Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Seif Hamad awaalika wawekezaji

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Seif Sharif Hamad amesema hali ya amani na utulivu katika eneo la Afrika Mashariki ni ya kuridhisha na ametoa wito kwa wawekezaji kutoka nje wenye nia ya kuwekeza wafanye hivyo bila hofu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

IPPmedia

Maalim Seif Sharif Hamad


IPPmedia
Maalim Seif Sharif Hamad
IPPmedia
Civic United Front (CUF) General Secretary and Zanzibar presidential candidate, Maalim Seif Sharif Hamad, has issued a three-day ultimatum to the Zanzibar government to proceed with the release of election results or let Zanzibaris decide their fate.

 

10 years ago

GPL

HAMAD, MAALIM SEIF KUMEKUCHA

Stori: Mwandishi wetu
VITA ya mahasimu wawili wa kisiasa kutoka CUF Makamu wa Rais wa kwanza wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad na Mbunge wa Wawi Hamad Rashid Mohamed, inaonekana bado mbichi baada ya mjumbe huyo wa Bunge Maalum la Katiba kumlipua bosi wake hadharani. Makamu wa Rais wa kwanza wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad. Jumatatu iliyopita akiwa bungeni, Hamad aliyefukuzwa uanachama wa CUF miaka michache iliyopita,...

 

9 years ago

BBCSwahili

Maalim Seif Hamad mgombea urais Zanzibar

Maalim Seif Sharifu Hamad ambaye kwa sasa ni Makamu wa Kwanza wa rais wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Zanzibar anagombea urais wa Zanzibar

 

10 years ago

Tanzania Daima

Vita vya Seif, Hamad vyahamia bungeni

MJUMBE wa Bunge la Katiba, Hamad Rashid Mohammed, amelazimika kutumia Bunge Maalum la Katiba kujibu mashambulizi ya hasimu wake kisiasa, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharrif...

 

9 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AKUTANA NA MAALIM SHARIFF SEIF HAMAD

 Rais Jakaya Kikwete ateta na makamu wa Kwanza  wa Rais  wa Zanzibar Maalim Shariff Seif Hamad kuhusu hali ya kisiasa Visiwani leo  asubuhi  Ikulu jijini dar es SalaamWakiwa katika picha ya pamoja.

 

9 years ago

Mwananchi

Shughuli zasimama Wete mapokezi ya Seif Sharif Hamad

Shughuli za biashara katika Mji wa Wete kisiwani hapa jana zilisimama kwa muda baada ya umati kujitokeza barabarani kumpokea mgombea urais wa Zanzibar (CUF), Seif Sharif Hamad.

 

9 years ago

Michuzi

Maalim SEIF SHARIF HAMAD akutana na Wagombea wa CUF - Pemba

Katibu Mkuu wa CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza na viongozi pamoja na wagombea wa chama hicho katika ukumbi wa skuli ya Fidel Castro Kisiwani Pemba.Katibu Mkuu wa CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akisalimiana na mgombea uwakilishi wa CUF Jimbo la Ole baada ya kutambulishwa kwa wagombea rasmi wa Ubunge na Uwakilishi.Kaimu Naibu Katibu Mkuu wa CUF Zanzibar Ismail Jussa Ladhu, akizungumza na viongozi pamoja na wagombea wa chama hicho katika ukumbi wa skuli ya Fidel Castro...

 

11 years ago

Michuzi

Maalim Seif Shariff Hamad atembelea soko la matunda Mombasa.

Na Hassan Hamad wa OMKR. Baraza la Manispaa la Zanzibar limeshauriwa kuweka utaratibu unaofaa kuhakikisha kuwa mrundikano wa taka hasa katika maeneo ya mjini unapungua.  Wito huo umetolewa na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, wakati alipofanya ziara ya kutembelea baadhi ya majaa ya Mkoa wa Mjini Magharibi, soko la matunda Mombasa, pamoja na kutembelea shimo la kutupia taka lililoko Kibele, kujionea hali halisi ya ukusanyaji na utupaji wa taka...

 

10 years ago

Mwananchi

Nilimwachia huru Maalim Seif Sharif Hamad - Jaji Ramadhani

Maswali yaliibuka na kuzua utata baada ya Jaji Mkuu Mstaafu, Augustino Ramadhani kuwa miongoni mwa makada 42 wa CCM, waliojitokeza kuchukua fomu kwa ajili ya kuomba kuteuliwa na chama hicho kugombea urais.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani