LOWASSA ASIMIKWA KUWA KIONGOZI WA WANYATURU, MKOANI SINGIDA
![](http://2.bp.blogspot.com/-ngTOGjiQ7D4/VfW-OCJZBOI/AAAAAAAAB7g/6OWTkTI_69U/s72-c/OTH_3483.jpg)
Mmoja wa wazee wa Kimila wa Kabila la Wanyaturu, Mzee Semani Nyambia akimvisha Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, vazi la kimila (mgololi) ikiwa ni ishara ya kusimikwa kuwa mlezi wa Wanyaturu, wakati wa Mkutano wake wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Ilongero, Jimbo la Singida Kaskazini, leo Septemba 13, 2015.
PICHA NA OTHMAN MICHUZI, SINGIDA.Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi22 May
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/kzG2qY2Z3KY/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog05 Jan
Jeshi la Polisi mkoani Singida lamshikilia mtu anayedhaniwa kuwa jambazi sugu
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP.Thobias Sedoyeka.
Na Nathaniel Limu, Singida
Jeshi la polisi mkoani Singida,limefanikiwa kukamata mkulima na mkazi wa Kibaoni Iddy Issah (33), anayedhaniwa kuwa ni jambazi sugu baada ya kulipiga risasi moja mguu wake wa kulia, wakati alipojaribu kutoroka.
Kaimu kamanda wa polisi mkoa wa Singida, ACP Simon Haule,alisema mtuhumiwa huyo amekamatwa Januari tatu mwaka huu saa 7.20 usiku katika baa ya Leaders iliyopo kata ya Kindai tarafa ya...
9 years ago
Dewji Blog05 Nov
Familia Mkoani Singida yamtabiria mtoto wao kuwa Rais mwaka 2050!
Mzee Nassoro Salum, akiwa mitaani jana na mtoto wake Yusuph ambaye amedai anamjengea mazingira mazuri kuja kuwa Rais wa Tanzania ifikapo mwaka 2050.
Na Nathaniel Limu, Singida
WAKATI Watanzania na dunia nzima leo imeshuhudia kuapishwa kwa Rais wa tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.John Pombe Magufuli, familia moja mkoani Singida, imeanzisha rasmi safari ya kumwandaa mtoto wao wa kiume mwenye umri wa mwaka moja na miezi nane, kuja kuwa Rais wa Tanzania mwaka 2050.
Mtoto huyo...
11 years ago
MichuziMhe. Kairuki asimikwa kuwa Kamanda wa UVCCM Same
11 years ago
Dewji Blog16 Apr
Angellah Kairuki asimikwa kuwa Kamanda wa UVCCM Same
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana (UVCCM, Ndg. Sixtus Mapunda akimkabidhiMhe. Angellah Kairuki (MB), Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, nyenzo za vitendea kazi za kimila wakati wakusimikwa kuwa Kamanda wa UVCCM wa Wilaya ya Same.
Katibu Mkuu wa Umojawa Vijana (UVCCM), Ndg. Sixtus Mapunda akimweleza majukumu ya Kamanda wa Vijana Mhe. Angellah Kairuki kabla ya kusimikwa kuwa Kamanda wa UV CCM wa Wilaya ya Same.
Mhe. Kairuki akila kiapo cha Kamanda Mpya wa UVCCM wa Wilaya ya Same wakati wa...
11 years ago
MichuziTONNY NGOMBALE MWIRU ASIMIKWA KUWA KAMANDA WA UVCCM
11 years ago
Dewji Blog30 Jun
Samwel Nakei, aapishwa kuwa kamanda wa UVCCM wilaya mpya ya Mkalama, Mkoani Singida aahidi kuleta neema kwa Vijana
Katibu wa UVCCM Mkoa wa Singida, Ramadhan Kapeto akimwapishwa Samwel Nakei kuwa kamanda wa UVCCM Wilaya ya Mkalama jana.
Samweli Nakei akila kiapo cha kuwa Kamanda wa (UVCCM) Wilaya ya Mkalama.
Na Hillary Shoo, MKALAMA
VIJANA Wilayani Mkalama Mkoani Singida wametakiwa kujiunga kwenye vikundi mbalimbali vya ujasiriamali ili waweze kukopesheka kirahisi badala ya mtu mmoja mmoja.
Changamoto hiyo imetolewa jana Wilayani hapa na Kamanda Mpya ya Umoja wa vijana wa (UVCCM) Wilaya ya Mkalama,...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-E7hkAFlZNvk/Vh0zc40lAPI/AAAAAAABXPw/6bJjo8QxCrc/s72-c/12116011_1042100485842795_5150099913946377468_n.jpg)
LOWASSA AFANYA MKUTANO GEITA JIMBO LA BUSANDA, ASIMIKWA UCHIFU WA WASUKUMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-E7hkAFlZNvk/Vh0zc40lAPI/AAAAAAABXPw/6bJjo8QxCrc/s640/12116011_1042100485842795_5150099913946377468_n.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hKVnOi9zdt4/Vh0zc60G3HI/AAAAAAABXP0/5THMuN2-BHM/s640/12141685_1042100445842799_6963930633983730771_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-zAsiLqg-uuk/Vh0zdtd0jgI/AAAAAAABXQA/l0KiqkzUyKs/s640/12107836_1042100415842802_6895988300589475392_n.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nalPLL9Y8is/Vh0ze9oCG1I/AAAAAAABXQE/AXzv7cbVqAw/s640/12107234_1042100509176126_4484430565002875013_n.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FN0z_pI3lAw/Vh0zjgKo9FI/AAAAAAABXQU/j4QyXLC2B3g/s640/6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pnz5sO7ugQo/Vh0zjljkosI/AAAAAAABXQY/eXxiNxrajIY/s640/7.jpg)