MKUU WA MKOA KUSINI UNGUJA AWAHUTUBIA WANANCHI KUPITIA VYOMBO VYA HABARI KATIKA MAADHIMIDHO YA SIKU YA KIFUA KIKUU DUNIANI
Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Ayoub Mohamed Mahmoud akihutubia wananchi kupitia vyombo vya habari katika maadhimisho ya Siku ya Kifua Kikuu Duniani zilizofanyika Ofisi ya Mkoa Kusini kitaifa.
Mkuu wa Wilaya ya Kusini Unguja Idrissa Kitwana Mustafa akichangia taarifa iliyotolewa na Mkuu wa Mkoa Kusini Unguja katika Maadhimisho ya siku ya Kifua Kikuu Duniani zilizofanyika Ofisi ya Mkoa Tunguu.
Meneja wa Programu Shirikishi ya Ukimwi, Homa ya Ini, Kifua Kikuu na Ukoma Dk. Farhat Khalid akitoa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SQG-HzBgaIo/VdywdZX6vuI/AAAAAAAHz-o/ex_-HWIFmh0/s72-c/bb%2B1.jpg)
MKUU WA MKOA WA ARUSHA FELIX NTIBENDA KUWA MGENI RASMI KATIKA TAMASHA LA 10 LA VYOMBO VYA HABARI
Mkuu wa mkoa wa Arusha, Felix Ntibenda,anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika tamasha la 10 la vyombo vya habari vya mkoa wa Arusha. ambalo litafanyika Agosti 29 katika uwanja wa sheikh Amri Abeid.
Akizungumza na waandishi wa habari Palace hoteli jana mwenyekiti wa TASWA mkoa wa Arusha, Jamila Omar na Katibu wa TASWA Arusha, Mussa Juma walisema maandalizi yote muhimu yamekamilika ikiwepo ujio wa timu ya TASWA kutoka jijini Dar es Salaam.
Omar alisema Kauli mbiu ya Mwaka...
10 years ago
MichuziWASHINDI TUZO ZA HABARI ZA TANAPA 2013 WAENDELEA NA ZIARA YA MAFUNZO KATIKA VYOMBO VYA HABARI AFRIKA KUSINI
9 years ago
MichuziMgombea Ubunge Jimbo la Chumbuni Ussi Salum Pondeza AMJADI,Awahutubia Wananchi wa Jimbo Hilo katika Mkutano Wake wa Kampeni Viwanja vya Mabanda ya Ngombe Chumbuni Unguja.
![](http://1.bp.blogspot.com/-07PBWffdk5s/VhBSzhW49OI/AAAAAAACAFs/ogbBgm0DMNU/s1600/255777489000.jpg)
11 years ago
Michuzi03 May
WANAHABARI IRINGA WAADHIMISHA SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI DUNIANI KWA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
11 years ago
MichuziDKT. SHEIN AFUTARISHA WANANCHI MKOA WA KUSINI UNGUJA
![](http://2.bp.blogspot.com/-VYq-XjyQO8Q/U8mJmtpjNdI/AAAAAAAF3ko/dygbTEM01NY/s1600/IMG_6811.jpg)
10 years ago
Dewji Blog23 Jun
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9cxAP21U_qc/VL3thTauc3I/AAAAAAACyAY/e-D-8CrH8uk/s72-c/33.jpg)
KINANA AMALIZA ZIARA KATIKA JIMBO LA UZINI MKOA WA KUSINI UNGUJA
![](http://4.bp.blogspot.com/-9cxAP21U_qc/VL3thTauc3I/AAAAAAACyAY/e-D-8CrH8uk/s1600/33.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-t3edYGaKaRU/VL3th0B_cjI/AAAAAAACyAg/cOUE8QWbdRw/s1600/34.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cO3FweE8KSE/VL3tiDOYFLI/AAAAAAACyAk/G4EjbKOwWwM/s1600/35.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GRaOsAVg0mg/VL3tilOkVjI/AAAAAAACyAo/YO9hp7VzMDs/s1600/36.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7bnKEG2ZHo4/VYc1Xt9kWaI/AAAAAAAHiPw/h4ZnTwVV4UY/s72-c/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
maalim seif afariji wagonjwa na wafiwa katika Mkoa wa Kusini Unguja.
10 years ago
Dewji Blog26 May
Wamiliki wa vyombo vya Habari nchini MOAT wapinga mswada wa sheria ya Vyombo vya Habari
Mwenyekiti wa Umoja wa Wamiliki wa Vyombo vya Habari Tanzania (MOAT), Dk. Reginald Mengi (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu mswada wa sheria ya vyombo vya habari ambao ulitaka kuwasilishwa bungeni kwa dharula. Kulia ni Mwanasheria, Godfrey Mpandikizi.