KINANA ALAKIWA KWA SHANGWE MTWARA VIJIJINI, ATOA HESHIMA KWENYE MNARA WA SHUJAA HAMAD MZEE ALIYETUNGUA NDEGE MBILI ZA KIRENO KATIKA VITA VYA UKOMBOZI WA MSUMBIJI
Wananachi wakimkaribisha Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana alipowasili Wilaya ya Mtwara Vijijini, wakati wa ziara yake ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 pamoja na kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi.
Kinana akizungumza wakati wa mapokezi katika Kijiji cha Kibaoni, Mtwara Vijijini leo.
Kinana akihutubia katika mkutano uliofanyika Katika Kijiji cha Nanguruwe, Wilaya Mtwara...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog29 Nov
Kinana alakiwa kwa Shangwe Mtwara vijijini, atoa heshima kwenye kumbukumbu ya mnara wa shujaa Hamad Mzee
![](http://4.bp.blogspot.com/-CTScMOVZW24/VHir-LIGu_I/AAAAAAAAUIc/S6V8mRalSqM/s1600/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na wananchi waliojitokeza kumpokea wakati akiwasili wilaya ya Mtwara kijijini.
![](http://1.bp.blogspot.com/-r8xbgZdRbfs/VHisFCwcitI/AAAAAAAAUJk/xcXMOUJVr6A/s1600/2.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wajumbe wa halmashauri kuu ya CCM wilaya ya Mtwara vijijini ,Katibu Mkuu wa CCM anazunguka nchi nzima kufuatilia utekelezaji wa ilani na kuimarisha chama chetu.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ae6g6ix6mNk/VHisHMF9v1I/AAAAAAAAUKE/2BU8IZ6SBbA/s1600/4.jpg)
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Ndugu Nape Nnauye akisisitiza wananchi wa kata ya Nanyamba kujiandikisha kwa ajili ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-E9DB2DDdZbI/VHn4dvaXj3I/AAAAAAAAUMw/anUxLlyqVO8/s72-c/2.jpg)
KINANA APOKELEWA KWA SHANGWE MTWARA MJINI
Apokelewa kwa ShangweAkagua miradi ya maendeleoAtaka wana CCM kushikamanaKuhutubia wakazi wa Mtwara kesho kwenye uwanja wa Mashujaa
![](http://1.bp.blogspot.com/-E9DB2DDdZbI/VHn4dvaXj3I/AAAAAAAAUMw/anUxLlyqVO8/s1600/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-l3rQkqc_ekU/VHn4ccDZFJI/AAAAAAAAUMo/oX7eGKOJsOA/s1600/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ebWXouWGnW4/VHn483mx_BI/AAAAAAAAUOw/XwK3TVV_z78/s1600/4.jpg)
11 years ago
MichuziWAZIRI MKUU WA MSUMBIJI ATEMBELEA CCM DAR, ALAKIWA NA KATIBU MKUU KINANA
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Sf1g3nh3sjQ/VlI7wt6M1DI/AAAAAAAAru4/uYNPHvX1ipc/s72-c/IMG_05910.jpg)
KINANA AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA VYAMA VYA SIASA KUSINI MWA AFRIKA MJINI MAPUTO,MSUMBIJI
Mkutano huo ulijadili masuala yaliyolenga kutatua changamoto mbalimbali za mataifa hayo na mipango ya maendeleo kwa ujumla.
Baadhi ya viongozi wa vyama...
9 years ago
CCM Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-Sf1g3nh3sjQ/VlI7wt6M1DI/AAAAAAAAru4/uYNPHvX1ipc/s72-c/IMG_05910.jpg)
KINANA AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA VYAMA VYA SIASA KUSINI MWA AFRIKA MJINI MAPUTO,MSUMBIJI
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Komredi Abdulrahman Kinana katikati ya wiki iliyopita aliongoza ujumbe wa Tanzania nchini Msumbiji kuhudhuria mkutano wa Vyama vya Siasa Kusini Mwa Afrika.
Mkutano huo uliohudhuriwa na baadhi ya Wenyeviti na Makatibu Wakuu wa vyama hivyo, umemalizika mwishoni mwa wiki mjini Maputo kwa mafanikio makubwa.
Mkutano huo ulijadili masuala yaliyolenga kutatua changamoto mbalimbali za mataifa hayo na mipango ya maendeleo kwa ujumla.
Baadhi ya viongozi wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-CTScMOVZW24/VHir-LIGu_I/AAAAAAAAUIc/S6V8mRalSqM/s72-c/1.jpg)
KINANA AMALIZA ZIARA YAKE MTWARA VIJIJINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-CTScMOVZW24/VHir-LIGu_I/AAAAAAAAUIc/S6V8mRalSqM/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-r8xbgZdRbfs/VHisFCwcitI/AAAAAAAAUJk/xcXMOUJVr6A/s1600/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ae6g6ix6mNk/VHisHMF9v1I/AAAAAAAAUKE/2BU8IZ6SBbA/s1600/4.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima09 Sep
Vita vya Seif, Hamad vyahamia bungeni
MJUMBE wa Bunge la Katiba, Hamad Rashid Mohammed, amelazimika kutumia Bunge Maalum la Katiba kujibu mashambulizi ya hasimu wake kisiasa, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharrif...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9Vp-g4K3qoc/VBBinOLIjjI/AAAAAAAAQdQ/3BzuFGBxikQ/s72-c/IMG_0152.jpg)
KINANA AONGOZA KIKAO CHA MAKATIBU WAKUU WA VYAMA VYA UKOMBOZI
![](http://1.bp.blogspot.com/-9Vp-g4K3qoc/VBBinOLIjjI/AAAAAAAAQdQ/3BzuFGBxikQ/s1600/IMG_0152.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM, Ndugu Abdulrahman Kinana akiongoza kikao cha Makatibu Wakuu wa Vyama Rafiki vilivyopigania Ukombozi wa Nchi Kusini mwa Afrika (FLM). Kushoto kwa Kinana ni Katibu Mtendaji Mkuu wa ZANU-PF ya Zimbabwe Comrade Didymus Mutasa na anayefuata ni Katibu Mkuu wa ANC ya Afrika Kusini Comrade Gwede Mantashe. Kulia kwa Kinana aliyevaa miwani ni Katibu Mkuu wa MPLA ya Angola Comrade Juliao Mateus Paulo 'Dino Matrosse' na anayefuata ni Katibu Mkuu wa SWAPO Party ya Namibia Comrade...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-mm8QY3YavJs/ViI2BIj1vkI/AAAAAAABKFA/8hPhMaANER4/s72-c/AS%2B1.jpg)
RAIS KIKWETE ATOA HESHIMA ZAKE ZA MWISHO KWA MAREHEMU DEO FILIKUNJOMBE NA WENZAKE WAWILI WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA HELIKOPTA
![](http://4.bp.blogspot.com/-mm8QY3YavJs/ViI2BIj1vkI/AAAAAAABKFA/8hPhMaANER4/s640/AS%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0aROwNFl69w/ViI2BDRZS6I/AAAAAAABKFI/rWSh4AN71yQ/s640/AS%2B2.jpg)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimfariji Mke wa Marehemu Bi Sarah Filikunjombe wakati wa kuaga mwili wa marehemu...