CHADEMA YAKANA KUHUSIKA NA KIFO CHA DAUDI MWANGOSI
Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano wa Chadema, John Mnyika, akizungumza na waandishi wa habari
Baadhi ya viongozi wa Chadema kutoka kushoto ni Ofisa Habari, Tumaini Makene, Mbunge wa Ubungo Mh. John Mnyika, Ofisa Mwandamizi Mafunzo na Uendeshaji, Mohamed Mtoi, na mwenye gwanda ni Katibu Mtendaji, Ofisi ya Katibu Mkuu, Victor Kimesera.
Waandishi wa habari wakifuatilia taarifa ya Chadema.
Jengo la makao makuu ya Chadema yaliyoko Kinondoni, Dar.
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLCHADEMA YAKANUSHA KUHUSIKA NA KIFO CHA MWANGOSI
10 years ago
Mtanzania09 Jan
Jaji akumbusha machungu kifo cha Daudi Mwangosi
NA SHABANI MATUTU,DAR ES SALAAM
MWENYEKITI wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) aliyemaliza muda wake, Jaji Amir Manento, ameonyesha kutofurahishwa na Serikali kushindwa kutekeleza ripoti iliyotolewa na tume hiyo kuhusu mauaji ya mwandishi wa kituo cha Channel Ten mkoani Iringa, Daudi Mwangosi.
Jaji Maneto aliyasema hayo jijini Dar es Salaam jana, wakati wa hafla ya kuapishwa kwa mwenyekiti mpya wa tume hiyo, Bahame Nyanduga na makamishna wake.
“Pamoja na kustaafu, jambo...
9 years ago
StarTV15 Nov
Jeshi la Polisi lawashikilia watu wanne kuhusika na Kifo cha mwenyekiti wa CHADEMA geita
Jeshi la Polisi linawashikilia watu wanne wanaodaiwa kuhusika na kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA mkoani Geita Alphonce Mawazo.
Kifo cha marehemu Mawazo kimetokea jumamosi hii Novemba 14 majira ya saa sita mchana baada ya kuvamiwa na kundi la watu na kuanza kumshambulia kwa silaha za jadi.
Akizungumza na waandishi wa Habari Kamishna Msaidizi wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita Mponjoli Mwabulambo amesema chanzo cha tukio ni kwamba kulikuwa na mkutano wa...
10 years ago
Mwananchi09 Jan
Jaji Manento: Sitasahau mauaji ya mwandishi Daudi Mwangosi
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/MAWAZO-NEW-1024x603.jpg)
WANNE MBARONI KWA KUHUSIKA NA KIFO CHA MAWAZO
9 years ago
Mtanzania04 Sep
kada CCM akiri kuhusika na Chadema ‘feki’
NA ASIFIWE GEORGE, DAR ES SALAAM
KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Didas Masaburi, amekiri kukutana na vijana wanaodaiwa kujifanya wafuasi wa Chadema walioandamana jijini Dar es Salaam kupongeza hatua ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk. Willibrod Slaa, kuacha siasa na kushambulia chama chake.
Juzi vijana hao waliandamana wakiwa na lengo la kwenda makao makuu ya Chadema kabla ya kutawanywa na wananchi.
Tangu asubuhi ya jana, sauti ya Masaburi ilikuwa ikisambazwa kwenye mitandao ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/u325ipbpd7r-kGNxS-ZQtkx4eFXm5fWrwUJn*8gpHLPpR70VW9*zKkNj770Nsry*zxxADjyAkhvcr9fnzNHhiStkEYnYUyz2/chadema.png?width=350)
CHADEMA WAOMBOLEZA KIFO CHA DKT WILLIAM MGIMWA
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://img.youtube.com/vi/lkZykkHf23Q/default.jpg)
5 years ago
BBCSwahili30 May
Kifo cha George Floyd : Maandamano yatanda huku afisa akikamatwa kwa kifo cha raia mweusi wa Marekani