Vita vya Seif, Hamad vyahamia bungeni
MJUMBE wa Bunge la Katiba, Hamad Rashid Mohammed, amelazimika kutumia Bunge Maalum la Katiba kujibu mashambulizi ya hasimu wake kisiasa, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharrif...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi28 Nov
KINANA ALAKIWA KWA SHANGWE MTWARA VIJIJINI, ATOA HESHIMA KWENYE MNARA WA SHUJAA HAMAD MZEE ALIYETUNGUA NDEGE MBILI ZA KIRENO KATIKA VITA VYA UKOMBOZI WA MSUMBIJI
Kinana akihutubia katika mkutano uliofanyika Katika Kijiji cha Nanguruwe, Wilaya Mtwara...
5 years ago
BBCSwahili29 Feb
Vita vya Afghan: Marekani na Taliban watia saini kumaliza vita vya miezi 18
Marekani na washirika wake wa Nato wamekubaiana kuondoa vikosu vyote ikiwa Talibanitatimiza ahadi yake
9 years ago
IPPmedia31 Oct
Maalim Seif Sharif Hamad
IPPmedia
IPPmedia
Civic United Front (CUF) General Secretary and Zanzibar presidential candidate, Maalim Seif Sharif Hamad, has issued a three-day ultimatum to the Zanzibar government to proceed with the release of election results or let Zanzibaris decide their fate.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nd24W9ECLPO2MWdB528duluNItbZDZ41RkoHmhPivD8rUwW5YgOTYXcCTKUovQQYMyyBq5bMfSpx*XLJStft0VXuFJRsaZop/hamadi.jpg)
HAMAD, MAALIM SEIF KUMEKUCHA
Stori: Mwandishi wetu
VITA ya mahasimu wawili wa kisiasa kutoka CUF Makamu wa Rais wa kwanza wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad na Mbunge wa Wawi Hamad Rashid Mohamed, inaonekana bado mbichi baada ya mjumbe huyo wa Bunge Maalum la Katiba kumlipua bosi wake hadharani. Makamu wa Rais wa kwanza wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad. Jumatatu iliyopita akiwa bungeni, Hamad aliyefukuzwa uanachama wa CUF miaka michache iliyopita,...
10 years ago
Mwananchi30 Sep
Seif Hamad awaalika wawekezaji
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Seif Sharif Hamad amesema hali ya amani na utulivu katika eneo la Afrika Mashariki ni ya kuridhisha na ametoa wito kwa wawekezaji kutoka nje wenye nia ya kuwekeza wafanye hivyo bila hofu.
9 years ago
BBCSwahili20 Oct
Maalim Seif Hamad mgombea urais Zanzibar
Maalim Seif Sharifu Hamad ambaye kwa sasa ni Makamu wa Kwanza wa rais wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Zanzibar anagombea urais wa Zanzibar
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-e4ug84pKEIo/VjnaS_1pgeI/AAAAAAADByI/0Mq8RJf9hC4/s72-c/jk3.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA MAALIM SHARIFF SEIF HAMAD
![](http://4.bp.blogspot.com/-e4ug84pKEIo/VjnaS_1pgeI/AAAAAAADByI/0Mq8RJf9hC4/s1600/jk3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-A6jWzZsyHCY/VjnaS-nUmQI/AAAAAAADByE/ITZLHWoE2aw/s640/m1.jpg)
9 years ago
Mwananchi08 Oct
Shughuli zasimama Wete mapokezi ya Seif Sharif Hamad
Shughuli za biashara katika Mji wa Wete kisiwani hapa jana zilisimama kwa muda baada ya umati kujitokeza barabarani kumpokea mgombea urais wa Zanzibar (CUF), Seif Sharif Hamad.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-g0ceLqlFcRw/UzKHgrQnkaI/AAAAAAAFWc4/xGqckCDfl5A/s72-c/1.jpg)
Maalim Seif Shariff Hamad atembelea soko la matunda Mombasa.
Na Hassan Hamad wa OMKR.
Baraza la Manispaa la Zanzibar limeshauriwa kuweka utaratibu unaofaa kuhakikisha kuwa mrundikano wa taka hasa katika maeneo ya mjini unapungua.
Wito huo umetolewa na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, wakati alipofanya ziara ya kutembelea baadhi ya majaa ya Mkoa wa Mjini Magharibi, soko la matunda Mombasa, pamoja na kutembelea shimo la kutupia taka lililoko Kibele, kujionea hali halisi ya ukusanyaji na utupaji wa taka...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania