Kinana apewa heshima ya Uchifu wa Kihehe Mkwawa
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye wakiwa katika mkutano wa hadhara katika Kata ya Kalenga, Iringa Vijini, walipoanza ziara ya siku sita za kuimarisha uhai wa chama, kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 pamoja na kusikiliza kero za watu na kuzitafutia ufumbuzi.Katika mkutano huo Kinana aliitaka Serikali kuandaa utaratibu mzuri wa kuwatafutia soko la uhakika wakulima.PICHA NA RICHARD MWAIKENDA WA...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLKINANA ATEMBELEA MAKUMBUSHO YA CHIFU MKWAWA, KALENGA, IRINGA - APEWA HESHIMA YA UCHIFU WA WAHEHE
10 years ago
VijimamboKATIBU MKUU WA CHADEMA DR WILBROAD SLAA APEWA UCHIFU WA MKOA WA DAR ES SALAAM NA WAZEE WA KANDA YA PWANI
Wazee wa Kimila Ali Mahita Mwinyikambi (kulia) na Athumani Rajab Uloleulole kwa niaba ya Wazee wa Pwani wakimtazama Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt. Willibroad Slaa baada ya kumvisha nguo za kimila na kumkabidhi silaha za jadi ikiwa ni ishara ya kumtawaza kuwa Chifu wa Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani na kumpatia jina la Chifu Mwinyikambi
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-tV0w0MAzh3k/U3Z1GCuEoRI/AAAAAAAChPE/oe7DyqLIiU4/s72-c/9.jpg)
KINANA AWAHUTUBIA WANANCHI WA URAMBO,ASIMIKWA UCHIFU WA KABILA LA WANYAMWEZI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-tV0w0MAzh3k/U3Z1GCuEoRI/AAAAAAAChPE/oe7DyqLIiU4/s1600/9.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-NuGjStm3Io0/U3Z0phX_lhI/AAAAAAAChOE/_a1G_Qie514/s1600/10.jpg)
Ndugu Kinana akiwa ameambatana na Katibu wa NEC Itikadi,Siasa na Uenezi,Nape Nnaye yuko katika ziara ya mikoa mitatu ya Tabora,Singida na Manyara,ya kuimarisha uhai wa chama,kukagua miradi mbalimbali ya maenedeleo inayotekelezwa na kusimamiwa na Serikali ya CCM,na pia kusikiliza matatizo ya wananchi na...
10 years ago
MichuziKINANA ATEMBELEA MAKUMBUSHO YA CHIFU MKWAWA, KALENGA, IRINGA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-88xmnCjl42I/VZGnkJyiC5I/AAAAAAAC75k/FtSi_R81hXU/s72-c/15.jpg)
MKUU WA MAJESHI MSTAAFU JENERALI MRISHO SARAKIKYA APEWA TUZO YA HESHIMA NA TANAPA KWA KUPANDA MLIMA KILIMANJARO MARA 38
![](http://3.bp.blogspot.com/-88xmnCjl42I/VZGnkJyiC5I/AAAAAAAC75k/FtSi_R81hXU/s640/15.jpg)
10 years ago
Dewji Blog29 Nov
Kinana alakiwa kwa Shangwe Mtwara vijijini, atoa heshima kwenye kumbukumbu ya mnara wa shujaa Hamad Mzee
![](http://4.bp.blogspot.com/-CTScMOVZW24/VHir-LIGu_I/AAAAAAAAUIc/S6V8mRalSqM/s1600/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na wananchi waliojitokeza kumpokea wakati akiwasili wilaya ya Mtwara kijijini.
![](http://1.bp.blogspot.com/-r8xbgZdRbfs/VHisFCwcitI/AAAAAAAAUJk/xcXMOUJVr6A/s1600/2.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wajumbe wa halmashauri kuu ya CCM wilaya ya Mtwara vijijini ,Katibu Mkuu wa CCM anazunguka nchi nzima kufuatilia utekelezaji wa ilani na kuimarisha chama chetu.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ae6g6ix6mNk/VHisHMF9v1I/AAAAAAAAUKE/2BU8IZ6SBbA/s1600/4.jpg)
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Ndugu Nape Nnauye akisisitiza wananchi wa kata ya Nanyamba kujiandikisha kwa ajili ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/3MWqP4uTHkU/default.jpg)
10 years ago
Michuzi28 Nov
KINANA ALAKIWA KWA SHANGWE MTWARA VIJIJINI, ATOA HESHIMA KWENYE MNARA WA SHUJAA HAMAD MZEE ALIYETUNGUA NDEGE MBILI ZA KIRENO KATIKA VITA VYA UKOMBOZI WA MSUMBIJI
Kinana akihutubia katika mkutano uliofanyika Katika Kijiji cha Nanguruwe, Wilaya Mtwara...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-E7hkAFlZNvk/Vh0zc40lAPI/AAAAAAABXPw/6bJjo8QxCrc/s72-c/12116011_1042100485842795_5150099913946377468_n.jpg)
LOWASSA AFANYA MKUTANO GEITA JIMBO LA BUSANDA, ASIMIKWA UCHIFU WA WASUKUMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-E7hkAFlZNvk/Vh0zc40lAPI/AAAAAAABXPw/6bJjo8QxCrc/s640/12116011_1042100485842795_5150099913946377468_n.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hKVnOi9zdt4/Vh0zc60G3HI/AAAAAAABXP0/5THMuN2-BHM/s640/12141685_1042100445842799_6963930633983730771_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-zAsiLqg-uuk/Vh0zdtd0jgI/AAAAAAABXQA/l0KiqkzUyKs/s640/12107836_1042100415842802_6895988300589475392_n.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nalPLL9Y8is/Vh0ze9oCG1I/AAAAAAABXQE/AXzv7cbVqAw/s640/12107234_1042100509176126_4484430565002875013_n.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FN0z_pI3lAw/Vh0zjgKo9FI/AAAAAAABXQU/j4QyXLC2B3g/s640/6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pnz5sO7ugQo/Vh0zjljkosI/AAAAAAABXQY/eXxiNxrajIY/s640/7.jpg)