Jaji akumbusha machungu kifo cha Daudi Mwangosi
NA SHABANI MATUTU,DAR ES SALAAM
MWENYEKITI wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) aliyemaliza muda wake, Jaji Amir Manento, ameonyesha kutofurahishwa na Serikali kushindwa kutekeleza ripoti iliyotolewa na tume hiyo kuhusu mauaji ya mwandishi wa kituo cha Channel Ten mkoani Iringa, Daudi Mwangosi.
Jaji Maneto aliyasema hayo jijini Dar es Salaam jana, wakati wa hafla ya kuapishwa kwa mwenyekiti mpya wa tume hiyo, Bahame Nyanduga na makamishna wake.
“Pamoja na kustaafu, jambo...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi20 Aug
CHADEMA YAKANA KUHUSIKA NA KIFO CHA DAUDI MWANGOSI
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...
10 years ago
Mwananchi09 Jan
Jaji Manento: Sitasahau mauaji ya mwandishi Daudi Mwangosi
Mwenyekiti mstaafu wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Jaji Amiri Manento amesema jambo kubwa alilolipitia wakati wa uongozi wake lilikuwa ni kifo cha mwandishi wa habari, Daudi Mwangosi baada ya kupigwa bomu na polisi, mkoani Iringa mwaka 2012.
10 years ago
GPLCHADEMA YAKANUSHA KUHUSIKA NA KIFO CHA MWANGOSI
Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano wa Chadema,John Mnyika, akizungumza na waandishi wa habari. Baadhi ya viongozi wa Chadema kutoka kushoto ni Ofisa Habari, Tumaini Makene, Mbunge wa Ubungo Mh. John Mnyika, Ofisa Mwandamizi Mafunzo na Uendeshaji, Mohamed Mtoi, na mwenye gwanda ni Katibu Mtendaji, Ofisi ya Katibu Mkuu, Victor Kimesera.…
...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-G83MYTaanvY/Xqfe-1HUtFI/AAAAAAAAymU/QSa7nq0YpUcPhpo1d4s_oJM3FUJKpwBmACLcBGAsYHQ/s72-c/YJ.jpg)
MTOTO JAJI MSTAAFU AZUNGUMZIA KIFO CHA BABA YAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-G83MYTaanvY/Xqfe-1HUtFI/AAAAAAAAymU/QSa7nq0YpUcPhpo1d4s_oJM3FUJKpwBmACLcBGAsYHQ/s400/YJ.jpg)
"Ni kweli amefariki leo mida ya saa 2 asubuhi, alikuwa Aga khan na baadaye akaenda Kenya kwa matibabu zaidi na baadaye akarudi nyumbani lakini akawa bado anaumwa, sasa hivi wana familia wanafanya taratibu kwa chochote kitakachotokea...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-9CAnKjexaVk/Xqfs2HWYq5I/AAAAAAAC4GU/3J-GbHnKlMIqeJ3xeFtv3uZ6-cxxjumRQCLcBGAsYHQ/s72-c/3.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/w3eiFFRDzzeimoV0jObc4t5gbqdCcQGwWDvUc7a2RCYfsIlZx-38HS4az1ZlS8VdHx3pQtTF4oVzCPxcVbY0PaNM4ZVzbEhT/1jajilewis.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA JAJI LEWIS MAKAME
Marehemu Jaji Mstaafu, Lewis Makame enzi za uhai wake. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia Salamu za Rambirambi Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, National Electoral Commission (NEC) kufuatia taarifa za kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wa Kwanza wa Tume hiyo, Jaji Mstaafu, Mheshimiwa Lewis Makame kilichotokea katika Hospitali ya AMI Trauma Centre Jijini Dar es Salaam tarehe...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zNohjXAYiOU/VQe9Rzw2k3I/AAAAAAAHK18/3ZlpilYjziU/s72-c/unnamed%2B(23).jpg)
JAJI MKUU OTHMAN CHANDE KUOGOZA JOPO HURU KUHUSU KIFO CHA DAG HAMMARSKJOLD
![](http://1.bp.blogspot.com/-zNohjXAYiOU/VQe9Rzw2k3I/AAAAAAAHK18/3ZlpilYjziU/s1600/unnamed%2B(23).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZCRA-tSzyHY/XqfsTTx1ShI/AAAAAAALocY/44P8byYuKoQfgHLnuvFZ7PDHkcizN4VtgCLcBGAsYHQ/s72-c/47410160_303.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pI-srGR1f1g/U_MWNC-xCUI/AAAAAAAGArM/vwRy04yWoX8/s72-c/LewisJaji.jpg)
Rais Kikwete atumia Salamu za Rambirambi kufuatia kifo cha Mwenyekiti Mstaafu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,Jaji Lewis Makame
![](http://4.bp.blogspot.com/-pI-srGR1f1g/U_MWNC-xCUI/AAAAAAAGArM/vwRy04yWoX8/s1600/LewisJaji.jpg)
Marehemu Jaji Mstaafu,Lewis Makame enzi za uhai wake
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia Salamu za Rambirambi Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, National Electoral Commission (NEC) kufuatia taarifa za kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wa Kwanza wa Tume hiyo, Jaji Mstaafu, Mheshimiwa Lewis Makame kilichotokea katika Hospitali ya AMI Trauma Centre Jijini Dar es Salaam tarehe 18 Agosti, 2014.
“Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania