LOWASSA AFANYA MKUTANO GEITA JIMBO LA BUSANDA, ASIMIKWA UCHIFU WA WASUKUMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-E7hkAFlZNvk/Vh0zc40lAPI/AAAAAAABXPw/6bJjo8QxCrc/s72-c/12116011_1042100485842795_5150099913946377468_n.jpg)
Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, akihutubia wananchi, katika Mkutano wa Kampeni leo Geita
Wazee wamsimika Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa Uchifu wa Wasukuma leo
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EMVKhgUIcMsWY41zj8bfYuhWTBWKl0qnJZH3VI9lwsPvN*5fm*FmBNZFgFSt-kNdQiblK7x*x1fH-GUzEKgW53SjGF7nIO6i/1.jpg?width=650)
KINANA ASHAMBULIA JIMBO LA BUSANDA MKOANI GEITA
9 years ago
VijimamboMAELFU WAJITOKEZA KATIKA MKUTANO WA KAMPENI ZA MGOMBEA MWENZA WA UKAWA BUSANDA GEITA
![](http://1.bp.blogspot.com/-CO8O7AZ9_kc/VfrsEB7LtFI/AAAAAAABgq0/nmC8dCBCmqc/s640/duni%2Bkuwasili%2Bkatolo.jpg)
9 years ago
MichuziMAELFU WAJITOKEZA KATIKA MKUTANO WA KAMPENI ZA BABU DUNI, MGOMBEA MWENZA WA UKAWA BUSANDA GEITA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-tV0w0MAzh3k/U3Z1GCuEoRI/AAAAAAAChPE/oe7DyqLIiU4/s72-c/9.jpg)
KINANA AWAHUTUBIA WANANCHI WA URAMBO,ASIMIKWA UCHIFU WA KABILA LA WANYAMWEZI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-tV0w0MAzh3k/U3Z1GCuEoRI/AAAAAAAChPE/oe7DyqLIiU4/s1600/9.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-NuGjStm3Io0/U3Z0phX_lhI/AAAAAAAChOE/_a1G_Qie514/s1600/10.jpg)
Ndugu Kinana akiwa ameambatana na Katibu wa NEC Itikadi,Siasa na Uenezi,Nape Nnaye yuko katika ziara ya mikoa mitatu ya Tabora,Singida na Manyara,ya kuimarisha uhai wa chama,kukagua miradi mbalimbali ya maenedeleo inayotekelezwa na kusimamiwa na Serikali ya CCM,na pia kusikiliza matatizo ya wananchi na...
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Mbunge mteule wa Busanda ahidi kutatua kero za wananchi Geita
Msimamizi wa Uchaguzi, Ali Kidwaka akitangaza matokeo ya Ubunge jimbo la Busanda na Geita.
Mbunge mteule wa Busanda Bi Lolesia Bukwimba akiongea na Wanahabari mara baaada ya kutangazwa mshindi.
Diwani Mteule wa kata ya Lwamgasa jimbo la Busanda, Joseph Kaparatus akishangilia ushindi baada ya kutangazwa kuwa mshindi.
Na Alphonce Kabilondo, Geita
MBUNGE mteule wa jimbo la Busanda wilayani Geita (CCM), Bi. Lolesia Jeremia Bukwimba amesema kuwa atahakikisha ana shirikiana na wananchi wake...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yRGsDg4KRGY/Xumstjqz1nI/AAAAAAALuJ0/ePRarxvUZL49M_8SpDUlVUOBW_mBjn9eQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B10.10.57%2BPM.jpeg)
KANALI MSTAAFU NDUGU NGEMELA LUBINGA AFANYA ZIARA WILAYA YA CHATO NA MBOGWE GEITA MKOANI GEITA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-yRGsDg4KRGY/Xumstjqz1nI/AAAAAAALuJ0/ePRarxvUZL49M_8SpDUlVUOBW_mBjn9eQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B10.10.57%2BPM.jpeg)
Mlezi wa Mkoa wa Geita Ndugu. Ngemela Lubinga ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM (Siasa na Uhusiano wa Kimataifa) amefanya ziara wilayani Chato na Mbogwe Mkoani Geita.
Wilayani Chato Ndugu Lubinga amekagua na kujionea upanuzi wa Hospital ya Wilaya ya Chato pamoja na maendeleo ya mradi wa ujenzi wa majengo matano ambao umekamilika kwa asilimia 97%.
Aidha amekagua pia maendeleo ya ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Mlimani ambao umejengwa kwa nguvu ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1HrQ5hJufBY/VYRiiygHzrI/AAAAAAAC7GA/ZE3DaVO9VXU/s72-c/10.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AUNGURUMA WILAYANI BUSANDA NA MJI MDOGO WA KATORO MKOANI GEITA LEO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-1HrQ5hJufBY/VYRiiygHzrI/AAAAAAAC7GA/ZE3DaVO9VXU/s640/10.jpg)
Ndugu Kinana ambaye ameambatana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, yupo mkoani Geita kwa ziara ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua, kusimamia utekelezaji...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ngTOGjiQ7D4/VfW-OCJZBOI/AAAAAAAAB7g/6OWTkTI_69U/s72-c/OTH_3483.jpg)
LOWASSA ASIMIKWA KUWA KIONGOZI WA WANYATURU, MKOANI SINGIDA
![](http://2.bp.blogspot.com/-ngTOGjiQ7D4/VfW-OCJZBOI/AAAAAAAAB7g/6OWTkTI_69U/s640/OTH_3483.jpg)
PICHA NA OTHMAN MICHUZI, SINGIDA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-CbfgbrUMebg/VfW-bGwcinI/AAAAAAAAB74/klKWbaNgHE4/s640/OTH_3524.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-0P61Is4AIZU/VhvvW1QJ8tI/AAAAAAAA0b4/-NtSJKLlCNU/s72-c/1.jpg)
MAMA SAMIA AFUNIKA JIMBO LA GEITA MJINI LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-0P61Is4AIZU/VhvvW1QJ8tI/AAAAAAAA0b4/-NtSJKLlCNU/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0VB_B7EScFo/VhvvVV9wJdI/AAAAAAAA0b4/PD7aU6Pbvck/s640/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3bem6I8za-o/VhvvXwEl2HI/AAAAAAAA0aE/YLpB-wPVukw/s640/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gqWOu7yQBK0/VhvvY3MRXAI/AAAAAAAA0b4/yTUotApF5fM/s640/4.jpg)