Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHADEMA YAKANUSHA KUHUSIKA NA KIFO CHA MWANGOSI

Mkurugenzi  wa Habari na Mawasiliano wa Chadema,John Mnyika, akizungumza na waandishi wa habari. Baadhi ya viongozi wa Chadema kutoka kushoto ni Ofisa Habari, Tumaini Makene, Mbunge wa Ubungo Mh. John Mnyika, Ofisa Mwandamizi Mafunzo na Uendeshaji, Mohamed Mtoi, na mwenye gwanda ni Katibu Mtendaji, Ofisi ya Katibu Mkuu, Victor Kimesera.…
...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

CHADEMA YAKANA KUHUSIKA NA KIFO CHA DAUDI MWANGOSI

Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano wa Chadema, John Mnyika, akizungumza na waandishi wa habariBaadhi ya viongozi wa Chadema kutoka kushoto ni Ofisa Habari, Tumaini Makene, Mbunge wa Ubungo Mh. John Mnyika, Ofisa Mwandamizi Mafunzo na Uendeshaji, Mohamed Mtoi, na mwenye gwanda ni Katibu Mtendaji, Ofisi ya Katibu Mkuu, Victor Kimesera.
Waandishi wa habari wakifuatilia taarifa ya Chadema.Jengo la makao makuu ya Chadema yaliyoko Kinondoni, Dar.
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...

 

9 years ago

StarTV

Jeshi la Polisi lawashikilia watu wanne kuhusika na Kifo cha mwenyekiti wa CHADEMA geita

Jeshi la Polisi linawashikilia watu wanne wanaodaiwa kuhusika na kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA mkoani Geita Alphonce Mawazo.

Kifo cha marehemu Mawazo kimetokea jumamosi hii Novemba 14 majira ya saa sita mchana baada ya kuvamiwa na kundi la watu na kuanza kumshambulia kwa silaha za jadi.

Akizungumza na waandishi wa Habari Kamishna Msaidizi wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita Mponjoli Mwabulambo amesema chanzo cha tukio ni kwamba kulikuwa na mkutano wa...

 

10 years ago

Mtanzania

Jaji akumbusha machungu kifo cha Daudi Mwangosi

kaka1NA SHABANI MATUTU,DAR ES SALAAM
MWENYEKITI wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) aliyemaliza muda wake, Jaji Amir Manento, ameonyesha kutofurahishwa na Serikali kushindwa kutekeleza ripoti iliyotolewa na tume hiyo kuhusu mauaji ya mwandishi wa kituo cha Channel Ten mkoani Iringa, Daudi Mwangosi.
Jaji Maneto aliyasema hayo jijini Dar es Salaam jana, wakati wa hafla ya kuapishwa kwa mwenyekiti mpya wa tume hiyo, Bahame Nyanduga na makamishna wake.
“Pamoja na kustaafu, jambo...

 

9 years ago

GPL

WANNE MBARONI KWA KUHUSIKA NA KIFO CHA MAWAZO

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema mkoani Geita, Alphonce Mawazo enzi za uhai wake. Jeshi la Polisi mkoani Geita linawashikilia watu wanne wanaodaiwa kuhusika na kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoani humo, Alphonce Mawazo. Kifo cha marehemu Mawazo kimetokea jana Jumamosi Novemba 14 majira ya saa sita mchana baada ya kuvamiwa na kundi la watu na kuanza kumshambulia kwa silaha za jadi. ...

 

11 years ago

Habarileo

SMZ yakanusha kifo cha waziri

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Kazi na Utumishi wa Umma, Haroun Ali Suleiman amezushiwa kifo. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imekanusha uvumi huo, uliozagaa juzi.

 

9 years ago

Michuzi

Vodacom yakanusha kuhusika na kampeni za kisiasa


Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom imekanusha taarifa za uvumi zilizotangazwa na baadhi ya vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kuwa inaendesha kampeni kupitia ujumbe mfupi wa maneno kumfanyia kampeni mgombea urais kupitia UKAWA.
Vyombo hivyo viliandika habari za uzushi kuwa Vodacom imeanzisha promosheni kupitia ujumbe mfupi wa maneno inayojulikana kama “Jiunge na Lowassa” kitu ambacho hakipo.

Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Rene Meza ameeleza kuwa kampeni zinazoendeshwa hivi sasa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya China yakanusha kuhusika na kuanguka kwa jengo

JENGO

 

Wananchi wakingalia jengo la gorofa lililoporomoka katika makutano ya mitaa ya Indira Gandhi na Asia jijini Dar es Salaam mwezi Machi mwaka 2013. (Picha na Maktaba).

Na Mwandishi wetu

Kampuni ya ujenzi ya CRJE kutoka China imekanusha vikali kuhusika na jengo la ghorofa lililoporomoka katika makutano ya mitaa ya Indira Gandhi na Asia jijini Dar es Salaam mwezi Machi mwaka 2013.

Taarifa iliyotolewa na kampuni hiyo jijini Dar es Salaam jana, inaeleza kuwa kampuni hiyo haikuwahi kushiriki...

 

9 years ago

Mtanzania

kada CCM akiri kuhusika na Chadema ‘feki’

masaburiNA ASIFIWE GEORGE, DAR ES SALAAM

KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Didas Masaburi, amekiri kukutana na vijana wanaodaiwa kujifanya wafuasi wa Chadema walioandamana jijini Dar es Salaam kupongeza hatua ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk. Willibrod Slaa, kuacha siasa na kushambulia chama chake.

Juzi vijana hao waliandamana wakiwa na lengo la kwenda makao makuu ya Chadema kabla ya kutawanywa na wananchi.

Tangu asubuhi ya jana, sauti ya Masaburi ilikuwa ikisambazwa kwenye mitandao ya...

 

11 years ago

GPL

CHADEMA WAOMBOLEZA KIFO CHA DKT WILLIAM MGIMWA

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimepokea kwa mshtuko na majonzi makubwa taarifa za kifo cha Waziri wa Fedha na Uchumi na Mbunge wa Kalenga, Dkt. William Mgimwa ambaye amefariki akiwa kwenye matibabu Afrika Kusini. Kwa masikitiko makubwa CHADEMA kinatuma salaam za pole kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete kwa kuondokewa na msaidizi wake wa karibu na mtumishi mwenzake serikalini. Chama kinatoa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani