo mpya wa mawasilino ni moja kati ya mikakati ya kampuni yake kujitanua zaidi na kuboresha mtandao wa mawasiliano, huku wakiendelea kuangalia namna ya kuendelea kufanya huduma zao kuwa za...
10 years ago
MichuziTTCL YAZINDUA MNARA WA MAWASILIANO KATIKA KATA YA KIEGEI WILAYANI NACHINGWEA
Akiongea na wananchi Kiegei, Mkuu wa Biashara (TTCL) kanda ya Zanzibar Bw. Hussein Nguvu amesema; kwa kutambua umuhimu wa mawasiliano, TTCL pekee ndiyo ipo katika kijiji cha KIEGEI na ipo mstari wa mbele katika kuchangia kufanikisha malengo ya Serikali katika Sekta hii mtambuka kwa maendeleo ya haraka kwa Taifa letu.
Amesema Serikali ina imani kubwa na...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-azZA5E--RyE/VlYkIeDiOwI/AAAAAAAIIaM/bove7Pc73jY/s72-c/40c8b8d5-8024-4fe4-8b75-13e973062579.jpg)
Airtel yazindua 'Airtel Care' programu kwa wateja * huduma ya kwanza na kipekee kutolewa na kampuni ya mawasiliano ya simu nchini, inawawezesha wateja kupata huduma zote za Airtel kwa urahisi
11 years ago
GPLAIRTEL YAZINDUA LUKU OFA KUPITIA HUDUMA YA AIRTEL MONEY