Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIONGOZI WA CHADEMA WILAYANI IKUNGI MKOANI SINGIDA AMWANGA MANYAGA.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

DC IKUNGI MKOANI SINGIDA AZINDUA MNADA MKUBWA WA MIFUGO NA MAZAO


 Nyama ikichomwa. Sola zikiuzwa.

 Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Edward Mpogolo akihutubia wananchi wakati akizindua Mnada wa Mifugo na Mazao katika Kijiji cha Ighuka  wilayani humo mkoani Singida juzi. Aliyekuwa Mwenyekiti wa  Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi ambaye amemalliza muda wake, Ally Mwanga akizungumzia mnada huo na faida zitakazo patikana.  Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Edward Mpogolo, akitembelea mabanda.

Mwonekano wa mnada huo. Nyama ya mbuzi ikiuzwa kwenye mnada huo.

Mchoma nyama...

 

5 years ago

Michuzi

DC IKUNGI AYAPONGEZA MASHIRIKA MAWILI VITA DHIDI YA CORONA MKOANI SINGIDA



 Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Edward Mpogolo (kulia) akizungumza  na timu ya vijana kutoka Mashirika yasiyo ya  Kiserikali  la Empower Youth Prosperity  ( EYP) la mkoani Mbeya na Shirika la Sustanable Environment Management Action (SEMA) la Singida ambao walikuwa wilayani humo jana kutoa elimu ya kujikinga na ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Corona. Katikati ni Katibu Tawala wa wilaya hiyo, Winfrida Funto.  Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi, Justice Kijazi...

 

9 years ago

Dewji Blog

Aliyekuwa kada wa Chadema Ikungi, Singida, Hamisi Mazonge, arejea CCM na kukiomba radhi

DSC01397

Aliyekuwa katibu mwenezi CHADEMA kata ya Ikungi mkoani Singida, Hamisi Yahaya Mazonge, akitangaza uamuzi wake wa kuhama CHADEMA na kurejea CCM,  kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni za uchaguzi nafasi ya ubunge na udiwani jimbo la Singida mashariki.Mazonge amedai kwamba amehama CHADEMA baada ya kubaini chama hicho hakina sera yoyote ya kuwaletea wananchi maendeleo.(Picha naNathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Ikungi

ALIYEKUWA Katibu mwenezi wa CHADEMA Kata ya Ikungi wilaya ya Ikungi mkoani...

 

9 years ago

Michuzi

LOWASSA ASIMIKWA KUWA KIONGOZI WA WANYATURU, MKOANI SINGIDA

Mmoja wa wazee wa Kimila wa Kabila la Wanyaturu, Mzee Semani Nyambia akimvisha Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, vazi la kimila (mgololi) ikiwa ni ishara ya kusimikwa kuwa mlezi wa Wanyaturu, wakati wa Mkutano wake wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Ilongero, Jimbo la Singida Kaskazini, leo Septemba 13, 2015.
PICHA NA OTHMAN MICHUZI, SINGIDA.
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama...

 

11 years ago

Michuzi

KIONGOZI WA CHADEMA MKOANI KIGOMBA ASHAMBULIWA NA WATU WASIOJULIKANA

Maelezo ya picha;Makamu mwenyekiti Uenezi CHADEMA kanda ya Magharibi Deogratius Liyunga akiwa amelazwa katika Hospital ya Mkoa wa Kigoma(Maweni)baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana(Picha na Editha Karlo).
Na Editha Karlo,Kigoma.
WATU wasiojulikana wamemvamia na kumpiga pamoja na kumjeruhi sehemu mbalimbali za mwili kwa kutumia vitu vyenye ncha kali Makamu Mwenyekiti wa uenezi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kanda ya Magaharibi,Deogratius Liyunga na kupelekea kulazwa...

 

10 years ago

Michuzi

Airtel yazindua Mnara wa Mawasiliano wilaya ya Ikungi, Singida

Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel leo imezindua mnara wa mawasiliano katika wilaya ya Ikungi mkoani Singida ambao utasaidia upatikanaji wa mawasiliano na pia kuboresha ubora wa mtandao kwa wakazi wa wilayani hapo na maeneo ya jirani.
Meneja wa kanda ya kati wa Airtel, Bwana Stephen Akyoo, alisema Mnara huo mpya wa mawasilino ni moja kati ya mikakati ya kampuni yake kujitanua zaidi na kuboresha mtandao wa mawasiliano, huku wakiendelea kuangalia namna ya kuendelea kufanya huduma zao kuwa za...

 

5 years ago

Michuzi

DC IKUNGI AONGOZA MAZISHI YA DIWANI WA KATA YA KITUNTU SINGIDA


 Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa diwani mwenzao wa Kata ya Kituntu, Saidi Tumbwi wakati wa mazishi yake yaliyofanyika leo hii.  Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Edward Mpogolo, akitoa salamu za rambirambi wakati wa mazishi hayo. Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya hiyo, Ally Mwanga akizungumza kwenye...

 

10 years ago

GPL

AIRTEL YAZINDUA MNARA WA MAWASILIANO WILAYA YA IKUNGI SINGIDA‏

Mgeni Rasmi katika uzinduzi wa mnara wa airtel Omar Hassan Mgisa Diwani wa kata ya Mwaru akikata utepe wakati wa uzinduzi wamnara wa airtel katika kijiji cha mwaru wilayani ikungi mkoani Singida jana wakati wa uzinduzi wa mnara huo. Katikati ni Meneja wa kampuni ya Airtel kanda ya kati bwana Martin Kilasara, akitoa maelezo kwa mgeni rasmi Omary Hassan Mgisa Diwani wa kata ya Mwaru tarafa ya sepuka Wilayani Ikungi Singida Wakati...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani