KINANA AWAHUTUBIA WANANCHI WA URAMBO,ASIMIKWA UCHIFU WA KABILA LA WANYAMWEZI.

Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi wa jimbo la Urambo,katika Mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Mwananchi Skwea mjini Urambo,mkoani Tabora.
Ndugu Kinana akiwa ameambatana na Katibu wa NEC Itikadi,Siasa na Uenezi,Nape Nnaye yuko katika ziara ya mikoa mitatu ya Tabora,Singida na Manyara,ya kuimarisha uhai wa chama,kukagua miradi mbalimbali ya maenedeleo inayotekelezwa na kusimamiwa na Serikali ya CCM,na pia kusikiliza matatizo ya wananchi na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
LOWASSA AFANYA MKUTANO GEITA JIMBO LA BUSANDA, ASIMIKWA UCHIFU WA WASUKUMA






11 years ago
Dewji Blog07 Oct
Kinana apewa heshima ya Uchifu wa Kihehe Mkwawa
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye wakiwa katika mkutano wa hadhara katika Kata ya Kalenga, Iringa Vijini, walipoanza ziara ya siku sita za kuimarisha uhai wa chama, kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 pamoja na kusikiliza kero za watu na kuzitafutia ufumbuzi.Katika mkutano huo Kinana aliitaka Serikali kuandaa utaratibu mzuri wa kuwatafutia soko la uhakika wakulima.PICHA NA RICHARD MWAIKENDA WA...
11 years ago
GPLKINANA ATEMBELEA MAKUMBUSHO YA CHIFU MKWAWA, KALENGA, IRINGA - APEWA HESHIMA YA UCHIFU WA WAHEHE
10 years ago
Vijimambo
MWENYEKITI WA BAVICHA TAIFA CHADEMA AWAHUTUBIA WANANCHI



Wananchi wa wilaya ya mufindi mkoani Iringa wamelalamikia ugumu wa...
10 years ago
GPLMGOMBEA WA URAIS WA CCM DK SHEIN AWAHUTUBIA WANANCHI WA MTAMBWE
11 years ago
Dewji Blog17 May
Kinana afunga kazi Urambo, maelfu wahudhuria mkutano wake wa hadhara
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia maelfu ya Wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika Mei 16, 2014 katika viwanja vya Mwananchi Squire mjini Urambo, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM, kusikiliza kero za wananchi huku akijadiliana nao njia ya kuzitatua katika mkoa wa Tabora.
Maelfu ya wananchi wakimsikiliza Kinana kwenye mkutano huo.
Kinana akiinuliwa baada ya kusimikwa uchifu wa Wanyamwezi kabla ya kuhutubia mkutano huo.
Kinana akiwa katika...
10 years ago
MichuziZitto Kabwe aongea na Viongozi wa Matawi ya jimbo la Urambo Mkoa wa Tabora wilaya ya Urambo
11 years ago
Michuzi
MADIWANI WA CUF WILAYANI URAMBO WASHIRIKI MAPOKEZI YA KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA NA UJUMBE WAKE

5 years ago
MichuziMKUU WA MKOA KUSINI UNGUJA AWAHUTUBIA WANANCHI KUPITIA VYOMBO VYA HABARI KATIKA MAADHIMIDHO YA SIKU YA KIFUA KIKUU DUNIANI